Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

COYGs!!

Arsenal jana walicheza mchezo ambao twaita upper level.

Kocha Unai Emery aliamua kutumia mtindo wa 3-4-1-2 ambao mara nyingi Arsenal hutumia kwenye mechi za nyumbani.

Ni mtindo ambao Lacazette na Aubameyang huwa mbele huku Aaron Ramsey akicheza nyuma yao kusaidia mashambulizi.

Na baada ya hapo mechi na Crystal Palace jumapili ilikuwa kichwani mwa Emery ambae aliaua kumtoa Lacazette ili kumpa nafasi ya kupumzika.

Hivyo baada ya Ramsey kuumia basi jumapili tutegemee timu ileile iloifunga Napoli isipokuwa Henrikh Mkhitaryan ambae ataziba nafasi yake.

Barabara ya kwenda kwenye fainali mjini Baku hapo tarehe 29 mwezi May yaonekana si ngumu sana kupitika.

COYGs!!!
 
Here's our latest team news update ahead of Sunday’s match against Crystal Palace:

Sokratis
Serving second of two-match Premier League suspension.

Aaron Ramsey
Left hamstring. Will be assessed over the forthcoming days. Will miss Sunday’s match.

Granit Xhaka
Hip. Being assessed ahead of Crystal Palace (h) on Sunday.

Denis Suarez
Groin. Being assessed ahead of Crystal Palace (h) on Sunday.

Hector Bellerin
Left knee. Continuing with gym based rehabilitation and strengthening post-surgery.

Rob Holding
Left knee. Progressing through end stages of gym rehabilitation and conditioning.

Danny Welbeck
Right ankle. Started on-field rehabilitation, conditioning and ball work.
 
Unai Emery: "Sunday is going to be very difficult, and also we
continue without Sokratis because he is suspended. Some of the
players who played today maybe cannot play on Sunday. We want
to play a lot of matches, difficult matches, but we need to prepare
well." #AFC #Arsenal
 
SO SAD....

Emery says Ramsey is out for 2-3 weeks with a hamstring problem. Worst case scenario would mean he could only potentially feature in the final PL game of the season (and then the EL final if Arsenal get there). Story to follow.
 
Here's our latest team news update ahead of Sunday’s match against Crystal Palace:

Sokratis
Serving second of two-match Premier League suspension.

Aaron Ramsey
Left hamstring. Will be assessed over the forthcoming days. Will miss Sunday’s match.

Granit Xhaka
Hip. Being assessed ahead of Crystal Palace (h) on Sunday.

Denis Suarez
Groin. Being assessed ahead of Crystal Palace (h) on Sunday.

Hector Bellerin
Left knee. Continuing with gym based rehabilitation and strengthening post-surgery.

Rob Holding
Left knee. Progressing through end stages of gym rehabilitation and conditioning.

Danny Welbeck
Right ankle. Started on-field rehabilitation, conditioning and ball work.

Mustafi ataziba pengo la Socratis, alijitahidi sana kwenye mechi na Watford.

Xhaka anaweza kuanza na baadae kama Arsenal itakuwa iikiongoza kwa goli au magoli basi Matteo Guendouzi ataingia, pale central midfield, kitu kiitwacho "shutting the shop" au kufunga biashara.
 
Mustafi ataziba pengo la Socratis, alijitahidi sana kwenye mechi na Watford.

Xhaka anaweza kuanza na baadae kama Arsenal itakuwa iikiongoza kwa goli au magoli basi Matteo Guendouzi ataingia, pale central midfield, kitu kiitwacho "shutting the shop" au kufunga biashara.
kwa game hii home itakua si ngumu kama ingekua away
 
HUYU NDIYE SAED KOLASINAC

Ni 25 years mpaka sasa ni mchezaji ambae pia anaweza kucheza position yeyote huko backline kiufupi huwa tunaita versatility ni mbosnia taifa lake

Saed tulimchukua SH04 Ugermany free agent kati ya recruit nzuri basi uyu ni mmoja wao saed katusaidia sana kwa uwezo wake wa kuweza kucheza advanced role ya full back tunahita wing back

Amekuwa sehemu ya magoli yetu mengi tu tunayo push from widening kimsing physically yuko fit mpaka kupewa jina la utani THE TANK natumai wengi wengi tunatamani kuendelea kumuona msimu ujao

Binafsi sina shaka nae saed versatility player ni kama gold husaidia sana pale team inapohitaji kufanya rotation kimfumo na kiuchezaji pia

