Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

It's just a bad day for the lads, inachukua mda kutengeneza timu. Shida kubwa ya timu hii ni ubahili..
Sio ubahili ni manunuzi mabovu
Mlitakiwa mnunue beki lakini mmenunua Denis Suarez poleni sana Asno
 
Sema tena mkuu vipi point 3 zipo?
Maisha yetu tunayajua wenyewe. Hatubabaishwi na yeyote tunaenda city kutafuta point 3 marefa wachezeshe game fair siyo akina sterling wanajiangusha kisenge senge refa anaweka tuta mara kazidi hakuna offside goli tunapigwa magoli ya kihuni.
Game inaisha mchezaji anahojiwa anasema hata maamzi ya referee yamesaidia kupata point tatu kwetu.
Ila tutawaonesha kuwa sisi siyo watoto wa mama kudadadadeki moto utawaka .

Sent using Jamii Forums mobile app

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom