Aaron Arsenal
JF-Expert Member
- Jul 24, 2014
- 24,498
- 28,720
Haya Emery mm sikuwezi
Leo umetujia na 4-2-2-2
Leo umetujia na 4-2-2-2
Njoo leta msimamo tena ,,maana una kiherehere sana ,
EPL hakuna kitu kama hicho,umeona manyua alichofanywaBahati moja ya arsenal Leo ni kwamba Brighton hana cha kupoteza kwa kuwa hashuki daraja
Anayeongoza ana ngapiAubaaaa 20 goals
22 salahAnayeongoza ana ngapi