Southern Highland
JF-Expert Member
- Mar 22, 2017
- 15,924
- 27,163
Hivi ni watu kutoka humu walikua wanamponda Kepa? Sasa nyie hata pazia mlangoni nauona uzi tu. Kazi kulenga tu Imooo
Nakubaliana na wewe, Arsenal ina midfield soft sana.Hapa hatuna timu hapa hatuna solid fast players wako slow halafu watu wanafikiri tatizo ni beki tu hapana kuna tatizo hata midfield hatuna mid yenye vurugu korofi nguvu kwaajiri ya kulinda beki.
Kweli tumeona kafaKesho Tottenham anakufa ila kocha inabidi asiwaanzishe willock na nelson
Spurs hashindi leo hapa hata kama kapata goli mbili poleni
New arsenal New season same results
Mateo not impressive so far
Huyu pepe ni kama Gervinho tu...Kwa mpira anaocheza arsenal huu sioni kama timu yangu manchester united tunaweza kupata hata droo kiungo kipo safi sana
Usajili wa pepe ni mzur sana
Nitarudi hapa baadae kumtafuta AROON