Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal had a month off in March. The players should be able to handle a busy run in. It’s about points on the board, and Wolves away is now the most important game of the season. Emery needs to get his selection right. Mustafi & Elneny have proved they cannot be trusted. #ARSCRY
sure
 
Endelea kupiga ramli...
Sisi huwa hatupigi ramli ..huwa tunaongea kitu kinachoonekana ..ile fixture yenu ilionekana kuwa nyepesi sana kiasi kwamba mulijipa uhakika wa kukamata nafasi ya tatu ..sasa naona mambo hayaendi kama yalivyopangwa .

tuimbe Niue mama Niue x2 ..Niue mama Niuex2
 
Sisi huwa hatupigi ramli ..huwa tunaongea kitu kinachoonekana ..ile fixture yenu ilionekana kuwa nyepesi sana kiasi kwamba mulijipa uhakika wa kukamata nafasi ya tatu ..sasa naona mambo hayaendi kama yalivyopangwa .

tuimbe Niue mama Niue x2 ..Niue mama Niuex2
Uzuri namba 5 na 6 ni za Chelsea na man u

Upangaji mbovu wa kikosi WA Leo sidhan kama utajirudia tena kwa mech zilizobak
 
Sisi huwa hatupigi ramli ..huwa tunaongea kitu kinachoonekana ..ile fixture yenu ilionekana kuwa nyepesi sana kiasi kwamba mulijipa uhakika wa kukamata nafasi ya tatu ..sasa naona mambo hayaendi kama yalivyopangwa .

tuimbe Niue mama Niue x2 ..Niue mama Niuex2
ulifaa kujibu baada ya mechi ya napoli unajibu leo....unadhihirisha ukiazi....
 
Tatizo Unai mbishi amerudia kosa tena Mkuu.
kule france alikuwa akiweka nje key players anashinda 3,4 ila huku anatakiwa ajue mambo ni tofauti...mechi yeyote panga squad matata ubebe alama tatu unajuaje hiyo next match ngumu kama utapata matokeo ugenini? ukisuluhu je? hope atakuwa kapata somo....
 
Msijali wakuu,kazenii mechi zilizobaki mbaki hapo kwenye top4....Hawa Man4 asahiv hawana cha kupoteza Maana ticket ya top4 washaipoteza na kuna uwezekano hata Europe wakaipoteza wakifanya mas-hara
 
Back
Top Bottom