barafuyamoto
JF-Expert Member
- Jul 26, 2014
- 32,405
- 29,802
Mkuu nilikwambia, ukiweka tu kina elneny na guendouzi pale kati ni sawa mko tisa kwa kumi na moja, hawama msaada!Ligi iishe tuuze hii kina mustafi na neny
Wanawaangusha wenzao
Mkuu nilikwambia, ukiweka tu kina elneny na guendouzi pale kati ni sawa mko tisa kwa kumi na moja, hawama msaada!Ligi iishe tuuze hii kina mustafi na neny
Wanawaangusha wenzao
Mmekuja kujipozea hukuMmetolewa kamasi mara 3 nyumbani
Kweli nimeaminiMkuu nilikwambia, ukiweka tu kina elneny na guendouzi pale kati ni sawa mko tisa kwa kumi na moja, hawama msaada!
Na kikosi kapanga kibovu sana,kocha ana sehemu yake ya kubeba lawamaKocha anajitahid ila kuna michezaji ovyo inamuangusha
Nadhan Leo ndio mwisho mustafi kuendelea kuwepo arsenal ,
Hatuwez kuwa na defender mbovu kias hiki
Mustafi nafikiri anatumia hirizi mpaka anapangwa pangwa.Kweli nimeamini
Halafu unai kashaambiwa na malegend kuhusu huo upuuz anaouweka kati haelewi
Mara ya pili hii wanatukost
Jumlisha na msenge mustafi
Mmekuja kujipozea huku
Kazi kulaumu wenzake tuKocha anajitahid ila kuna michezaji ovyo inamuangusha
Nadhan Leo ndio mwisho mustafi kuendelea kuwepo arsenal ,
Hatuwez kuwa na defender mbovu kias hiki
Kocha kama anaendelea kufanya makosa yale yale huyo atufai. Tatizo anajifanya anajua zaidi.Kweli nimeamini
Halafu unai kashaambiwa na malegend kuhusu huo upuuz anaouweka kati haelewi
Mara ya pili hii wanatukost
Jumlisha na msenge mustafi
kweli mkuuLigi iishe tuuze hii kina mustafi na neny
Wanawaangusha wenzao
Mechi za away hatuko vizuri. Nyumbani ni ngome alafu jamaa anapanga kikosi mbofu mbofu. Ilitakiwa mechi hizi za nyumbani tufunge hesabu ugenini tukabahatishe!Unai kalewa sana sifa bado tuna wolves Leicester city na wabishi Burnley Dah dah hii game ilikuwa ni must win tumepoteza kisenge senge namna hii
Nilikuambia kuwa selection siooooo....dadeq jamaa kaharibu nyumbani, unadhani kwa wolves tutatoka!!!Bad selection imechangia
Ila hatuwez kuwa na michezaj type ya mustafi
Pole mkuu. Ndiyo mchezo ulivyo.Pamoja na kocha kupanga ovyo kikosi
Kuna michezaji haifai kuchezea arsenal
Anaanza mustafi ,elneny ,
Emery najua hawez kubaki na hii mizigo