Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Wenger ni profesa wa porojo.
Na washabiki wa Arsenal ndo wanafanya zahanati zinazidi kufunguliwa kila kata katika nchi hii.
Hii inapelekea magongwa kama vidonda vya tumbo, BP, kukosa usingizi, kuongea peke yako Barabarani nk nk nk kuzidi kuwapata watanzania wanaoshabikia Kilabu hilo la Assnail ambalo ni misimu mingi imepita pasipo kupata kombe lolote lenye ushindani wa hadhi.
Arsenal Ushuzi
Wenger Uharo...
 
'kudaaaadeki wallahi Chelsea!', yaani ndio weshatufanya mateja wao?
Inauma sana aisee.

Anyway, Hongereni sana 'watani'
Labda game ijayo tunaweza kuambulia angalau draw!

Ha ha ha..Mzee naona wakati mechi inaendelea huwa una kuwa 'guest' ..ikiishaga ndio unaibuka..

Nway, Arsenal mwaka huu inaeza kuwa another Liverpool in making, maana mechi 7, 2 lost,2 draw,and 3 wins. Hata Liverpool ilianzaga hivohivo. Naona Spurs wanawin games zao na City are defending well. UCL inaeza kuota mbawa mkiendelea na spidi hii kabla hata ya November (mwezi wa Izraili).

Nway, goodluck guys...msalimieni LIverpool huko wodini.
 
Wenger ni profesa wa porojo.
Na washabiki wa Arsenal ndo wanafanya zahanati zinazidi kufunguliwa kila kata katika nchi hii.
Hii inapelekea magongwa kama vidonda vya tumbo, BP, kukosa usingizi, kuongea peke yako Barabarani nk nk nk kuzidi kuwapata watanzania wanaoshabikia Kilabu hilo la Assnail ambalo ni misimu mingi imepita pasipo kupata kombe lolote lenye ushindani wa hadhi.
Arsenal Ushuzi
Wenger Uharo...
Forza Milan.....Roseneri...Roseneri..!
 
Ha ha ha..Mzee naona wakati mechi inaendelea huwa una kuwa 'guest' ..ikiishaga ndio unaibuka..

Nway, Arsenal mwaka huu inaeza kuwa another Liverpool in making, maana mechi 7, 2 lost,2 draw,and 3 wins. Hata Liverpool ilianzaga hivohivo. Naona Spurs wanawin games zao na City are defending well. UCL inaeza kuota mbawa mkiendelea na spidi hii kabla hata ya November (mwezi wa Izraili).

Nway, goodluck guys...msalimieni LIverpool huko wodini.

...ha ha ha, muda wote nilikuwa naangalia RYDER'S CUP, kisha nika tune game yenu AC Milan jana na ushindi wenu mduuuuchu wa 1 - 0. Naona Ronaldinho kidogo kidogo anageuka Dr Dolittle, unene ushaanza kumshinda.
 
Poleni washabiki wa Arsena hiki ni kipande cha gazeti la The Sun la Uingereza toleo la leo!!

"Marouane Chamakh doesn't have Drogba's ability to hold the ball up and bring others into play while Andrey Arshavin gave up on two many challenges.

Gunners' central defensive new-boys Laurent Koscielny and Sebastien Squillaci looked nervous wrecks in much the way Philippe Senderos used to.
 
Kutoka kwenye jukwaa la Chelsea 606

Wenger has become the worst loser in Sport



After 14 yrs I think Arsene Wenger needs to quit footaball as he's simply become the worst loser in Sport. He gives no credit to any team who beats him, gives excuses as to why his team didnt perform and believes his team is the best every season.

I thought Arsenal played well yesterday and deserved something from the game, but to say the game would have been over within a min goes to show he has no class or sportsmanship.

Chelsea have played well against Arsenal in the 1990s and rarely won, but you wouldnt hear Chelsea moaning, one just gives credit to Arsenal and how good they are.
 
'kudaaaadeki wallahi Chelsea!', yaani ndio weshatufanya mateja wao?
Inauma sana aisee.

Anyway, Hongereni sana 'watani'
Labda game ijayo tunaweza kuambulia angalau draw!
Pole sana mzee mwenzangu,ila mwaka huu mmh!. Unanitia shaka, si kawaida yako. Saa hizi ungekuwa tayari unatupandisha presha mpaka labda Nov, Dec huko, ndio ungekuwa unaanza kudorola. Lakini safari hii mbona mapema mno?
 
Poleni washabiki wa Arsena hiki ni kipande cha gazeti la The Sun la Uingereza toleo la leo!!

"Marouane Chamakh doesn't have Drogba's ability to hold the ball up and bring others into play while Andrey Arshavin gave up on two many challenges.

Gunners' central defensive new-boys Laurent Koscielny and Sebastien Squillaci looked nervous wrecks in much the way Philippe Senderos used to.

Hahahaha! Hiki kipande kilianza hivi:

THE Drog and his Rottweilers 2 North London Pussies 0

Arsene Wenger can argue all he likes that physical strength is not a significant factor in the battle for Premier League supremacy and that brains can triumph over brawn.

But the reality is that whenever Chelsea get their teeth into Arsenal these days, they shake them around so violently they are squealing for mercy by the end. And nobody loves chewing up the pop-Gunners more than Didier Drogba.

Wenger said Arsenal would not be intimidated by him and shouldn't be obsessed by his presence.

But Chelsea's ace striker made it 13 goals in 13 games against them with an outrageous 39th-minute finish. Then, five minutes from time, Alex bludgeoned a second with a screaming 25-yard free-kick.

Arsenal had loads of possession and painted lots of pretty pictures. But don't they always?

There were times when Chelsea couldn't get the ball. But they didn't care because, for the most part, whenever Arsenal threatened they were too easily knocked off the ball.......

Source: Chelsea 2 Arsenal 0 | The Sun |Sport|Football
 
...ha ha ha, muda wote nilikuwa naangalia RYDER'S CUP, kisha nika tune game yenu AC Milan jana na ushindi wenu mduuuuchu wa 1 - 0. Naona Ronaldinho kidogo kidogo anageuka Dr Dolittle, unene ushaanza kumshinda.
Hivi rider cup ndio nini vile..? lol..Rossoneri tupo safi..tena umenkumbusha inabidi tuanzishe thread yetu..

Mie jana n'likua n'kenua tu pale midfielder wetu wa zamani ( Ancelloti) alipokuwa anaorganize kikosi cha ushindi..lets face it..sasa hivi hakuna tactical coaches ktk modern football zaidi ya 'The Special One' na Ancelloti.

Sforza Ancelloti..
 
Pole sana mzee mwenzangu,ila mwaka huu mmh!. Unanitia shaka, si kawaida yako. Saa hizi ungekuwa tayari unatupandisha presha mpaka labda Nov, Dec huko, ndio ungekuwa unaanza kudorola. Lakini safari hii mbona mapema mno?

...we acha tu, maji yamezidi Unga!
Hivi Bubu Ataka Kusema kapotelea wapi wakuu?
au ndio mambo ya kampeni za uchaguzi 2010?

Abdulhalim;
The Ryder Cup (officially the Ryder Cup Matches) is a golf competition between teams from Europe and the United States. The competition is jointly administered by the PGA of America and the PGA European Tour, and is contested every two years, the venue alternating between courses in the United States and Europe. The Ryder Cup is also the name of the trophy, after the person who donated it, Samuel Ryder. The Ryder Cup is unique in the world of golf, and possibly professional sports, as despite being a high-profile event which brings in tens of million dollars in TV and sponsorship[1] the players receive no prize money and compete purely for the victory[2].

...No wonder Tiger 'hachezi vizuri' michuano hii. 🙁
 
...we acha tu, maji yamezidi Unga!
Hivi Bubu Ataka Kusema kapotelea wapi wakuu?
au ndio mambo ya kampeni za uchaguzi 2010?




...No wonder Tiger 'hachezi vizuri' michuano hii. 🙁

Bubu naona kakimbia matusi .. ...

