Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Wachumba asanteni sana! Chelsea mlikuwa na easy fixture hata ya leo was an easy one
 
Tumepoteza hii mechi kwa sababu tumeshindwa kuzitumia nafasi tulizopata, anyway Ligi bado inaendelea na nafasi bado tunayo kubwa tu, tukirekebisha makosa madogomadogo kama finishing na wakirudi akina Walcoltt, RVP na Fabregas tuko OK.
 
Tumepoteza hii mechi kwa sababu tumeshindwa kuzitumia nafasi tulizopata, anyway Ligi bado inaendelea na nafasi bado tunayo kubwa tu, tukirekebisha makosa madogomadogo kama finishing na wakirudi akina Walcoltt, RVP na Fabregas tuko OK.

OOhhhhh kumbe! Poleni sana
 
OOhhhhh kumbe! Poleni sana
Wewe sijui leo umelewa ama vipi? umekuja kumwaga matusi bila sababu ya msingi, nilikuwa nakuheshimu zaidi kutokana na avatar yako. Kuna banter tunapeana humu za kimichezo sio kuanza kutukashifu kwamba sijui Ladies na matusi ambayo siwezi kuyarudia, ama ndio kwa vile una usahiba na akina Invisible? sio uungwana mshkaji.
 
Tumepoteza hii mechi kwa sababu tumeshindwa kuzitumia nafasi tulizopata, anyway Ligi bado inaendelea na nafasi bado tunayo kubwa tu, tukirekebisha makosa madogomadogo kama finishing na wakirudi akina Walcoltt, RVP na Fabregas tuko OK.

kweli kabisa mkuu tumeshindwa kutumia nafasi nyingi sana.
 
Wewe sijui leo umelewa ama vipi? umekuja kumwaga matusi bila sababu ya msingi, nilikuwa nakuheshimu zaidi kutokana na avatar yako. Kuna banter tunapeana humu za kimichezo sio kuanza kutukashifu kwamba sijui Ladies na matusi ambayo siwezi kuyarudia, ama ndio kwa vile una usahiba na akina Invisible? sio uungwana mshkaji.

Go to hell buddy wala usijipendekeze kwangu!
 
Go to hell buddy wala usijipendekeze kwangu!
WTF mbwiga nijipendekeze kwako kwa kitu gani GET A LIFE!! mimi sio mtu wa kujibishana umeelewa? End of! sitaongeza neno hata ukirudi kwa sababu wewe ni faggot unayejificha kwenye kivuli cha kompyuta na chakula ya Invisible, Now mwambie bwanaako Invisible anipe ban, mbwiga takataka.
 
WTF mbwiga nijipendekeze kwako kwa kitu gani GET A LIFE!! mimi sio mtu wa kujibishana umeelewa? End of! sitaongeza neno hata ukirudi kwa sababu wewe ni faggot unayejificha kwenye kivuli cha kompyuta na chakula ya Invisible, Now mwambie bwanaako Invisible anipe ban, mbwiga takataka.
Duh mtani yameshakuwa haya tena? Ebanae chill out bro.

On the other hand poleni waungwana.
 
Aisee matusi si vizuri huku majukwaa yetu ya michezo wajameni..mkianza maugomvi na huku wengine tutaacha kuja.
 
Duh mtani yameshakuwa haya tena? Ebanae chill out bro.

On the other hand poleni waungwana.
Mimi siko ivo ila huyu mbwiga amerusha stimu,mimi sijavuka line naongea kiushabiki yeye ameanza kunitukana, nimejaribu kuwa muungwana samahani kwa lugha chafu.
 
Aisee matusi vizuri huku majuwaa yetu ya michezo wajameni..mkianza maugomvi na huku wengine tutaacha kuja.

Samahani everyone, ndio ukaona sisi huko kwenye majukwaa yao hatukanyagi hata hapa tutahama isiwe taabu vilevile.
 
Drogba ndio katunyanyasa miaka hii.


Chelsea-v-Arsenal-Didider-Drogba-celeb_2511026.jpg
 
WTF mbwiga nijipendekeze kwako kwa kitu gani GET A LIFE!! mimi sio mtu wa kujibishana umeelewa? End of! sitaongeza neno hata ukirudi kwa sababu wewe ni faggot unayejificha kwenye kivuli cha kompyuta na chakula ya Invisible, Now mwambie bwanaako Invisible anipe ban, mbwiga takataka.

Duuunh huna akili wewe!
 
Unfortunately for Arsenal - the party's over and you better accept it soon. May be you will scramble into a fourth place finish, but that is not certain as well.

Why is Wenger the only person in the Premier League that doesn't realize that Arsenal needs an experienced striker.....and a world class/proven GK??


Last time I checked, games are won by scoring more goals than your opponent, not by playing "an attractive football"!
 
Hawa jamaa miaka ya hii wametunyanyasa kwelikweli!

Hawana lolote wasikutishe hao wamebebwa na Refa, itabidi wahonge sana mwaka huu lakini recession imewaweka pabaya mwaka huu kitaeleweka tu wala usitie hofu bado tupo saa mbili asubuhi.

Huoni wanakimbilia matusi kisa wabaki washabiki wa Mafioso tu.
 
Back
Top Bottom