Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Ndio tatizo la ushabiki maandazi,

Unakimbilia kusema arsenal INA beki mbovu kwa maoni yako binafsi ,na tatizo huangalii mpira ,eti sokratis sio mzuri ,una data zozote kujustify, unasema pia luiz sio mzuri yani unatoa maon tu,

Unamtaja mustafi ,ambaye hayupo kwenye mipango ya arsenal,

Huu mtazamo wako ulikuwa nao kipind cha usajir nikakwambia tulia ,

Unanukuu maneno ya rednknap ambayo aliyasema kipind arsenal haijasajir hata MTU mmoja,

Ndio maana nikisema ww mkurupukaji unabisha.

Ulivyo na ushabiki maandazi , unasema Liverpool INA middle mzur kuliko man u & Chelsea kitu ambacho ni uongo.

Arsenal tuna beki sio nzuri sana ,ila sio mbovu kuliko top 6 zote , kama unavyodai.

Na argument zako zimeegemea msimu uliopita.

Hii inaonesha the way usivyo update
Tuanze na Man Utd:

Fabinho utamlinganisha na Matic au unataka kusema Matic mzuri kuliko Fabinho?

Unataka kusema kwamba Scott McTominay ni kiungo bora katika Box to Box midfield kuliko Keita ?

Tuje Spurs:

Unataka kusema Harry Winks ni bora kuliko Fabinho? Unataka kusema Sissoko ni bora kuliko Oxlade Chamberlain?

Spurs Box to Box namuelewa Tanguy Ndombele


Beki ni mbovu ndio, na timu yenu imejaa ubutu maeneo mengi. Mtu kama Lacazette ili Club yenu ifike mbali alitakiwa kufunga goli 20 hivi ila mpaka sasa hamna msimu ambao amefikisha hata goli 15

And yes of course naongea kwa maoni yangu binafsi
 
Tuanze na Man Utd:

Fabinho utamlinganisha na Matic au unataka kusema Matic mzuri kuliko Fabinho?

Unataka kusema kwamba Scott McTominay ni kiungo bora katika Box to Box midfield kuliko Keita ?

Tuje Spurs:

Unataka kusema Harry Winks ni bora kuliko Fabinho? Unataka kusema Sissoko ni bora kuliko Oxlade Chamberlain?

Spurs Box to Box namuelewa Tanguy Ndombele


Beki ni mbovu ndio, na timu yenu imejaa ubutu maeneo mengi. Mtu kama Lacazette ili Club yenu ifike mbali alitakiwa kufunga goli 20 hivi ila mpaka sasa hamna msimu ambao amefikisha hata goli 15

And yes of course naongea kwa maoni yangu binafsi

Bila ushabiki Liva inabebwa zaidi na top 3 wao wa mbele pamoja na VVD pale nyuma. Kiungo ni wepesi sana. Sasa Fabinho utamuweka level ya viungo bora? Keita hata mechi 5 hafikishi yupo hospital?

Mbona Milner/Henderson huwataji?
 
Bila ushabiki Liva inabebwa zaidi na top 3 wao wa mbele pamoja na VVD pale nyuma. Kiungo ni wepesi sana. Sasa Fabinho utamuweka level ya viungo bora? Keita hata mechi 5 hafikishi yupo hospital?

Mbona Milner/Henderson huwataji?
Hahahahahahahahah Ongereni Nyie wenye viungo bora,TUTAKUTANA UWANJANI IJUMAMOSI.
 
Hahahahahahahahah Ongereni Nyie wenye viungo bora,TUTAKUTANA UWANJANI IJUMAMOSI.
Tatizo jamaa analeta ushabiki uliopitiliza ,hakuna asiyejua Liverpool wana beki bora na trio bora ,ila viungo ni tia maji tia maji , anamtaja keita ambaye yupo hospitali kila baada ya mech 3.
 
Tuanze na Man Utd:

Fabinho utamlinganisha na Matic au unataka kusema Matic mzuri kuliko Fabinho?

Unataka kusema kwamba Scott McTominay ni kiungo bora katika Box to Box midfield kuliko Keita ?

Tuje Spurs:

Unataka kusema Harry Winks ni bora kuliko Fabinho? Unataka kusema Sissoko ni bora kuliko Oxlade Chamberlain?

