Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Asenyeto mmeshaondolewa top four
Kwani tulipelekwa na nani. Naona unapata shida kwa mambo yasiyokuhusu.
Arsenal itabaki kuwa arsenal maana ilikuwepo hata kabla ya wewe kuwepo na babu yako na ikafanya vizuri ndiyo maana leo wewe unaizungumzia.
Arsenal ina njia zake za kufanikiwa ktk soka na itazipitia hizo kufanikiwa na hatutegemei matokeo ya game moja tu bali tunategemea matokeo yote kwa ujumla na ndiyo maana tunashinda na kupoteza kama tulivyokufunga wewe na tukapoteza kwingine.
Kinachowasumbua ninyi ni uhamaji holela wa timu zetu hamna makao maalumu.

We are the GUNNERS forever.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kwani tulipelekwa na nani. Naona unapata shida kwa mambo yasiyokuhusu.
Arsenal itabaki kuwa arsenal maana ilikuwepo hata kabla ya wewe kuwepo na babu yako na ikafanya vizuri ndiyo maana leo wewe unaizungumzia.
Arsenal ina njia zake za kufanikiwa ktk soka na itazipitia hizo kufanikiwa na hatutegemei matokeo ya game moja tu bali tunategemea matokeo yote kwa ujumla na ndiyo maana tunashinda na kupoteza kama tulivyokufunga wewe na tukapoteza kwingine.
Kinachowasumbua ninyi ni uhamaji holela wa timu zetu hamna makao maalumu.

We are the GUNNERS forever.

Sent using Jamii Forums mobile app
Umeandika pumba

Sent using Jamii Forums mobile app
 
"imba huu wimbo kidogo"

Hitakuwa uzuni kwa ndugu na masela safari ya arsenal kufa tena kama msimu wa mwaka jana si mume wenu msimu uliopita kachukua point 6 kwako kachukua CARABAO kwako

the gay gunners forever
 
Jamani leo mie niko upande wenu yaani 2-1 ushindi unatakiwa mkishindwa hata draw tu jamani the Gunners

Leo tunamtegemea Lacazette na Ozil wafanye kweli

Lakini chonde chonde wadau msijiroge kumweka benchi Ozil halafu mu mchezeshe Ramsey au Iwobi, yaani Ozil ana umuhimu mkubwa pengine kuliko Laca au Auba
 
This is Arsenal the Gunners! The Only record breaker wa Unbeaten. Leo nipo upande wenu nawaunga Mkono kwa nguvu zote, tafadhali nipigieni huyo Pep.

Mna world Class players wengi ambao ni game changers, Laca, Auba, Ozil.

Please let's make it happen, Msituangushe hata kama mtapata draw it's Ok.. lakini muhimu msifungwe.

Come On the Gunners....💪💪
 
This is Arsenal the Gunners! The Only record breaker wa Unbeaten. Leo nipo upande wenu nawaunga Mkono kwa nguvu zote, tafadhali nipigieni huyo Pep.

Mna world Class players wengi ambao ni game changers, Laca, Auba, Ozil.

Please let's make it happen, Msituangushe hata kama mtapata draw it's Ok.. lakini muhimu msifungwe.

Come On the Gunners....
Arsenal haiwezi kumshunda man city kwa mpira labda kwa MANENO

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom