msomi uchwara
JF-Expert Member
- Oct 17, 2017
- 4,694
- 8,809
Mmesharudi tena kwenye maisha yenu
Mkuu na wewe upo humu ?Kweli Arsenal ilishafahamika toka zamani mkuu !
Na utabaki hapo hapo other wise utaendelea kushuka zaidi. Bado una gemu na City, Liver, Chelsea Bonamouth ..Arsenal amekipiga na hao wote..Kabisa mkuu,nani aliamini leo hii MUFC ingekuwa nyuma ya Chelsea kwa points 2 pekee?
Na utabaki hapo hapo other wise utaendelea kushuka zaidi. Bado una gemu na City, Liver, Chelsea Bonamouth ..Arsenal amekipiga na hao wote..
Wewe bado halali yako ni nafasi ya sita.
Sent using Jamii Forums mobile app
Bwahaha ..mpira ungekuwa mrahisi ivyo mungebeba makombe miaka ya yote.Unaandikaga hivi halafu nikishawachakaza wote utasema nimebahatisha.
Hao wote nimecheza nao kwao,wanakuja pale nyumbani,kama unavyojua hapo wasiwasi upo kwa Bournemouth tu,zilizobaki nanyuka tu. Ila City naweza kumfikiria ili liver asiwe bingwa.
Pamoja na ubovu wetu wote ule lakini chelsea aliitafuta sare pale darajani.......chelsea anakuja ot....liverpool ot....city ot......Bwahaha ..mpira ungekuwa mrahisi ivyo mungebeba makombe miaka ya yote.
Ninyi bado hamna kikosi cha kuisimamisha Chelsea au Liverpool au Man city..
Apo OT shamba la bibi tunachukua point tatu safi kabisa.
Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu na wewe upo humu ?
Pamoja na ubovu wetu wote ule lakini chelsea aliitafuta sare pale darajani.......chelsea anakuja ot....liverpool ot....city ot......
Ot c ndo pale burnley alipowasaka mpk mkaona dunia chunguPamoja na ubovu wetu wote ule lakini chelsea aliitafuta sare pale darajani.......chelsea anakuja ot....liverpool ot....city ot......
Hahahaha wanaona OT kama uwanja usiofungika wakati ni miongoni mwa viwanja virahisi sana apo EPL.
OK, nambie man utd akiwa OT mwaka huu amepoteza michezo mingapi na ameshinda michezo mingapi ili ku-validate kauli yako kuwa OT ni kiwanja rahisi kupata matokea!Hahahaha wanaona OT kama uwanja usiofungika wakati ni miongoni mwa viwanja virahisi sana apo EPL.
Enzi za Alex Fargie tumejipigia apo sasa uyu Ole na mpira wake wa kuunga unga...
Sent using Jamii Forums mobile app
Dah! wewe utakua mjumbe wa Kamati ya Roho MbayaUnaandikaga hivi halafu nikishawachakaza wote utasema nimebahatisha.
Hao wote nimecheza nao kwao,wanakuja pale nyumbani,kama unavyojua hapo wasiwasi upo kwa Bournemouth tu,zilizobaki nanyuka tu. Ila City naweza kumfikiria ili liver asiwe bingwa.
Dah aseh, karibu chama kubwa!!.. we are COYG!.💪👏
Hahaha Cousin na wewe uko huku aisee ???Dah aseh, karibu chama kubwa!!.. we are COYG!.💪👏
Aiseh Arsenal ni zaidi ya moyo kwakweli!!.. Utaniambia nini kuhusu hii club.Hahaha Cousin na wewe uko huku aisee ???
Daah safi cuz, japo tunachekwa sana siku hizi.Aiseh Arsenal ni zaidi ya moyo kwakweli!!.. Utaniambia nini kuhusu hii club.
1. Arsenal
2. Arsenal
3. Barcelona
😀😀
We jamaa kumbe unamuogopa Bournemouth hivyo ,kisa kakufunga wewe unazani atafunga timu zote.Na utabaki hapo hapo other wise utaendelea kushuka zaidi. Bado una gemu na City, Liver, Chelsea Bonamouth ..Arsenal amekipiga na hao wote..
Wewe bado halali yako ni nafasi ya sita.
Sent using Jamii Forums mobile app
Bwahaha ..mpira ungekuwa mrahisi ivyo mungebeba makombe miaka ya yote.
Ninyi bado hamna kikosi cha kuisimamisha Chelsea au Liverpool au Man city..
Apo OT shamba la bibi tunachukua point tatu safi kabisa.
Sent using Jamii Forums mobile app