Sawa kabisa, ila Klopp tutajutia....Ata Luis atufai, lete coeman, Simeon au yule wa ajax, ata allegri sio mbaya ingawa si mkubali sana. Ila tungempata klopp daah maisha yangekua matamu sana hv hakuna namna ya kuwafanyia figisu liver watupe mashine hyo
Tumechanganyikiwa, kocha kachanganyikiwa hajuwi ampange yupi na kwa formation gani!!! Tuko tuko tu....Suddenly the future is bleak....😡 🤬 🙁🤔Hahahahaha mashabiki wa asernal hawajui washike lipi kwa sasa
Tena kampa contract ya miaka miwili... Yaani nilibaki nimeshangaa tuIla naanza kuamini labda Unai kweli sio kocha kwa sababu angekuwa kocha asingeishauri management kumsajili beki kama Luiz
Beki ambaye kocha mwenzake tena asie na uzoefu amemuona uwezo wake umedrop yeye anakimbilia kumsaini huku akimpa sifa kede kede?
Arsenal scouts at RB Salzburg-Genk game tonight. A lot of youngsters on show.
Hapo Maskaut wanamfatilia huyo dogo aliyepiga HattrickMbwana Samatta atawasaidia
Alikutana na mabeki wabovu wa Genks. Hata Lipuli ina defense bora kuliko Genks. Kwenye ligi sasa hivi Genk ya 9 inafungwa tu kiholelaHapo Maskaut wanamfatilia huyo dogo aliyepiga Hattrick
With Arsenal scouts in the game. Erling Braut Haland has just scored a Hat-Trick for Salzburg. 16 goals in 9 games. May I say, he is GENERATIONAL. View attachment 1210170
Mkuu hawa jamaa ni kweli wana beki mbovu lakini mtu anayejua anaonekana. Kiukweli huyu dogo anajua hata akutane na beki mzuri hataacha kukufungaAlikutana na mabeki wabovu wa Genks. Hata Lipuli ina defense bora kuliko Genks. Kwenye ligi sasa hivi Genk ya 9 inafungwa tu kiholela
maafa yale aliyopeleka kwa wale valencia haahahahahahah pale darajani?Tulia ivyo ivyo ..Tammy anakuja kuleta maafa apa..
Kila la kheri Chelsea![]()
kama walivyoperfom jana dhidi ya valenciaKwa mfano leo Pepe kaharibu, angetolewa Pepe ulitaka aingie nani? Ni tofauti na timu kama Chelsea Anatoka Pulisic anaingia Willian, Pedro anaingia Odoi. Kante hayupo Kovacic anaperform at a good level, Mount anatoka Barkley anaingia. Tammy anatoka anaingia Batshuay.
Huyo dogo sio Genk tu, huyo mtoto anajua sanaMkuu hawa jamaa ni kweli wana beki mbovu lakini mtu anayejua anaonekana. Kiukweli huyu dogo anajua hata akutane na beki mzuri hataacha kukufunga
aiseeeeeeeeeh ungejua kuwa mimi na wewe hatuchekani usingeyaandika haya na uzuri wake soka ni mchezo wa hadharani,matokeo ya leicester yasikutie upofu ukasahau kilichowakuta dhidi ya ya crystal palace mzee........hapa ndipo ninapoukubali ufundi wa MUNGU kwa kuweka kitu kinachoitwa SAHAU?
Uchawi ni nini?Alikutana na mabeki wabovu wa Genks. Hata Lipuli ina defense bora kuliko Genks. Kwenye ligi sasa hivi Genk ya 9 inafungwa tu kiholela