Magazine Fire
JF-Expert Member
- Dec 28, 2011
- 1,364
- 1,475
Mkuu inawezekana Unai naye ana bet -Sportpesa ndio mana amesababisha tufungwe.*Nimetambua kwanini Timu ikishinda sifa zinaenda kwa wachezaji na ikiharibu mzigo anaubeba kocha.*
Nilikuwa najiuliza' hivi huwa inakuwaje mtu anajiuwa!!? Leo nimeona Unai anajiuwa wazi mara baada ya kuona kikosi.
Nilidhani ni majaribio tu wala sio kikosi rasmi.
Duh' yaani kuwazodoa kote watu wa Man u' kumbe Unai anatuchora tu.