Spurs Box to Box namuelewa Tanguy Ndombele


Beki ni mbovu ndio, na timu yenu imejaa ubutu maeneo mengi. Mtu kama Lacazette ili Club yenu ifike mbali alitakiwa kufunga goli 20 hivi ila mpaka sasa hamna msimu ambao amefikisha hata goli 15

And yes of course naongea kwa maoni yangu binafsi
Wewe jamaa ni mpayukaji na MTU ambaye mpira huufahamu kwa kuwa huufatilii kiundani .

Unakimbilia kusema kiungo chako ni bora , sawa umemtaja fabinho ,nakubaliana na ww , unakuja unamtaja Keita ambaye hata mech 5 hafikishi , hii inaonesha jinsi gan hata Liverpool hufatilii inacheza na middle gan kwa siku zote ,

Middle ya Liverpool ya hendo fabinho na gini/milner imekuwa ikilalamikiwa sana na kopities duniani,

Na kutokana na kuwa butu kwa hendo & gin kumepelekea mzigo mkubwa kumuangukia fabinho ambaye sio mbaya , kaangalie mech ya liver vs Chelsea ,alikuwa anabak peke yake katikati , hana msaada ,hata Liverpool echo walichambua vzr tu,

Unaposema beki ya arsenal ni mbovu mbona huleti evidence , tunakubali beki yetu sio nzuri kulibganisha na ya Liverpool au city , lkn sio top 6 zote , hapo unaleta mahaba ,nakumbuka ulikuwa kinara kabla hatujasajiri kuiponda beki yetu na ukidai hatutasajiri,

Nikamwambia haya maswala huyajui sisi tubaofatilia klabu yetu tunajua INA mipango IPI,

Umebaki una mtaja mustafi , ambaye hayupo ktk mipango ya arsenal , na hana namba tena

Umebaki na msimamo ule ule wa kipind kile tena ukimnukuu harry rednakp ambaye alisema maneno hayo kabla Arsenal na man u hazijasajiri hata MTU mmoja .

Hii inaonesha ni jinsi gan hujui unachokiongea


Unazungumzia lacazette hafungi magoli 15+

Unajua msimu uliopita kafunga magoli + assist ngapi?

Je unajua ndiye mchezaji bora wa mwaka wa Arsenal ? Mbele ya aubamayang mwenye kiatu cha dhahabu,?

Nikisema unakurupuka nitakuwa nakosea?
 
Anamtaja Ox na keita wakati hao wachezaji hawawez kucheza mech 5 mfululizo,

Nilimueleza Liverpool ni timu bora hilo halina ubishi, ila hajui ni jinsi gan Liverpool inavyozalisha magoli , Kazi anayoifanya firminho ni zaid ya viungo wake, kazi zinazofanywa na fullbacks ni zaid ya viungo ,
 
Anamtaja Ox na keita wakati hao wachezaji hawawez kucheza mech 5 mfululizo,

Nilimueleza Liverpool ni timu bora hilo halina ubishi, ila hajui ni jinsi gan Liverpool inavyozalisha magoli , Kazi anayoifanya firminho ni zaid ya viungo wake, kazi zinazofanywa na fullbacks ni zaid ya viungo ,
Midfielder ya Liverpool Klopp ameijenga kui support zaidi Defence ni compact midfield, then Fullbacks ndio wanakuwa supported kwa Forward kutengeneza chances,Bahati mbaya tumeanza ligi vibaya ile compact midfield haijakaa sawa bado.
 
Wewe jamaa ni mpayukaji na MTU ambaye mpira huufahamu kwa kuwa huufatilii kiundani .

Unakimbilia kusema kiungo chako ni bora , sawa umemtaja fabinho ,nakubaliana na ww , unakuja unamtaja Keita ambaye hata mech 5 hafikishi , hii inaonesha jinsi gan hata Liverpool hufatilii inacheza na middle gan kwa siku zote ,

Middle ya Liverpool ya hendo fabinho na gini/milner imekuwa ikilalamikiwa sana na kopities duniani,

Na kutokana na kuwa butu kwa hendo & gin kumepelekea mzigo mkubwa kumuangukia fabinho ambaye sio mbaya , kaangalie mech ya liver vs Chelsea ,alikuwa anabak peke yake katikati , hana msaada ,hata Liverpool echo walichambua vzr tu,

Unaposema beki ya arsenal ni mbovu mbona huleti evidence , tunakubali beki yetu sio nzuri kulibganisha na ya Liverpool au city , lkn sio top 6 zote , hapo unaleta mahaba ,nakumbuka ulikuwa kinara kabla hatujasajiri kuiponda beki yetu na ukidai hatutasajiri,

Nikamwambia haya maswala huyajui sisi tubaofatilia klabu yetu tunajua INA mipango IPI,

Umebaki una mtaja mustafi , ambaye hayupo ktk mipango ya arsenal , na hana namba tena

Umebaki na msimamo ule ule wa kipind kile tena ukimnukuu harry rednakp ambaye alisema maneno hayo kabla Arsenal na man u hazijasajiri hata MTU mmoja .

