Aaron Arsenal
JF-Expert Member
- Jul 24, 2014
- 24,498
- 28,720
Uzuri kwasasa hatuwez kuwa kundi la wavumilivu, tunaingia kwenye kundi la kina Chelsea LA kutimua timua makocha wasio na uwezo@AARON unanifurahisha sana, mimi mwenyewe namchukia Unai toka tushindwe kufuzu Uefa kizembe last season na final ya BAKU.
MECHI NA LIVERPOOL Ndio nilithibitisha maneno ya Ozil kuwa emery sio kocha



