ryana fan
JF-Expert Member
- Apr 27, 2018
- 2,632
- 3,056
Acha ushabiki maandazi ,
Luiz alifanya vzr tu hasa Aerial dual ,
Kocha kupanga midfield mbovu kuliwapa shida mabeki
Naona leo pia kapanga Timu B.
Acha ushabiki maandazi ,
Luiz alifanya vzr tu hasa Aerial dual ,
Kocha kupanga midfield mbovu kuliwapa shida mabeki

dah kuna watu mnateseka sana, ufanye mpira kama starehe na sio biashara...
Kila siku tutasema hivi Mkuu ila no changes
Leta msimamo ww kengeKIMYAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAA
![]()
Shefflied alikulaza mapema janaTuko pamoja wakuu ...Hii arsenal yetu tumeipenda wenyewe..
Kila la kheri Chelsea![]()
Nipo mkuu , bado kocha hajitambui ,
Nitarudi hapa baadae kumtafuta AROON
Lawama hazikwepeki ,bado kocha kuna watu wanacheza out of position ,Leo hatutaki lawama mzgo wote umo ndani
Pale hatuna kocha kaka
Hii timu alitakiwa apewe Eddie howe wa bornamouth , hata Wenger alipendekezaga apewe huyu, Gazid akatuletea huyu Unai,
Eddie na bornamouth yake haogopagi MTU, anashambulia tu,
Sasa angepewa hawa kina Laca pepe auba , tunge enjoy sana mpira mzuri,, anafundisha mpira wa Wenger kabisa , ndio maana Wenger alimpigia sana debe.
Ila unai nadhan Uongoz umeshajua hamna MTU hapo, ndio maana hawana mpango wakumpa tena mkataba, lengo wanataka atuvushe Tu kurud UCL bas ,
Kocha gan hawez kutengeneza chemistry ya Xhaka lt11 ceballos ,
Ozil kamshindwa , Leo hata kuwaunganisha auba laca pepe kashindwa
NDIO MAANA OZIL ALISEMA UNAI SIO KOCHA



Hii comment ya mech na Liverpool ,Aroon plus arsenal mlalamikaji at work.
Tuliza wenge mpira unachezwa uwanjani na si mdomoni. Cheki sasa unavyoangaika kujitetea![]()
Nipo mkuu , bado kocha hajitambui ,
Huyu Pepe tumeibiwa mkuu. |
Ameassist. Ana pace , ana dribbling,
Huyu Pepe tumeibiwa mkuu.
Aroon plus arsenal mlalamikaji at work.
Tuliza wenge mpira unachezwa uwanjani na si mdomoni. Cheki sasa unavyoangaika kujitetea![]()
Unajua broo wengi wetu tunaangalia mpira juu juu tu.Matteo nimekubali leo asee,hiko kiwango tunakitaka kila match
Hizi ni kauli za wasioona mbali.Ni zaidi ya mpumbavu afadhali wangemchua zaha
Ameassist. Ana pace , ana dribbling,
Tumeibiwa kivip? Niswala LA muda tu aizoee EPL , ndio kwanza ana 24yrs old
Daniel James ana umri gani mkuu? |
Subilien kwenda champipnshipTulitoa draw.
Ukinipa majibu ya haya maswali kwa ufasaha utarudisha yako na kuwaona hao unawabeba hawabebeki.
Nitajie timu ya mwisho kutoka London kuchukua FA cup
Nitajie timu ya mwisho kutoka London kuchukua EPL
Nitajie timu ya mwisho kutoka London kuchukua Europa Cup
Nitajie timu ya mwisho kutoka London kuchukua UEFA
Nitajie timu ya mwisho kutoka London kuchukua Super Cup.
Au kama ukipenda majibu baki nayo atakusaidia kujibu Aroon na wadogo zake. Arsenal wanakingiwa kifua lakini hawawezi hata siku moja kuifikia The Pride Of London.