Hii inaonesha ni jinsi gan hujui unachokiongea


Unazungumzia lacazette hafungi magoli 15+

Unajua msimu uliopita kafunga magoli + assist ngapi?

Je unajua ndiye mchezaji bora wa mwaka wa Arsenal ? Mbele ya aubamayang mwenye kiatu cha dhahabu,?

Nikisema unakurupuka nitakuwa nakosea?
Vyovyote iwavyo arsenal tunaingia LIVERPOOL kuwaonesha mpira unachezwaje duniani.
Mmekalia kutufunga kwa mwaka jana mkadhani na mwaka huu.
Tunahitaji point tatu na tutazipata tu full back yetu siyo mbovu kama ya msimu uliopita na siyo nzuri kama ya LIVERPOOL lakini tuna maeneo mengi kwa sasa ambayo tuko vizuri kuliko LIVERPOOL na timu nyingi uingereza.
Kocha akitumia viungo watatu kati akae Torreira,dan na tshaka.Kule mbele Laccazate,ozil na Abu hapa nyuma nacho monreal ,niles,luiz na sokratis mlangoni ni leno aisee sijui nawaapia liverpool mtapaki basi tutashambulia kufa mtu.
 
ELNENY & MUSTAFI WARUHUSIWA KUONDOKA ARSENAL

Elneny and Mustafi wako huru kuhama klabu inataka kuwauza kabla ya dirisha halijafungwa mwishoni mwa Wiki ijayo Sept 2 Hii ni kwa Mujibu wa Unai baada ya kuthibitisha kuwa nafasi zao ndani ya klabu hakuna

'They know the situation' - Emery urges Mustafi and Elneny to leave Arsenal https://m.allfootballapp.com/news?id=1692316&type=share&language=en
 
Wewe jamaa ni mpayukaji na MTU ambaye mpira huufahamu kwa kuwa huufatilii kiundani .

Unakimbilia kusema kiungo chako ni bora , sawa umemtaja fabinho ,nakubaliana na ww , unakuja unamtaja Keita ambaye hata mech 5 hafikishi , hii inaonesha jinsi gan hata Liverpool hufatilii inacheza na middle gan kwa siku zote ,

Middle ya Liverpool ya hendo fabinho na gini/milner imekuwa ikilalamikiwa sana na kopities duniani,

Na kutokana na kuwa butu kwa hendo & gin kumepelekea mzigo mkubwa kumuangukia fabinho ambaye sio mbaya , kaangalie mech ya liver vs Chelsea ,alikuwa anabak peke yake katikati , hana msaada ,hata Liverpool echo walichambua vzr tu,

Unaposema beki ya arsenal ni mbovu mbona huleti evidence , tunakubali beki yetu sio nzuri kulibganisha na ya Liverpool au city , lkn sio top 6 zote , hapo unaleta mahaba ,nakumbuka ulikuwa kinara kabla hatujasajiri kuiponda beki yetu na ukidai hatutasajiri,

Nikamwambia haya maswala huyajui sisi tubaofatilia klabu yetu tunajua INA mipango IPI,

Umebaki una mtaja mustafi , ambaye hayupo ktk mipango ya arsenal , na hana namba tena

Umebaki na msimamo ule ule wa kipind kile tena ukimnukuu harry rednakp ambaye alisema maneno hayo kabla Arsenal na man u hazijasajiri hata MTU mmoja .

Hii inaonesha ni jinsi gan hujui unachokiongea


Unazungumzia lacazette hafungi magoli 15+

Unajua msimu uliopita kafunga magoli + assist ngapi?

Je unajua ndiye mchezaji bora wa mwaka wa Arsenal ? Mbele ya aubamayang mwenye kiatu cha dhahabu,?

Nikisema unakurupuka nitakuwa nakosea?
Mimi ni mkurupukaji kweli mpayukaji kweli na sijui mpira kweli

Mustafi hayupo kwenye mipango yenu mbona sasa hamjamuuza ? Anaenda timu gani?