We are the arsenal
FB_IMG_1555752376321.jpeg
 
AINSLEY MAITLAND-NILES VERSATILE PlAYER ANAE HITAJI MUDA

Pengine wapo baadhi hawajui products au academy graduate kutoka academy ya arsenal ijulikanayo kama HALE END basi niles ni mmoja wa hizo product

Akiwa na umri wa miaka 21 tu msimu huu ameweza kupata regular starter nyingi kutokana na sisi kukumbwa na majeruhi mara kwa mara

Kuna wengi wanajiuliza niles ni nafasi gani hasa anaipenda?,
mwenyewe aliwahi kuhojiwa na kusema ni central midfielder ndio natural position

Sema uwezo wake wa kucheza nafasi tofauti tofauti kwa ufanisi mkubwa unamfanya kuwa versatile akiweza cheza winger na full back pia

Najua kuna game anakosea hii hali ya kawaida niles still young ni promising player but potential anahitaji muda kujifunza ili kufanya vizuri zaidi ,

kwanini hebu fatilia historia ya bellerin binafsi huyu mwingereza ana ni inspire sana kimsingi.

Ni moja ya vijana ambao Arsene Wenger aliwaibua.,
 
Namkubali sana huyo jamaa
HUYU NDIYE SAED KOLASINAC

Ni 25 years mpaka sasa ni mchezaji ambae pia anaweza kucheza position yeyote huko backline kiufupi huwa tunaita versatility ni mbosnia taifa lake

Saed tulimchukua SH04 Ugermany free agent kati ya recruit nzuri basi uyu ni mmoja wao saed katusaidia sana kwa uwezo wake wa kuweza kucheza advanced role ya full back tunahita wing back

Amekuwa sehemu ya magoli yetu mengi tu tunayo push from widening kimsing physically yuko fit mpaka kupewa jina la utani THE TANK natumai wengi wengi tunatamani kuendelea kumuona msimu ujao

Binafsi sina shaka nae saed versatility player ni kama gold husaidia sana pale team inapohitaji kufanya rotation kimfumo na kiuchezaji pia

We are the arsenalView attachment 1076465
 
"""LEO SPURS ANAPIGWA:"""TUNAMBUTUA CRYSTAL PALACE TUNAKAA NAFASI YA TATU""

"BADO KUNA
MAN UTD VS MANCIT
MAN UTD VS CHELSEA


"""HIZO MECHI ZOTE ZINATUBEBA"""CHA UMUHIMU TAREHE 24 TUKAZE KWA WOLVERHAMTON TUPATE HATA SARE ITATUFAA SANA
Wewe ulisema una gemu nyepesi lakin zinaenda kuwa mzigo kwako ..leo utapigwa tena..
 
Kwa pazia lao lile kepa, wanaweza kuaga mashindano,
Wee mbuzi kweli kweli ..Kepa unamfananisha na kipa gani kwenye top six zote? Leno?? Uyo ndo ata robot ya ubora wake hafiki. Kepa ana msimu mmoja tu lakini kaonyesha uwezo wa hali ya juu ..uyo Leno akikutana na timu znazonyosha mashine kali golini ..atapoteana..

Leta stats apa za Kepa na Leno..
 
Wewe ulisema una gemu nyepesi lakin zinaenda kuwa mzigo kwako ..leo utapigwa tena..
Umeanza ramli, shauri yako

Mm kesho ni emirates au kaburi la wapinzani

Siku unayocheza wewe na manyumbu, ndio siku mtaayokuwa mnagombania nani awe namba 5 na 6
 
Wee mbuzi kweli kweli ..Kepa unamfananisha na kipa gani kwenye top six zote? Leno?? Uyo ndo ata robot ya ubora wake hafiki. Kepa ana msimu mmoja tu lakini kaonyesha uwezo wa hali ya juu ..uyo Leno akikutana na timu znazonyosha mashine kali golini ..atapoteana..

Leta stats apa za Kepa na Leno..
Umeanza mbwembwe tena , unataka kujipiga ban nyingine?

Kepa pazia huyu aliyepigwa magoli ya mbali na Slavia juzi?
 
Lacazette on the differences between Emery & Wenger: "There's a lot of difference. We work tactically more, we do more video as well. How the coach speaks is different than Wenger. I think we are better every month, better & better, we are improving" #Arsenal
IMG-20190419-WA0031.jpeg
 
Back
Top Bottom