ruralofficer
JF-Expert Member
- Apr 4, 2014
- 2,499
- 3,635
Kijamaa kisumbufu sanaMzee wa arsenyeto upo
Haaaz Haaa haaaa
Kijamaa kisumbufu sanaMzee wa arsenyeto upo
Haaaz Haaa haaaa
Tutabeba Europa haumjui Emery Master... Maneno hayo yamerudiwa bwana mmoja mjuaji juaji wa jukwaa hili ,nasubiri uishe tuweke matanga hapa
Mshamba sana oyo domo kaya hahaaa
Huyu mpiga domo Aroon yuko wapi.?
Sijui haya mafala yana mgomo?
Timu yenu imeoza bob, hamna hadhi ya kucheza Epl, nyie hadhi yenu ni ndondo cupNafas ya 3 na 4 ni tot na arsenal ,kwan hilo mpaka Leo hulitambui mkuu?
Arsenal Leo anaweka kibindon point 3, then wikiendi wenye nafas zao za 5&6 wanakutana wanagawana hizo nafas, arsenal anakuwa anahitaji point 2-3 tu, katika mech 2 zilizobaki,
Case closed, Mbona nimekuwa nikiwaeleza humu kila Siku, weka akiba hii comment ,
Teh teh teh!Umeridhika bila shaka
acha afunzwe adabu, naona kamekimbiaKijamaa kisumbufu sana
Wapi wanakodisha viti maana mgonjwa kafanya donation ya moyo na figo 2 hatutegemei kupona, pia tunahitaji mziki mkubwa sana marehemu mtarajiwa anapenda tarabuHahaa.. Mkuu inabidi tuanze kutuma vijana waanze kutundika maturubai, wengine waanze kukusanya masufuria. Halaf ongea na mwenyekiti atusaidie viti vya kukalia
Alisikika mlevi mmoja wa arsenane akiropokaTumemtukana sana Mustafi baba wa watu kumbe timu lenyewe limejaa Mashoga na Mabwabwa mood ya kuangalia hata mechi ya Man city imekata Kabisa
hiiii tim kama unaumwa moyo unakufa hasira yaan huuu ni usengeTimu yenu imeoza bob, hamna hadhi ya kucheza Epl, nyie hadhi yenu ni ndondo cup
Naona mnaongoza ball possession, hongereni itawapeleka UCL....Nafas ya 3 na 4 ni tot na arsenal ,kwan hilo mpaka Leo hulitambui mkuu?
Arsenal Leo anaweka kibindon point 3, then wikiendi wenye nafas zao za 5&6 wanakutana wanagawana hizo nafas, arsenal anakuwa anahitaji point 2-3 tu, katika mech 2 zilizobaki,
Case closed, Mbona nimekuwa nikiwaeleza humu kila Siku, weka akiba hii comment ,

Wapi wanakodisha viti maana mgonjwa kafanya donation ya moyo na figo 2 hatutegemei kupona, pia tunahitaji mziki mkubwa sana marehemu mtarajiwa anapenda tarabu