DullyJr
JF-Expert Member
- Apr 10, 2011
- 13,979
- 11,816
kama kile cha juzi ulichopigwa na watoto wa mbwa bournamouth hahahahahahahahahaahha kweli nyani haoni kundule..........yaani wewe uliyepigwa 4 sifuri na vitoto unanicheka mimi loh kujisahaulisha hukuIla hawa gunners washapokea vipigo vizito kweli. Keshawahi kufa 8, mimi nikampiga 6.
Washazoea vipigo hawa
Sent using Jamii Forums mobile app