Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Tottenham huyo kawaacha!

Pambaneni wakuu.
Nafas ya 3 na 4 ni tot na arsenal ,kwan hilo mpaka Leo hulitambui mkuu?

Arsenal Leo anaweka kibindon point 3, then wikiendi wenye nafas zao za 5&6 wanakutana wanagawana hizo nafas, arsenal anakuwa anahitaji point 2-3 tu, katika mech 2 zilizobaki,

Case closed, Mbona nimekuwa nikiwaeleza humu kila Siku, weka akiba hii comment ,
 
Kweny mpira kuna bahat hutokeaga ..Burnley jana ni bahati tu

Ila tuna uhakika Wolves hawatotuangusha..
Bahat gan wakati Burney wamepiga on target mbili kwakuwa una pazia la gharama , zikazama zote

Bahati watu wamenyoosha mashuti kabisa. Pazia likashindwa kuzuia,

Sasa kweli ataweza kustahimili mziki WA laca xhaka boom huyo pazia?

Unakumbuka kombola alilopigiwa pale emirates na Lacazette?
 
Huyu Auba, binafsi namuona ni legelege na sio mpambanaji mpaka huwa nashangaa kule Bundesliga aliwezaje kung'ara?
Unatakiwa ujue laca ni fighter auba ni aina ya washambuliaji wamaliziaji,

Ndio maana ana 19 goals

Japo ananiboa sana alitakiwa awe na 25 goals hadi sasa
 
As a striker, you're supposed to be cold blooded. Angalia Harry Kane hana huruma hata kidogo, sasa huyu Auba kama kama anajifunza kumbe ni veteran

Unatakiwa ujue laca ni fighter auba ni aina ya washambuliaji wamaliziaji,

Ndio maana ana 19 goals

Japo ananiboa sana alitakiwa awe na 25 goals hadi sasa
 
As a striker, you're supposed to be cold blooded. Angalia Harry Kane hana huruma hata kidogo, sasa huyu Auba kama kama anajifunza kumbe ni veteran
Ndio maana nimesema ni mshambuliaji WA tofauti, goal poacher,

Tofauti na lacazette , ndio maana wakianzaga wote kazi kubwa anafanya laca, yeye auba anamaliza tu,

Sio kila mshambuliaji lazima awe kama Kane au kun,

Auba ndio alivyo, japo angekuwa makin kwa chance anazochezea alitakiwa awe ana 25 goals hadi sasa ,kuna game karibu 5 hajafunga, lkn ni moja ya wanaongoza magoli,
 
Akicheza Guendouzi, Elnen na Mustafi hii game itakua ngumu.

Ikatokea naulizwa nitasema ni bora Mustafi awepo ila hao wawili wasiwepo.
 
***** hivi ramsey hajapoa. Wadau huyu wolve kufungwa kwao ni ngumu sana kwa mujibu wa rikodi za nyuma. Sasasijui leo itakuwaje maana kati kuna kandsome boy ozil. Mpira ukimkubali sawa lakini ukimkataa utajua kwanini ukamchezeshe
 
#WOLARS TEAM NEWS

Seven changes to our XI
Sokratis back from suspension
Xhaka, Torreira start in midfield
Screenshot_2019-04-24-21-00-04.jpeg
 
***** hivi ramsey hajapoa. Wadau huyu wolve kufungwa kwao ni ngumu sana kwa mujibu wa rikodi za nyuma. Sasasijui leo itakuwaje maana kati kuna kandsome boy ozil. Mpira ukimkubali sawa lakini ukimkataa utajua kwanini ukamchezeshe
Ramsey wiki NNE ,atacheza game ya mwisho au fainal ya europa
 
Kikosi kizuri Sema tuwe na displin ya kushambulia hawa madogo kwa couter ni wazuri sana
IMG-20190424-WA0029.jpeg
 
Back
Top Bottom