Mc cane
JF-Expert Member
- May 18, 2018
- 5,569
- 10,527
Mkuu kuondoka Luiz inaonekana kulikuuma sanaHahahahahahahahahahaha Luiz tumepigwa mkuu![]()
Maana kwenye kila sentensi unamtaja Luiz

Mkuu kuondoka Luiz inaonekana kulikuuma sanaHahahahahahahahahahaha Luiz tumepigwa mkuu![]()

Narudia tena wale wazee watachomesha sana..Jogoo kufa si ajabu.. ila itategemeana na ukuta wa Arsenal utacheza kwa kiwango gani siku hiyo.
Liver wako vzr sana mbele, MANE, SALAH, FIRM ni moto sana, ukizingatia beki ya Gurnerz sio ya kuwazuia hawa watu kirahisi, itahitajika nguvu kubwa ya viungo kuipa sapot defence hasa Liverpool inapoanzisha mashambulizi ya haraka nakwa speed.
Wale wazee pale nyuma wana kazi ya ziada... Kwa Arsenal wajitahid wasipoteze nafasi sana.
Kwenye chance 3 wascore 2 au 1 kuliko kukosa kabisa... wakifanya hv uhakika wa point 1 hadi 3 upo.
Mji lazima utulie mkuu hizi timu zina mashabiki wengi sana.Ndiyo maana naipenda # EPL, Arsenal na Man utd walianza ligi na kelele sana, leo naona mji umetulia sana![]()
Unai anapanga kikosi cha Sportpesa wakati anacheza EPL tena big match.Kikweli imenishangaza kumwacha Laca na kumuingiza yule dogo
Ila naona hata midfield pia mlipwaya,
Poleni, lakini mimi nimefurahi maana huku mtaani ni nyie na sisi ndio tupo wengi kwahiyo mngeshinda hii weekend maisha yangekuwa mgumu sana kwetu
There was no way mngeshinda AnfieldXchaka hakuwa fut hivyo gundoz na torreira walistahili
Kosa kubwa'ni kumuacha bench lacazette.
Pia partnership ya auba lacazette na pepe kocha aliipoteza
Poor substitutions za kocha alizofanya on late time
Mfumo wa 4312 yeye akatumia 433
Zaidi luiz alikuwa shida kwani magoli yote mawili yeye ndiyo source kona inapigwa haruki pia la pili badala ya kumkwatua kabla hahaingia penalty box anasubiri aingie halafu amvute shati foolish decision.
All in all aubameyang naye kakosa nafasi za wazi.
Nikiri wazi kuwa kikosi cha sasa cha arsenal ni bora kuliko cha msimu uliopita na makosa haya yanarekebishika kiurahisi.
Ktk mpira hata anayecheka leo kesho hulia na anayelia sasa akacheka kesho.
Naipenda timu yangu na nitazidi kuishabikia daima.
We are the gunners forever.
Ukiondoa Arsenal, timu zote zilizocheza ugenini jana zimeondoka na matokeo.

Vice verse is trueLeo ushind muhimu
Naitakia ushind mnono Arsenal
My prediction
Liverpool 1 Arsenal 3
Msimu uliopita ambao Tottenham hakusajiri alijinyakulia point zake 4 kutoka kwa Arsenal wkat Arsenal alipta point moja tu kwa Tott. Sasa sijui unazungumzia Tottenham ya Vingunguti!? Na hapo Tottenham msimu huu kasajili watu wa maana huku kaArsenal kamemleta Luiz kama beki wa kati
Mmh, Ndombele, sissoko, Eriksen? Msimu huu huyu akilikosa kombe basi anakaa nafasi ya pili.
Tunza hii.
Mkuu kama hujui kitu ni bora unyamaze tu, msimu uliopita tulichukua point 4 dhidi ya Spurs. Mechi ya kwanza tuliwafunga 4 - 2 mechi ya pili tukatoka sare ya 1 - 1. Fanya utafiti kwanza kabla ya kuandika usichokijua.Msimu uliopita ambao Tottenham hakusajiri alijinyakulia point zake 4 kutoka kwa Arsenal wkat Arsenal alipta point moja tu kwa Tott. Sasa sijui unazungumzia Tottenham ya Vingunguti!? Na hapo Tottenham msimu huu kasajili watu wa maana huku kaArsenal kamemleta Luiz kama beki wa kati
Mkuu kama hujui kitu ni bora unyamaze tu, msimu uliopita tulichukua point 4 dhidi ya Spurs. Mechi ya kwanza tuliwafunga 4 - 2 mechi ya pili tukatoka sare ya 1 - 1. Fanya utafiti kwanza kabla ya kuandika usichokijua.
Msimu uliopita:Msimu uliopita ambao Tottenham hakusajiri alijinyakulia point zake 4 kutoka kwa Arsenal wkat Arsenal alipta point moja tu kwa Tott. Sasa sijui unazungumzia Tottenham ya Vingunguti!? Na hapo Tottenham msimu huu kasajili watu wa maana huku kaArsenal kamemleta Luiz kama beki wa kati






















