Lukub
JF-Expert Member
- Feb 5, 2012
- 3,790
- 4,284
Tuwe wazalendo kwenye football Liverpool hajafungwa EPL Anfield toka 2017 arsenal hata wangekuwa na Messi ,Hazard, Lewando kupata point 3 haiwezekani ,team itakayovunja hii record ni City tena kwa tabu sana na kupitia mateso makubwaUnai hatufai kabisa
Timu ipo vzr anaanzisha watoto
Kwan Pep na klopp wanapoanzisha DREAM TEAM ni wajinga?



