OllaChuga Oc
JF-Expert Member
- Jul 4, 2016
- 21,933
- 25,245
Hahaha mzee kaingiza upepo hahaha mbweha wale ata mpange kikosu gani ..lazima wawale tuu..Emery anawaamini kabisa kina mustafi na neny si upuuzi huu
Hahaha mzee kaingiza upepo hahaha mbweha wale ata mpange kikosu gani ..lazima wawale tuu..Emery anawaamini kabisa kina mustafi na neny si upuuzi huu
Kwa iyo izo goli tatu ni chache siyo hahahahahaha ..kweli kipigo kimekuvuruga hujui ata ukisemacho..Kwan kuna kipa hafungwi? Kwanza Leo Leno kaokoa nyingi ,sababu ya upuuz WA mustafi ,angekuwa kepa tungepigwa 6
HahahahahahahahahKwa iyo izo goli tatu ni chache siyo hahahahahaha ..kweli kipigo kimekuvuruga hujui ata ukisemacho..
Sasa kumbe unajua kuwa kipa anafungwa. Mimi nikazanj Leno hajawahi kabisa kufungwa ..yeye ni Klin sheat tu ..sasa niambie top six zote kipa gan bora kwa sasa zaid ya Kepa.?Kwan kuna kipa hafungwi? Kwanza Leo Leno kaokoa nyingi ,sababu ya upuuz WA mustafi ,angekuwa kepa tungepigwa 6
Tena huu ni uhakika kabisa hahahahahaha ...Next Wolverhampton msiba mwingine huu
Yeye anajiona ana kikosi kizuuuurii ..kumbe ana group tu la wachezaji ..tena vile vya paundi kumi kumi...Sasa we jamaa kwani kocha wako leo kapanga wachezaji wa cardiff city?
Si ni wa arsenal kabisa?, kama ni wabovu , inamaanisha timu ni mbovu.
Mngekuwa na timu nzuri sasa hivi mgekuwa mnafukuzana na liverpool na Man city.
Spurs -67points -michezo 34
Arsenal-66points-michezo 34
Chelsea-66points- michezo 34
Man u -64points- michezo 34
Hizi timu nne zote viwango vyao vinapishana kidogo.
Kwangu mimi zote ni timu mbovu.
Unaonaje unakimbizana na gari la mkaa halafu bado linakuacha..! Hujistukii tuu??Chelsea hana tatizo, lile ni km gari la mkaa trip shamba trip gereji
Atashinda kesho mechi ijayo anapigwa,battle inaendelea palepale
Hahahahahaha pale tumepigwa mkuu...Yan Leno tumepigwa. Kipa gani ukilenga tu Imoooo
Walisema wana fixture nyepesi hahahahahahhaha...Eti waliobaki tunapiga wote.. Hahahaaaaa
Labda wakaze makalio ..wakilegeza ndo ivo ..wauni wanapita tuu ...bahahaahahaMsijali wakuu,kazenii mechi zilizobaki mbaki hapo kwenye top4....Hawa Man4 asahiv hawana cha kupoteza Maana ticket ya top4 washaipoteza na kuna uwezekano hata Europe wakaipoteza wakifanya mas-hara
Mkuu lazima tumepigwa. Haiwezekani kabisaHahahahahaha pale tumepigwa mkuu...
Hawa gongowazi wanawezaje kuwa na uhakika ivyo. Timu yenyewe ArsenalWalisema wana fixture nyepesi hahahahahahhaha...
Eti waliobaki tunapiga wote.. Hahahaaaaa
haahaaaKwa kipa pazia kepa uchukue Europa ? Kina lacazette wanakuwa wapi?
Kumbe ukifungwa unakuwaga mpole hivi maana unaongeaga sana kwenye thread yetu ya the blues.