Aaron Arsenal
JF-Expert Member
- Jul 24, 2014
- 24,498
- 28,720
Naona huko tweeter mnajifariji kumfananisha pepe na James
Daniel James ana umri gani mkuu?
Naona huko tweeter mnajifariji kumfananisha pepe na James
Daniel James ana umri gani mkuu?
Kapambanen na hali zenu,Ni zaidi ya mpumbavu afadhali wangemchua zaha
Namba 7 kivipi mkuu?? Watu wamecheza 4-3-3 ni kama vile hizo namba zinakufaMatteo mkali ameichezesha timu mwanzo mwisho
Ila sion sababu ya kocha kumchezesha lt11 namba 7
Hapa uliongea kweli au ilikuwa unatania tu?
Guendouzi ni miongoni mwa wachezaji ambao itabidi wewe managed with care.Matteo mkali ameichezesha timu mwanzo mwisho
Ila sion sababu ya kocha kumchezesha lt11 namba 7
Aroon umehifadhi maneno ya King Ngwaba?Leta msimamo ww kenge
Unajua broo wengi wetu tunaangalia mpira juu juu tu.
Kijana huyu akikaa nasi for 3 seasons tu basi tutakuwa na mchezaji bora kabisa
Naona huko tweeter mnajifariji kumfananisha pepe na James
Tena tunafanya hivyo ili kumuinua Pepe, Daniel James ni moto mwingine kabisa. Huu msimu ukiisha pamoja na ubovu wa MUFC atakuwa anazungumzwa kama CR7 mpya ndani ya MUFC. Vuta pumzi, tuombe uhai. |
Kabisa kabisaKatika Ajabu Jipya kabisa la Dunia ni kumuona Mtu anamponda PEPE dah!
Huyu Jamaa ni bonge la mchezaji!
Its a matter of time kushow his worthy na kuwaprove wrong wengi tu.
Jamaa atatisha na baada ya misimu 2 tu Barcelona, Real na PSG wataanza kiherehere chao cha kumtaka
Hahahahahahahahah Wewe jamaa una wakati mgumu sana hivi sasa.
Timu sio kabila mkuu unaweza kuhamia Arsenal tu kwanini uteseke na wakati vizuri vipo.Hatar sana huyu mtu spurs wamehangaika mno katikati nimependa sana nguvu ya kiungo cha arsenal napenda timu yangu manchester united iwe kama kiungo cha arsenal leo nimefurahia sana mpira
Huyu pepe ni kama Gervinho tu...
Chenga nyingi bila effect yyte
Kaka mimi nadhani matatizo yenu ya msingi ni Ed na uongozi wake. Tayari washasababisha OGS kashafeli halafu lawama atatupiwa yeye.Hatar sana huyu mtu spurs wamehangaika mno katikati nimependa sana nguvu ya kiungo cha arsenal napenda timu yangu manchester united iwe kama kiungo cha arsenal leo nimefurahia sana mpira
Tena tunafanya hivyo ili kumuinua Pepe, Daniel James ni moto mwingine kabisa.
Huu msimu ukiisha pamoja na ubovu wa MUFC atakuwa anazungumzwa kama CR7 mpya ndani ya MUFC. Vuta pumzi, tuombe uhai.
Kaka mimi nadhani matatizo yenu ya msingi ni Ed na uongozi wake. Tayari washasababisha OGS kashafeli halafu lawama atatupiwa yeye.
Leta msimamo ww kenge


wewe ndio huwa unahimiza tusiitane majina ya ajabu.
Hazifi ,nane kacheza Mateo DM xhaka box to box au kama 7 lt11, na hajawahi kuperfom kwenye 4-3-3 akimchezesha kama 7,Namba 7 kivipi mkuu?? Watu wamecheza 4-3-3 ni kama vile hizo namba zinakufa