Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Mkuu punguza jazba hao kina torreira walilambishwa vumbi Na Firmino mech ya 5-0.acha kumlalamikia kocha huyo lagazeti mwenyew kwa Van dijk angetulia tu kama mwenzake auba.jengen kikos halafu mje tena anfield sio kupiga domo wakat hauna timu iliyojengwa vizur
Wewe hujui kitu ndio maana unalipoka,hiyo mech aliyoanza lt11 ,bado kocha alimuanzisha nje lacazette ,

Sis tunachoongea tunakijua ,


Ndio maana uongoz umempa Emery miaka miwili tu .
 
If Nacho Monreal departs, our longest serving player will be Mesut Özil. Given that the German’s future isn’t guaranteed either, it could be Calum Chambers as we head into the start of next season. Should he leave too, it’s Héctor Bellerín, who made his debut in 2014. Crazy.
 
If Nacho Monreal departs, our longest serving player will be Mesut Özil. Given that the German’s future isn’t guaranteed either, it could be Calum Chambers as we head into the start of next season. Should he leave too, it’s Héctor Bellerín, who made his debut in 2014. Crazy.
Naona kizazi kipya kabisa wakiondoka hawa. Tutakuwa na wachezaji wa kuanzia 2015 which is great. Ila kocha anazingua sana.
 
Naona kizazi kipya kabisa wakiondoka hawa. Tutakuwa na wachezaji wa kuanzia 2015 which is great. Ila kocha anazingua sana.
Pale hatuna kocha kaka

Hii timu alitakiwa apewe Eddie howe wa bornamouth , hata Wenger alipendekezaga apewe huyu, Gazid akatuletea huyu Unai,

Eddie na bornamouth yake haogopagi MTU, anashambulia tu,

Sasa angepewa hawa kina Laca pepe auba , tunge enjoy sana mpira mzuri,, anafundisha mpira wa Wenger kabisa , ndio maana Wenger alimpigia sana debe.


Ila unai nadhan Uongoz umeshajua hamna MTU hapo, ndio maana hawana mpango wakumpa tena mkataba, lengo wanataka atuvushe Tu kurud UCL bas ,

Kocha gan hawez kutengeneza chemistry ya Xhaka lt11 ceballos ,

Ozil kamshindwa , Leo hata kuwaunganisha auba laca pepe kashindwa


NDIO MAANA OZIL ALISEMA UNAI SIO KOCHA
 
DILI ZURI HILI, TUTARUHUSIWA KUCHAGUA MCHEZAJI YEYOTE


Arsenal will allow Nacho Monreal leave for free to sign a two year deal for Real Sociedad and Arsenal will sign any player of their choice from the opposite in subsequent transfer windows.
 
TUTARUHUSIWA KUCHAGUA WACHEZAJI TUNAOWATAKA NDAN YA REAL SOCIADAD

|| Nacho update || Arsenal & Sociedad putting final touches to Monreal's move. As previously mentioned Nacho will leave for free and Arsenal will get preferential treatment over the signing of several players at Sociedad.

Good decision. We have Tierney and Kolasinac at LB. Selling Monreal will free up spot for another player in January.
Also Elneny and Mustafi getting sold will make another 2 spot available for new signings.
 
Viewed from 1100ft Arsenal stadium and Highbury Square, former Arsenal Stadium, #Highbury, with central #London in background.
IMG_20190827_222036.jpeg
 
Kumewauma sana ,

Lakin sisi tunaoijua timu yetu ,tunajua luiz alicheza vzr tu,

Ndio maana dunia nzima arsenal fan lawama anapewa kocha , unaacha watu nje unapanga midfield ya u21 ,

Ina maana beki itazidiwa , sasa utamlaumuje Luiz,?

Luiz alicheza vzr mipira ya juu na kuanzisha mashambulizi ,

Chelsea wanajifariji maana timu YAO hata top 10 hawafik
Mkimtimua Unai hata top six mutapotea.. Unai bonge la kocha, mpeni mkataba mpya mapema.
 
Acha kuongea ugolo, huyo tot alichukua point 4 wap kwa arsenal ?

