Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Nacho Monreal is indeed close to leaving Arsenal for Sociedad as reported by another source. Real Sociedad are serious on this occasion and a deal could materialize in the next hours. [@mundodeportivo]
 
Pepe to start against liverpool
Screenshot_2019-08-23-13-53-46.jpeg
 
Vyovyote iwavyo arsenal tunaingia LIVERPOOL kuwaonesha mpira unachezwaje duniani.
Mmekalia kutufunga kwa mwaka jana mkadhani na mwaka huu.
Tunahitaji point tatu na tutazipata tu full back yetu siyo mbovu kama ya msimu uliopita na siyo nzuri kama ya LIVERPOOL lakini tuna maeneo mengi kwa sasa ambayo tuko vizuri kuliko LIVERPOOL na timu nyingi uingereza.
Kocha akitumia viungo watatu kati akae Torreira,dan na tshaka.Kule mbele Laccazate,ozil na Abu hapa nyuma nacho monreal ,niles,luiz na sokratis mlangoni ni leno aisee sijui nawaapia liverpool mtapaki basi tutashambulia kufa mtu.
Ndugu yangu ni maeneo gani hayo ‘mengi’ ambayo kwenu ni mazuri kuliko Liverpool?
 
Niko hapa kutoa tahadhari tu. Mkijifanya kufunguka kutafuta magoli mvua mnazopigwagwa pale anfield zipo palepale. Ushauri tu mtafuten hata Mourinho awafundishe kupak bac angalau mpate droo au mpigwe 1-0

Msiseme hamkuambiwa
 
Utalii wa Waingereza kwenda Rwanda umeongezeka kwa asilimia 5, ikiwa ni matokeo ya kujitangaza kupitia jezi za Arsenal, ambapo nembo ya 'VISIT RWANDA' imeandikwa begani katika jezi za Arsenal. Kupitia hilo Rwanda imeingiza £36m zaidi ya Tsh Bil 100 kwa mwaka.

Serikali ya Rwanda hutoa £10m kwa mwaka katika klabu ya Arsenal . ,hii inafanya Rwanda kuvuna faida ya £26m kwa mwaka.

Arsenal did not disclose how much the deal is worth, but sources close to the deal say the sponsorship cost £10 million ($13.3m) a year, or $40 million in the three years.

WEKA PESA UPATE PESA

TANZANIA TUNASUBIRI NINI?
3189.jpeg
IMG_20190823_184803.jpeg
 
#Guendouzi moved to the #Emirates in a £7.2million switch last summer who Unai Emery is understood to view as a useful asset.

NOW #Arsenal hopeful of signing Matteo Guendouzi to new five-year contract which would see His wage almost DOUBLE to £70,000 a week.
 
Arsenal youngster #Miguel #Azeez has agreed a professional contract with the club for an initial three years with an option to extend it by a further two years, which he will sign when he turns 17 next month.
 
Bellerin on Ceballos:

"I think Dani's one of the best players I've seen in my career. I've played with him since we were like 18 or 19 years old. We've played in the under-21s, we get on really well off the pitch"
FB_IMG_1566587191910.jpeg
 
Arsenal want to extend the contracts of strike pair Lacazette & Aubameyang which will include performance-related bonuses linked to Champions League qualification as well as Europa League & FA Cup progression on top of individual goal targets.

The duo are on £180k p/w.

Arsenalwearefamily Thoughts?
 
Capacity to attendance ratio for each PL club in their first home game:

1. Arsenal - 99.9%
2. West Ham - 99.8%
3. Everton - 99.6%
4. Brighton - 99.3%
4. Norwich - 99.3%
6. Watford - 99.2%
7. Leicester - 99.1%
7. Man City - 99.1%
9. Liverpool - 98.7%
10. Man Utd - 98.3%
 
Arsenal want to extend the contracts of strike pair Lacazette & Aubameyang which will include performance-related bonuses linked to Champions League qualification as well as Europa League & FA Cup progression on top of individual goal targets.

The duo are on £180k p/w.

Arsenalwearefamily Thoughts?
Pound 180k p/w thats too low based on current market for top strikers. We need to extend their contracts with better salary ASAP.
 
Back
Top Bottom