Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal miyeyusho kweli, yani gem za nyumbani tulikua wapil kwny msimamo b4 gem ya juz na palace, gem za ugenini sijui tulikua nafasi ya kumi huko..

Shida nini timu zilezile wachezaji walewale, au magoli ya ugenini ni madogo hatuwezi kufunga.
 
Arsenal miyeyusho kweli, yani gem za nyumbani tulikua wapil kwny msimamo b4 gem ya juz na palace, gem za ugenini sijui tulikua nafasi ya kumi huko..

Shida nini timu zilezile wachezaji walewale, au magoli ya ugenini ni madogo hatuwezi kufunga.
Wachezaji sio walewale Xhaka na Ramsey umewaona lini mara ya Mwisho?
 
Wachezaji sio walewale Xhaka na Ramsey umewaona lini mara ya Mwisho?
Mi naongelea ubovu wa arsenal kwenye mechi za ugenini, performance mbya ya arsenal ugenini haijaanza msimu huu, na ndio imekua tatizo kwa arsenal kutoingia top 4 ,angekuepo xhaka, angekuwepo nani ugenini kupata matokeo n kwa mbinde, jiulize kwanini arsenal yupo karibu nafasi ya 10 kwenye table ya away?... kwani xhaka na ramsey hawajacheza msimu mzima.?
 
Kama kawaida yang napita chungulia kwa majirani poleni sana

Kwa heshima na taadhima naomba manure na arsenal mbovu mkubali Mimi the blues naenda uefa.
 
Mi naongelea ubovu wa arsenal kwenye mechi za ugenini, performance mbya ya arsenal ugenini haijaanza msimu huu, na ndio imekua tatizo kwa arsenal kutoingia top 4 ,angekuepo xhaka, angekuwepo nani ugenini kupata matokeo n kwa mbinde, jiulize kwanini arsenal yupo karibu nafasi ya 10 kwenye table ya away?... kwani xhaka na ramsey hawajacheza msimu mzima.?
Kwa timu zilizo kuanzia namba 1 mpaka 6 EPL ni Man Cit tu ndie ana uhakika wa first XI yake wengine wote hamna kitu. Timu zilizobaki zinabadilisha mno formation kiasi wachezaji hucheza kama hawajuani vile.
 
Mnalitimu libovu mna wachezaji viwete timu nzima Kipa ndio chujio la nazi kabisa.......
.Acheni midomo timu nyie hamna zaidi ya porojo tu
 
Nyie hata mkicheza na Lipuli anawatandika mna timu nyie kile si kikundi cha wauza choroko tu kinachoongozwa na muhuni mwenzenu Unai
 
Back
Top Bottom