Camilo_Cienfuegos
JF-Expert Member
- Sep 9, 2011
- 11,378
- 15,384
Hata kama tunauza wachezaji, tutapata shida kupata mnunuzi, they are rubbishes
Mkuu lile pazia Leno mmenunua soko gani? Mbna limechanika mapema tuu.Ndio maana nimesema ni mshambuliaji WA tofauti, goal poacher,
Tofauti na lacazette , ndio maana wakianzaga wote kazi kubwa anafanya laca, yeye auba anamaliza tu,
Sio kila mshambuliaji lazima awe kama Kane au kun,
Auba ndio alivyo, japo angekuwa makin kwa chance anazochezea alitakiwa awe ana 25 goals hadi sasa ,kuna game karibu 5 hajafunga, lkn ni moja ya wanaongoza magoli,
Hahahahahahahahaha naona pazia lenu limeridhihirisha ubora wake ...hahahahaha mrudisheni Cech mapemaaaBahat gan wakati Burney wamepiga on target mbili kwakuwa una pazia la gharama , zikazama zote
Bahati watu wamenyoosha mashuti kabisa. Pazia likashindwa kuzuia,
Sasa kweli ataweza kustahimili mziki WA laca xhaka boom huyo pazia?
Unakumbuka kombola alilopigiwa pale emirates na Lacazette?
Naona kweli nafasi ya tatu ni yenu mkuu. Hongereni sanaaaNafas ya 3 na 4 ni tot na arsenal ,kwan hilo mpaka Leo hulitambui mkuu?
Arsenal Leo anaweka kibindon point 3, then wikiendi wenye nafas zao za 5&6 wanakutana wanagawana hizo nafas, arsenal anakuwa anahitaji point 2-3 tu, katika mech 2 zilizobaki,
Case closed, Mbona nimekuwa nikiwaeleza humu kila Siku, weka akiba hii comment ,
@LTorreira34
Torreira made 10 interceptions during the first 45 minutes - good display, Lucas
#WATARS https://t.co/sYbAd6CAcRView attachment 1072535
Yohana 3:16
Si imewatokea nyie? Huoni mnaongoza apooooHiyo bahati kwanini isiwatokee nyie?
Hahahahaha Don usipende kuwa na masikhara bana...Tottenham huyo kawaacha!
Pambaneni wakuu.
Bado msimamo ni ule ule. CHELSEA.!Hawa mamluki ndo unategemea wakupeleke top four hahahahahaha ..hichi kitimu kwel kimejaa vichekesho ...
Nasema hivi, LONDON TIMU NI MOJA TU CHELSEA ..zingine zinakimbiza upepo..
KeepTheBluesFlagToFlyHigh..KTBFTFH.
Mkuu huwa upo kishabiki sana, sisi wote arsenal fans lakini wengine tupo objective kidogo.Nafas ya 3 na 4 ni tot na arsenal ,kwan hilo mpaka Leo hulitambui mkuu?
Arsenal Leo anaweka kibindon point 3, then wikiendi wenye nafas zao za 5&6 wanakutana wanagawana hizo nafas, arsenal anakuwa anahitaji point 2-3 tu, katika mech 2 zilizobaki,
Case closed, Mbona nimekuwa nikiwaeleza humu kila Siku, weka akiba hii comment ,
Mpiga tarumbeta huyuuu leo kaoneshwa limau na machungwaa wacha mate yajae apo kinywan nyambafuuKijamaa kisumbufu sana



















Mkuu huwa upo kishabiki sana, sisi wote arsenal fans lakini wengine tupo objective kidogo.
Dogo mbona tunazeeshana asee! Game halinaga umri ujuweBabu naona umekuja kumuelimisha kijana wako