Hata tukiassume kuwa Mustafi hayupo bado beki ya kati wanabaki David Luiz na Sokratis ambao nao sio Class Centerback, David Luiz isn't a good Defender


Ainsley Maitland-Niles beki moja mmbovu Sead Kolasinac huwa hadefend ila mzuri kushambulia etc
 
Wewe jamaa ni mpayukaji na MTU ambaye mpira huufahamu kwa kuwa huufatilii kiundani .

Unakimbilia kusema kiungo chako ni bora , sawa umemtaja fabinho ,nakubaliana na ww , unakuja unamtaja Keita ambaye hata mech 5 hafikishi , hii inaonesha jinsi gan hata Liverpool hufatilii inacheza na middle gan kwa siku zote ,

Middle ya Liverpool ya hendo fabinho na gini/milner imekuwa ikilalamikiwa sana na kopities duniani,

Na kutokana na kuwa butu kwa hendo & gin kumepelekea mzigo mkubwa kumuangukia fabinho ambaye sio mbaya , kaangalie mech ya liver vs Chelsea ,alikuwa anabak peke yake katikati , hana msaada ,hata Liverpool echo walichambua vzr tu,

Unaposema beki ya arsenal ni mbovu mbona huleti evidence , tunakubali beki yetu sio nzuri kulibganisha na ya Liverpool au city , lkn sio top 6 zote , hapo unaleta mahaba ,nakumbuka ulikuwa kinara kabla hatujasajiri kuiponda beki yetu na ukidai hatutasajiri,

Nikamwambia haya maswala huyajui sisi tubaofatilia klabu yetu tunajua INA mipango IPI,

Umebaki una mtaja mustafi , ambaye hayupo ktk mipango ya arsenal , na hana namba tena

Umebaki na msimamo ule ule wa kipind kile tena ukimnukuu harry rednakp ambaye alisema maneno hayo kabla Arsenal na man u hazijasajiri hata MTU mmoja .

Hii inaonesha ni jinsi gan hujui unachokiongea


Unazungumzia lacazette hafungi magoli 15+

Unajua msimu uliopita kafunga magoli + assist ngapi?

Je unajua ndiye mchezaji bora wa mwaka wa Arsenal ? Mbele ya aubamayang mwenye kiatu cha dhahabu,?

Nikisema unakurupuka nitakuwa nakosea?
Tunapoongea Wapo Fit ama la?


Kumbe unakubali kwamba midfielders with Quality wapo ila tatizo ni majeruhi na upangaji wa Kocha
 
Mkuu spurs viungo wake ni moto kuliko sisi liver assume Ndombele, winks, ericksen, lo celso, sissoko, dier, wanyama versus fabinho, keita, ox, gini, hendo, milner. Ukiangalia kwa makini hapo kuna like for like back up kwa spurs ila sio kwetu bad enough majeruhi ya creative mid ox & keita.
Spurs na Man Utd wametuzidi Midfield kwa viungo gani?

Beki unategemea Sokratis ambae sio mzuri David Luiz ambae sio mzuri Maitland-Niles ambae anajua kupanda kudefend hajui kama Sead Kolasinac na Shkodran Mustafi ambae amejaa makosa kibao halafu ndio Centre-back

Mna beki mbovu sana nikimnukuu Harry Redknapp mpaka akasema ni rahisi kwa Wolves na Leicester kuingia top four sio Arsenal
 
FEATURE | The rapid rise of Matteo Guendouzi – why Unai Emery deserves all the credit

The CIES Football Observatory is one of the most talked about pieces of material in all of football. It sparks debate, it creates controversy and it provokes a long list of pieces on whether a certain player is worth their listed amount or, conversely, how that same player has gotten to a stage to be valued as such by CIES.

In the latest edition of CIES, they published the highest valued U20 players across Europe’s big five leagues and as per usual, it’s caused a lot of debate – with the exception of the top spot, Jadon Sancho – but from 2nd place down, it’s got people talking. In particular, they’re talking about Matteo Guendouzi of Arsenal who has charted rapid rise from Ligue 2 and Lorient to Premier League in 12 months.

His ascension, regardless of what you may feel about his team or his performances, has been extraordinary and Guendouzi has become a player that Arsenal fans can get behind because he has bought into the club.

While this may not have a bearing on his CIES value, it is a trait that is near enough invaluable in modern football and especially at the top level. Whilst the CIES doesn’t factor in heart, desire to win and mental toughness, it is important to mention that in a time where Arsenal seem to be in a “crisis,” Guendouzi has been a player that Arsenal fans feel like they can get behind, feel like they can back him and feel like he “gets” the club.