Yaan Chelsea na kikosi kile mmeshapata nguvu ,wakati hata nafas ya 10 hamtafika
Aise usiombe tukutane na nyie ..hii timu beki Luiz ..Mount anatosha kabisa kumkimbiza..
 
Ollachuga acha bangi,

Kocha alizingua , wachezaji waliopo ni wakupambania ubingwa , ndio maana walipoingia wali mprove wrong ,
Niache bangi?? Wewe unachezesha magarasa ya league one unategemea yataleta matokeo yeyote ya maana? Apo arsenal mchezaji anayeweza kuingia kwenye kikosi cha kwanza cha Chelsea bas ni Auba labda na Pepe kwa mbali ..Lacca anaweza kuwa sub ya Tammy ..wengine waliobaki wangepaswa kucheza Bolton au QPR uko ..sasa unadhani tatizo ni kocha au ilo rundo la wachezaji alionao
 
Kampeleka sana tena sana ,

Wewe ndio umesimuliwa ,maana pepe kavunja had rekod ya vvd yakutokupigwa chenga.

Wachambuz wanajiuliza emery anashindwa nn kuanzisha Trio ,
Kuvinja rekodi haimaanishi kampelekesha boss sema ilitokea occasion moja akawa amempita na ndio hio hio akaweka record..hakuna mda mwingine wowote alimpita wala kumsumbua
Mbona hata game ya man cty na liver ya community shield jesus alimpita kwani ndo maana yake alimpelekesha?

Sema tu pepe alikua na game nzuri kama maforward kibao tu wakicheza game na liverpool lakini haimaanishi wamempelekesha.
 
Niache bangi?? Wewe unachezesha magarasa ya league one unategemea yataleta matokeo yeyote ya maana? Apo arsenal mchezaji anayeweza kuingia kwenye kikosi cha kwanza cha Chelsea bas ni Auba labda na Pepe kwa mbali ..Lacca anaweza kuwa sub ya Tammy ..wengine waliobaki wangepaswa kucheza Bolton au QPR uko ..sasa unadhani tatizo ni kocha au ilo rundo la wachezaji alionao
Hii bangi uliyovuta sijui ya wapi? Hahahhaha

Yaan unaongea kinyume , msimu huu nimekuahid huvuki nafas ya 10 ,
 
Niache bangi?? Wewe unachezesha magarasa ya league one unategemea yataleta matokeo yeyote ya maana? Apo arsenal mchezaji anayeweza kuingia kwenye kikosi cha kwanza cha Chelsea bas ni Auba labda na Pepe kwa mbali ..Lacca anaweza kuwa sub ya Tammy ..wengine waliobaki wangepaswa kucheza Bolton au QPR uko ..sasa unadhani tatizo ni kocha au ilo rundo la wachezaji alionao
Mechi ijayo ya shelfield utashinda, lakini game 3 zijazo lazma ujipige ban wolves,liverpool,soton... wewe utafunga waliopanda daraja tu ndo level yako for now.

time will tell
 
Mechi ijayo ya shelfield utashinda, lakini game 3 zijazo lazma ujipige ban wolves,liverpool,soton... wewe utafunga waliopanda daraja tu ndo level yako for now.

time will tell
Huyu hata nafas ya 10 na wasiwasi nae, sana ....basi tu sijui nawapaje nafas ya 10, kuna Watford , wolves ,Everton akikaza sare, top 6 habebi hata point 1,
 
Aise usiombe tukutane na nyie ..hii timu beki Luiz ..Mount anatosha kabisa kumkimbiza..
Asee ni bora ungekaa kimya tu, naona unajichosha for nothing, Sisi hatukuwazii kabsa, wewe pambana na the likes of Aston villa, Norwich ,Newcastle et al. hao ndo saizi yako nw.
 
Deal la nacho real socieadad hawataki kutoa pesa wanataka kutupa ISCOR JR .

watupe haka katoto kao Ander barrenetxea Muguruza Miaka 17 Walioangalia Euro ya under 18 Spain akiwa bingwa mbele ya ureno haitakuwa jina geni .

Wanataka kutoa mchezaji player in return
IMG-20190827-WA0013.jpeg
 
Back
Top Bottom