Vyovyote iwavyo arsenal tunaingia LIVERPOOL kuwaonesha mpira unachezwaje duniani.
Mmekalia kutufunga kwa mwaka jana mkadhani na mwaka huu.
Tunahitaji point tatu na tutazipata tu full back yetu siyo mbovu kama ya msimu uliopita na siyo nzuri kama ya LIVERPOOL lakini tuna maeneo mengi kwa sasa ambayo tuko vizuri kuliko LIVERPOOL na timu nyingi uingereza.
Kocha akitumia viungo watatu kati akae Torreira,dan na tshaka.Kule mbele Laccazate,ozil na Abu hapa nyuma nacho monreal ,niles,luiz na sokratis mlangoni ni leno aisee sijui nawaapia liverpool mtapaki basi tutashambulia kufa mtu.