Wewe nawe una mdomo mpana, kwani unampangia mtu kuingia jukwaakile kijamaa mdomo mrefu Kama Kasuku kinadanga majukwa yote sikioni naona kimekimbia uzi wanakiita kiaroni bila shaka.
Amebakwa na mashangingi wolves
binti lala leo haupigwi mashine muda huu uko on.Wewe nawe una mdomo mpana, kwani unampangia mtu kuingia jukwaa
Aondoke tuMimi niulize jamani.
KUNA TIMU HAPA???? Au emery aondoke tu??????
maneno gani haya aiseeeeeeh,,,ushabiki usizidi kiwango ukatoka katika mstari?huu ni ubaguzi aise acha haya mambobinti lala leo haupigwi mashine muda huu uko on.
Bado kuna game 3.Salam zako, wolves ni habari ya mjini
Hahahaha bado kazi ipo mzee
Acha kubwabwaja shoga wewebinti lala leo haupigwi mashine muda huu uko on.
Kama nawaona vile mtakavyowpa support Man U kwenye hiyo gem na Chelsea.....Bado kuna game 3.
Chelsea wana Man.
Bado tupo kwenye hizi mbio.