OllaChuga Oc
JF-Expert Member
- Jul 4, 2016
- 21,933
- 25,245
Kwel mimi ni kiazi maana leo asubui tu nilimwambia AROON mna fixture ngumu na leo mtapoteza maan CP aez kubali kupigwa mara mbili na timu zote kubwa ..juzi kaliwa na City na leo kamla mtu tena kweny geto lake ..ulifaa kujibu baada ya mechi ya napoli unajibu leo....unadhihirisha ukiazi....

