Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Mazoezi ya mwisho mwisho kuelekea mech ya Brighton,

Kama kawaida tunaombea njaa mech ya Chelsea iwe, sare au kupigwa

Adui muombee njaa
IMG-20190505-WA0008.jpeg
IMG-20190505-WA0007.jpeg
IMG-20190505-WA0005.jpeg
IMG-20190505-WA0006.jpeg
 
Arsenal want to revamp their squad with homegrown talent this summer, beginning with a £40million move for Crystal Palace star Wilfried Zaha.
-
Zaha is considered to be at the top of the wish list this summer, and still counts as homegrown despite declaring internationally for the Ivory Coast, according to The Sun.
-
Zaha also told Sportsmail last month that he wants to quit Selhurst Park in the summer and join a team in the Champions League which could be the deciding factor in a transfer to the Emirates.
-
[The Sun] [The Express]View attachment 1088391
Hana uwezo wa kucheza arsenal huyo
 
Hana uwezo wa kucheza arsenal huyo
Kwasasa hatuna winger wa kulisha mipira kwa auba na laca

Hivo kwa muono wangu zaha atatufaa sana,

Tukiimarisha na CB , na AM , basi tutakuwa washindani bora next season
 
Kiungo wa Arsenal Aaron ramsey ametoa shukran zake za mwisho kwa mashabiki wa Arsenal kupitia ukurasa wake wa Instagram.


Nimefikiria kwa kuongea dhahiri kwamba nahisi mechi dhidi ya Napoli, Ndio ilikuwa mechi yangu ya mwisho huku nikiwa nimevaa jezi ya Arsenal.
Nasikutegemea kama ile ndio mechi ambayo itaniacha nikiwa na majeraha.
na ndio utakuwa mwisho wangu kuitumika Arsenal tena.


kwababu nilipanga kuitumikia Arsenal hadi mwisho wa mkataba wangu unapokwisha kabisa.
Nimejisikia vibaya sana kwasababu sitoweza kuwa fiti hadi mwisho wa msimu utakapokwisha.


Ila yote kwa yote kwa kipindi hiki cha kuuguza majeraha mimi bado ni mchezaji wa Arsenal.
Ila, ningependa kutoa shukrani zangu za dhati kwa mashabiki wote wa Arsenal kwa ushirikiano wenu mkubwa.

Kitu kingine ningependa kuwajulisha kwamba safari yangu ya kuondoka ipo mbioni.
Nimeitumikia Arsenal ndani ya miaka 11.
Nilikuwa kijana mwenye umri mdogo tena wakawaida sana.
Na mpaka sasa naondoka nikiwa mwanandoa na baba wa familia ya watoto 3.
Najivunia san kwa kumbukumbu nzuri niliyoipata nikiwa ndani ya Arsenal.


Ahsanteni sana"

Bado ninayomengi ya kusema ila kwa haya machache yanatosha.
Mengine nitamalizia kwa kuwaaga kamili siku ya Jumapili ktk kukamilisha mchezo wetu wa mwisho tukiwa nyumbani.

Akamalizia kwa kusema nawashukuru sana
images%20(3).jpeg
download.jpeg
FB_IMG_1557046512116.jpeg
FB_IMG_1557046505991.jpeg
FB_IMG_1557046509252.jpeg
IMG-20190505-WA0012.jpeg
 
Xhaka on away form: "Its difficult to explain why we don’t take the same points in every game. Its so frustrating. With 7 or 8 more points (away), we’d already be in the Champions League. This is the thing that killed us last year. We hope it won’t kill us this year" #Arsenal
 
Arsenal are reportedly interested in offloading a large quantity of players in the upcoming transfer window to increase the club’s spending power, allowing them to sign high quality players to bolster the squad.
-
According to Football.London, there are 9 players on the list that are most likely to be sold in the summer.
-
The players on the list being:
Elneny
Ospina
Lichtsteiner
Martinez
Chambers
Suarez
Mustafi
Jenkinson
Mkhitaryan
-
View attachment 1088393

Mkhitaryan wamuache
 
Watford mpaka sasa wamemkazia Chelsea,

Game ni 50/50

Matokeo yalibak hivo hivo ,tukishinda bas tutakaa namba 4 ,
 
Back
Top Bottom