Watukutu wamechukua Ryder cup, lakini ni kosa la Mickelson bana amepoteza mechi mbili Arghhhhhhhhhh. (Nitaiangalia weekend mechi za singles nasikia Tiger alipata eagle from more than 100 yards ... ... ...Wawasubiri sasa watakapowatembelea


BTW ukitaka kujua nini hasa kilicho ndani ya wapenzi kwenye hizi mechi inabidi uangalie mashindano haya ... .... ...... utajifunza mengi.
 
Abdulhalim;


...No wonder Tiger 'hachezi vizuri' michuano hii. 🙁

Ryder cup najua ni golf, nilikuwa nakujoke tu najua unadanganya..ulikuwa ukiangalia mtanange wa pale darajani, sema tu najua ulikuwa unatafuta jinsi ya kuchutama..Ok inaruhusiwa kuchutama baada ya kuvuliwa nguo hadharani na watoto wa matajiri wa London.
 
Ryder cup najua ni golf, nilikuwa nakujoke tu najua unadanganya..ulikuwa ukiangalia mtanange wa pale darajani, sema tu najua ulikuwa unatafuta jinsi ya kuchutama..Ok inaruhusiwa kuchutama baada ya kuvuliwa nguo hadharani na watoto wa matajiri wa London.

Khe khe Kheeeeeee Abraham O Vich akifa na timu imekufa khe khe khe kheeeeeeeeeeeeeeeeee.
 
Khe khe Kheeeeeee Abraham O Vich akifa na timu imekufa khe khe khe kheeeeeeeeeeeeeeeeee.
Mie sina sishabikii Chelsea, nafuatilia maendeleo wa kiungo na kocha wetu wa zamani mzee Ancelloti..hao Chelsea wenyewe sasa hivi wanaenda kwenye youth system kwa sababu ya requirements za UEFA. Hakutakuwa tena na matumizi ya pesa isiyojulikana ilipotoka tena huko mbeleni. Hivyo najua yule mmerekani Kenyon anajua nini anafanya kwenye kubalance mahesabu.
 
Mie sina sishabikii Chelsea, nafuatilia maendeleo wa kiungo na kocha wetu wa zamani mzee Ancelloti..hao Chelsea wenyewe sasa hivi wanaenda kwenye youth system kwa sababu ya requirements za UEFA. Hakutakuwa tena na matumizi ya pesa isiyojulikana ilipotoka tena huko mbeleni. Hivyo najua yule mmerekani Kenyon anajua nini anafanya kwenye kubalance mahesabu.

Mbona unajihisi na maelezo mirefuuu?
 
Bubu naona kakimbia matusi .. ...
Watukutu wamechukua Ryder cup, lakini ni kosa la Mickelson bana amepoteza mechi mbili Arghhhhhhhhhh. (Nitaiangalia weekend mechi za singles nasikia Tiger alipata eagle from more than 100 yards ... ... ...Wawasubiri sasa watakapowatembelea


BTW ukitaka kujua nini hasa kilicho ndani ya wapenzi kwenye hizi mechi inabidi uangalie mashindano haya ... .... ...... utajifunza mengi.



...nakwambia, walau Day 3 ya Ryder Cup imetupa "Tiger's Touch!" ila wa uropa wamepata msemo kweli leo mpaka wanaboa!
Sasa nageuzia macho na masikio Commonwealth Games, EPL inaendelea tu mpaka May wala hamnipi shida msiotutakia kheri washika bunduki.

Ryder cup najua ni golf, nilikuwa nakujoke tu najua unadanganya..ulikuwa ukiangalia mtanange wa pale darajani, sema tu najua ulikuwa unatafuta jinsi ya kuchutama..Ok inaruhusiwa kuchutama baada ya kuvuliwa nguo hadharani na watoto wa matajiri wa London.

...ha ha ha, unaona sasa? haya bana.
Jana nilitune sky sports (Arsenal Vs Chelsea) kwa dakika mbili tatu kuangalia update tu,
halafu jamaa zangu wengi supporters wa Arsenal nao jana hawakuangalia game hiyo.
 
Back
Top Bottom