MR BINGO
JF-Expert Member
- Feb 12, 2016
- 1,208
- 2,591
Wanajifanya hawajamuona ETMsemeni na Dany. Mbona mnamruka au kawaridhisha?


Wanajifanya hawajamuona ETMsemeni na Dany. Mbona mnamruka au kawaridhisha?


Nye nye nyeeeeLeo ushind muhimu
Naitakia ushind mnono Arsenal
My prediction
Liverpool 1 Arsenal 3

Ni kweli hii game tungeanzisha kikosi kama alivyokuwa anapanga mwaka jana hawa jamaa wasingeshinda
Sio wazuri kiivyo na hii game itafanya timu isijiamin tena
Kocha huyu nimemdharau sana leo, sijui alikua anaogopa nini aisee? hahahaha!Tumefungwa sababu ya kocha
Unai amepewa mzigo mzito, huwez kuacha watu wakazi nje ,unaanzisha u21 ,
Huyu kocha hafai kufundisha arsenal , na wakichelewa kumfukuza , atatufikisha pabaya
Laca mech ya mwisho kafunga , Leo unamuingiza dk 10 za mwisho,
Nje una LT11 , unaanzisha Mateo na willock ili iweje ?
Amesababisha beki izidiwe wakati wamecheza vzr tu,
UNAI hatufai
Kocha huyu nimemdharau sana leo, sijui alikua anaogopa nini aisee? hahahaha!
Mlikuwa mnapiga kelele wiki nzima hii,Sisi tulikuwa tunawachora tu Arsenal hii haina uwezo wa kuchukua point hata 1 kwenye uwanja wa Moto Anfield,Chezeni viwanja vyote Anfield ni mwisho.Kocha huyu nimemdharau sana leo, sijui alikua anaogopa nini aisee? hahahaha!

Nimekubali unatisha kwa kutabiri.
Leo ushind muhimu
Naitakia ushind mnono Arsenal
My prediction
Liverpool 1 Arsenal 3
Sio wazuri kihivyo?!!Ni kweli hii game tungeanzisha kikosi kama alivyokuwa anapanga mwaka jana hawa jamaa wasingeshinda
Sio wazuri kiivyo na hii game itafanya timu isijiamin tena

ngoja nicheke kwa uchungu tuLaca hajawahi kuanza game yoyote Anfield acha kudanganya. Kocha kafeli kwa hiloMwaka jana tumekupiga goli 5 na hao wachezaji wenu mnaolialia leo hawakucheza walikuwemowalifanya nini,Torreira na Lacazette ndio wachezaji tishio kwa Liverpool tena Anfield,Au yule kiungo wenu mliokuwa mnamwagia sifa leo hakucheza,Liverpool ni timu bora kwa sasa kuliko Arsenal huo ndio ukweli.
Mnabahati kweli mshukuruni Klopp kwa kufanya stupid substation tulitaka mle 5 tena ili mdomo uishe na katimu kenu kakuungaunga.Laca hajawahi kuanza game yoyote Anfield acha kudanganya. Kocha kafeli kwa hilo




Apana mkuu tumpe muda ..mambo mazuri yanakujaaMnaonaje tumfukuze huyu mpumbavu anayeitwa unai.




Luiz tumepigwa mkuu..Arsemavi leo mtaisoma namba, Luiz ni uchochoro
Luiz tumepigwa mkuu..