Popping his head out of his car window to celebrate beating Spurs – while it may be something that is used to beat him back with on social media – showed that he is trying to form that bond between the club and the fans. What about on the pitch?

Guendouzi has a lot of bark and bite and despite his age, he is not afraid to jump into the deep end in the middle of the field, even if it slightly exposes his positional intelligence level in the Premier League. Guendouzi is superb at going full blast at the opposition, his energy levels often are his great asset to the Arsenal midfield.

The Frenchman, who’s just turned 20, hasn’t registered a goal or an assist for the Gunners in the league but that is simply not his role; his role is to sit deeper, provide a roaming coverage behind the midfield and ahead of the defence – almost like a free safety in an NFL defence – achieved to a plomb with an impressive tackle success rate. Additionally, he has develop a knack for the inside of the foot curled delivery into the box from left-sided positions.

Guendouzi made 44 tackles in the Premier League season, one more than James Milner, six more than Jan Vertonghen, seven more than Toby Alderweireld and 25 more than Phil Jones and with a 59% completion rate on his tackles, Guendouzi is more impressive in this domain than Jorginho of Chelsea, who admittedly had 26 more tackles (raw) to his name.

Of course, statistics can be deceiving but the effect that Guendouzi has when he does start is plain to see. There is an element of rashness to his game, something that will disappear once he gains more experience and receives more playing time, but it’s noticeable that in his first season, despite the impression that he is reckless and with a gung-ho style, Guendouzi is still yet to receive a red card in league action.

It may seem insignificant but for a player as young as he is, with as little experience at the top level as he has, it is a sign of in-game intelligence and knowing when to dive in for a tackle and knowing what kind of tackle to make.

His energy is a valuable asset to Arsenal, while his tenacious nature gives them a bit of toughness in the middle of the park that they have been crying out for for years.

He can only grow as a player, more than he already has, and under the guidance of Unai Emery – a manager that seemingly has a fair amount of trust in the young man and deserves a lot of credit for spotting his talent with Lorient. The Basque tactician has shown enormous faith in the French teen, giving him a full 90 minutes against Manchester City and Chelsea in the first two games of the Premier League season and developing him throughout the campaign. If this trend of opportunities and on-pitch evidence continues, Guendouzi will become a vital part to Arsenal’s future. He has the fans and manager on his side, he just needs to carry on and grow from this point on.

T.S.
Muite Castr Please
 
Tunapoongea Wapo Fit ama la?


Kumbe unakubali kwamba midfielders with Quality wapo ila tatizo ni majeruhi na upangaji wa Kocha
Hahahhaa wewe jamaa uwe unakaa kimya tu, lini walicheza wakathibitisha ni bora kuliko wengine ,maana hatujawahi kuona wakicheza mech 10 mfululizo, yaan unashindwa kututajia viungo wanaocheza mech 30+ kila msimu, unajifichia kwa wanaocheza mech 5
 
Mkuu spurs viungo wake ni moto kuliko sisi liver assume Ndombele, winks, ericksen, lo celso, sissoko, dier, wanyama versus fabinho, keita, ox, gini, hendo, milner. Ukiangalia kwa makini hapo kuna like for like back up kwa spurs ila sio kwetu bad enough majeruhi ya creative mid ox & keita.
Tatizo huyo jamaa anatanguliza mahaba zaidi, anaamin Liverpool haina mapungufu imekamilika 100%
 
Bila ushabiki Liva inabebwa zaidi na top 3 wao wa mbele pamoja na VVD pale nyuma. Kiungo ni wepesi sana. Sasa Fabinho utamuweka level ya viungo bora? Keita hata mechi 5 hafikishi yupo hospital?

Mbona Milner/Henderson huwataji?
Niwataje Hendo na Millie Kwani nyie hapo hamna magarasa ya Midfield? Tulikuwa tunaongelea ni nani ana midfield bora

Unaambiwa uchague kati ya Xhaka/Gouendouzzi na Fabinho unamchagua nani?

Unaambiwa uchague kati ya Fabinho na Lucas Torreira unamchagua nani?

Unaambiwa uchague kati ya Fabinho na DM yeyote wa Spurs unamchagua nani?

Naweza sema Fernandinho ni bora kuliko Fabinho sababu ya experience so hapa nakosa grounds nzuri za kuwa compare
 
Back
Top Bottom