Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Wabovu naona jana mmekesha kwenye uzi wetu!

Tunawakaribisha tena kwa mara ngingine baada ya hapa katikati kupotea kusikojulikana naona sisi kutoa suluhu mbili kumewaibua kwenye mahandaki mmesahau vipigo vyenyu vya 5, 4, 3..

 
Wabovu naona jana mmekesha kwenye uzi wetu!

Tunawakaribisha tena kwa mara ngingine baada ya hapa katikati kupotea kusikojulikana naona sisi kutoa suluhu mbili kumewaibua kwenye mahandaki mmesahau vipigo vyenyu vya 5, 4, 3..

Nawaonea huruma kwa kuwa hata ubingwa hamtaupata maana mtapoteana vibaya.
Arsenal hatuna mpango wa ubingwa mwaka huu ila mwakani. Kwa sasa timu inastruggle top 4 japo waliotangulia wakizidisha makosa tunakuwa mabingwa maana Mungu siyo Joyce.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wabovu naona jana mmekesha kwenye uzi wetu!

Tunawakaribisha tena kwa mara ngingine baada ya hapa katikati kupotea kusikojulikana naona sisi kutoa suluhu mbili kumewaibua kwenye mahandaki mmesahau vipigo vyenyu vya 5, 4, 3..

Pambana na hali yako mkuu,city anakupumulia.....

You Will Never Win EPL

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Unai ameambiwa kama anahitaji kufanya usajili wa maana katika dirisha lijalo basi apunguze waliopo ili kupunguza matumizi ya mishahara hewa......

CECH,WELBECK,LICHTSTEINER,RAMSEY hatutakuwa nao next season

Lakini pia club inacheck offer nzuri ili iwauze MUSTAFI,ELNENY,MIKHITARYAN,OZIL.....


NACHO nae ndio anamaliziamalizia

So hili likifanikiwa basi Unai atatengeneza timu aitakayo lakini asitegemee cash money kutoka kwa mabosi...inasemekana jamaa pesa watakayotoa haitozidi £50m

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Unai ameambiwa kama anahitaji kufanya usajili wa maana katika dirisha lijalo basi apunguze waliopo ili kupunguza matumizi ya mishahara hewa......

CECH,WELBECK,LICHTSTEINER,RAMSEY hatutakuwa nao next season

Lakini pia club inacheck offer nzuri ili iwauze MUSTAFI,ELNENY,MIKHITARYAN,OZIL.....


NACHO nae ndio anamaliziamalizia

So hili likifanikiwa basi Unai atatengeneza timu aitakayo lakini asitegemee cash money kutoka kwa mabosi...inasemekana jamaa pesa watakayotoa haitozidi £50m

Sent using Jamii Forums mobile app

WTF
 
Back
Top Bottom