Rajab_Omar
JF-Expert Member
- May 15, 2016
- 16,481
- 27,185
#EmeryOut
Kaletwa watu ndio lakini hawana capabilities za EPL. Kocha mzuri tatizo ni wachezaji wenyewe, walio na capabilities ni wachacheUsajiri ni mzuri ila mwalimu kiburi ,kila namba kaletewa watu , ila hawatumii anakazana na vitoto
Aroon nataka nikuulize. Magoli yote mliyofungwa chanzo ni kocha? Siyo uzembe wa mabeki ndioumepelekea yale kutokea.Ngoja tulete kocha maana hujui unachoongea , kocha ameletewa DM , hamtumii anakomaa na xhaka kama DM wakati sio namba yake , hampend LT11 Na baadhi ya wachezaji
Kila mechi anakuja na mfumo mpya hadi wachezaji wamechukia
Kwahiyo kwa uongoz wa Arsenal Hana maisha marefu
Sisi wahafidhina tunaomba apoteze mech ijayo Joto lipande atimuliwe
View attachment 1209356
Historia ya huyu kocha mnaijua lakini?Usajiri ni mzuri ila mwalimu kiburi ,kila namba kaletewa watu , ila hawatumii anakazana na vitoto
Mabeki wanacheza kwa pattern aliyoiweka kocha, hawawezi kufanya tofauti na maelekezo.Aroon nataka nikuulize. Magoli yote mliyofungwa chanzo ni kocha? Siyo uzembe wa mabeki ndioumepelekea yale kutokea.
Kocha ni mbovu acha ubishi, tunaona makocha wangapi wanawakuza wachezaji wa kawaida wanakuwa wazuri, unafikiri kila mchezaji anayecheza l'pool ni world class? lakini mbona wanapata matokea safi tu whatever it takes.Kaletwa watu ndio lakini hawana capabilities za EPL. Kocha mzuri tatizo ni wachezaji wenyewe, walio na capabilities ni wachache
BODI HAIWEZI KUVUMILIA UJINGA , TUMEMPA KILA KITU HUYU MBWA UNAI....
*Luis Enrique* looks to join the race and might be the actual replacement for Emery via@skysports.
Pepe still the best player, ni pattern mbovu za Muhuni UNAI zinamfanya anashindwa kuadapt the system.Hivi pepe mmemuona anavyocheza jamani? Ligi ya epl imekuwa kubwa kwake nashauri mtoeni kwa mkopo alipotoka
Luis is far better than emery, mtu ambaye mwaka wa pili huu haeleweki pattern yake ni ipi, Enrique hii timu ingekuwa inacheza mpira safi sana kwa muda huo.Makocha wote hapo juu ni wazuri kuliko EmeryAta Luis atufai, lete coeman, Simeon au yule wa ajax, ata allegri sio mbaya ingawa si mkubali sana. Ila tungempata klopp daah maisha yangekua matamu sana hv hakuna namna ya kuwafanyia figisu liver watupe mashine hyo
Aroon nataka nikuulize. Magoli yote mliyofungwa chanzo ni kocha? Siyo uzembe wa mabeki ndioumepelekea yale kutokea.
Mfano ile ya juzi, pasi aliyokuwa anapewa Genduzi katikati ya opponents ni Kocha kamuambia huyo Sokratis atoe pasi ya hovyo hivyo?Aroon nataka nikuulize. Magoli yote mliyofungwa chanzo ni kocha? Siyo uzembe wa mabeki ndioumepelekea yale kutokea.
Unajua nyie tumeshawazoea unazi mmetanguliza mbele, hata kama msingekuwa na kante mngekuja na ngonjera kwamba mlikuwa na Hazard hivyo ilimfanya Luiz acheze kiurahisi.Mfano ile ya juzi, pasi aliyokuwa anapewa Genduzi katikati ya opponents ni Kocha kamuambia huyo Sokratis atoe pasi ya hovyo hivyo?
Sawa Luiz unaweza sema poor team formation, Luiz alikuwa mzuri huku Chelsea akiwa na DM mzuri kama Kante kitu ambacho Arsenal hawana
Mabeki utawalaumu NINI ?Mimi nitakuwa MTU wa mwisho kulaumu wachezajiAroon nataka nikuulize. Magoli yote mliyofungwa chanzo ni kocha? Siyo uzembe wa mabeki ndioumepelekea yale kutokea.
Sio kweli mkuu ana wachezaji wazuri tuKaletwa watu ndio lakini hawana capabilities za EPL. Kocha mzuri tatizo ni wachezaji wenyewe, walio na capabilities ni wachache
Tayari uongoz unafanya mazungumzo na kina Alegri ,lucho ,mouMtimueni mapema huyo Tapeli wa Yombo Buza ,Unai ni muhuni tu kama wale wahuni wa Ubungo Terminal.
Naombea tupigwe alhamis#EmeryOut
Lembu emery hana falsafa yoyoteHistoria ya huyu kocha mnaijua lakini?
Kwa umri wa miaka 47 ana makombe 9
Style yake au falsafa yake kama ya Lampard ni kushambulia kwa hiyo kuimarisha frontline ni sehemu ya falsafa yake
- PSG 6
- Sevilla 3 - Europa League
Hao akina Pepe na Auba wanatakiwa kufunga magoli mengi yanayozidi mtakayofungwa kitu ambacho sidhani kama Auba mwenyewe ataweza, Pepe kwa EPL hamna kitu pale. alikuwa anafanya vizuri kwenye ile ligi ya wakulima wa tumbaku.
Hao wachezaji walizoea kubambwa bambwa na Wenga hata akija Alegri au Luis Enrique bado watakosana naye kwa sababu hatakuwepo kocha wa kubembeleza kama Wenga au sio mumrudishe Wenga bado hana timu