Anamtaja Ox na keita wakati hao wachezaji hawawez kucheza mech 5 mfululizo,
Nilimueleza Liverpool ni timu bora hilo halina ubishi, ila hajui ni jinsi gan Liverpool inavyozalisha magoli , Kazi anayoifanya firminho ni zaid ya viungo wake, kazi zinazofanywa na fullbacks ni zaid ya viungo ,

kweli Willock atoke dkk 80 huko ndo aingie Lacazette! Dani kapotea na huyo Willock hamna jambo, Xhaka naye doh!Hatuna kocha mkuu,hata sijui anawaza niniUnacheza na liva kati unamuweka Willock eti Lacazette yupo nje.
Huu si ujinga?
Endelea kupiga ramli
Sio kisingizio ni kocha amesababisha tungeondoka na kadrooHatutaki visingizio kwan nan aliwakataza msiwapange je msinge enda sokoni ingekuwaje
Tujipe moyo tu kua kwakua ni gemu ya 3 basi pengine atafanyia kazi baadhi ya vitu.Hatuna kocha mkuu,hata sijui anawaza nini
Ni kweli tusubiri game nyingineTujipe moyo tu kua kwakua ni gemu ya 3 basi pengine atafanyia kazi baadhi ya vitu.
Mkuu game kama hizi you dont take your chances basi unaumia. Kama lawama na atupiwe kwanza kocha kwa kutopanga front three ya maana. Why willock???Nilivyosema kuhusu kuheshimu timu pinzani ndiyo kama leo...
Guendouz kila siku nasema ni mbovu. Xhaka haonekani kabisa.
Liva kipa kinega ila hata hizo chances hatutengenezi.
Huu ndio ulikuwa ujinga wa hali ya juuUnacheza na liva kati unamuweka Willock eti Lacazette yupo nje.
Huu si ujinga?
Unai hatufai kabisatatizo ni kocha tu