Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Eheee upo ,tatizo lako ww ushabiki wa mpira huwezi,kwa hiyo matokeo ya Arsenal ndio yamekufanya uonekane.Sisi wenzako tufungwe tushinde hatukauki kwenye thread ya timu yetu.
Sasa mkuu huoni tumefungwa leo lakini bado nipo sisi arsenal hata tufungweje bado nipo ..mimi sio kama AROON au dully Jr ..apa no arsenal damu damu..
 
Ujue kwa kocha anaejielewa, partinership ya Xhaka na torreia ndo ilipaswa kufanyiwa kazi kama 1st eleven, then Matheo anakuja kama backup 2nd period hukoooo timu ikiwa imesha relax! Hivi unamuacha Torreira nje mbele ya Matheo,kweli? Sasa et huyu kocha inakuwa kinyume chake, Matheo eti anaingia moja kwa moja 1st eleven tena mbele ya Liverpool? ngoja nicheke kwa uchungu tu
Kipigo kilikua hakizuiliki hata angeingia nani

Kipigo kilikua pale pale mkuu !

Hata sisi tulijipanga !

Shukuru mmepigwa chache
rafiki yangu aaarooon
 
Back
Top Bottom