Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Manyumbu ni kitonga, anakufa vzr, tena majeruh wamerud karibu wote, halafu man u kwa FA ni mnyonge kwa arsenal

Toka nimejitambua ,ni mara 2 tu nimeshuhudia man u akimfunga arsenal kwenye FA ni mwaka 1999 goli la giggs, na 2016 ,

Kumbuka pia nina advantage ya home,

Sent using Jamii Forums mobile app
:D:D:D
Mkuu habari za leo?
 
Yaani Arsenal hii style yetu yakuanza vizuri round ya kwanza na kumaliza vibaya round ya sijui tutaiacha lini. Arsenal kama kufufuka basi ni kuanzia, mwezi tatu mwishoni. Tatizo kronke ndio anayetufanya tunaishi kwa wasiwasi kama tunaoga nje, kila siku sisi tuna kazi ya kubinya korodani.
 
Unai ameambiwa kama anahitaji kufanya usajili wa maana katika dirisha lijalo basi apunguze waliopo ili kupunguza matumizi ya mishahara hewa......

CECH,WELBECK,LICHTSTEINER,RAMSEY hatutakuwa nao next season

Lakini pia club inacheck offer nzuri ili iwauze MUSTAFI,ELNENY,MIKHITARYAN,OZIL.....


NACHO nae ndio anamaliziamalizia

So hili likifanikiwa basi Unai atatengeneza timu aitakayo lakini asitegemee cash money kutoka kwa mabosi...inasemekana jamaa pesa watakayotoa haitozidi £50m

Sent using Jamii Forums mobile app
Kweli wameamua.
Nadhani hata mashabiki uwanjani watakuwa wamepungua kwa kiasi kikubwa sana, kwahio mapato ya uwanja yatapungua tu.
Kiukweli wamiliki wa hii clab ni mabahili sana.
Ubahili huleta umaskini.

Ova

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Five year ago today we beat Arsenal 5-1 at Anfield, scoring 4 goals in the opening 20 minutes. Skrtel



Dy5qAsfXcAE3aPI.jpeg
 
Hahahaaa.. Utazifinya kende mpaka zipasuke. Timu siyo kabila mkuu, karibu the blues furaha kila msimu. Huku utakufa kwa pressure mkuu
Yaani Arsenal hii style yetu yakuanza vizuri round ya kwanza na kumaliza vibaya round ya sijui tutaiacha lini. Arsenal kama kufufuka basi ni kuanzia, mwezi tatu mwishoni. Tatizo kronke ndio anayetufanya tunaishi kwa wasiwasi kama tunaoga nje, kila siku sisi tuna kazi ya kubinya korodani.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hahaa.. Umepanick sana. Sasa unamaliza juu ya nani.! Everton, Bournemouth au Wolves.? Kazakaza unaweza kufika playoff ya EUROPA

Sent using Jamii Forums mobile app
Yaani nipanic kwa timu mbovu kama chelsea, subiria kiama chako ETHAD na karibia mechi zako zote kubwa unachezea ugenini na, round ya pili nimekupiga Emirates , city atajigongea baada ya hapo unaenda OT kunyooshwa, Liverpool anamaliza kabisa Anifield . Timu huna ndugu yangu na ndio maana nina uhakika kumaliza jua yako.
 
Ndio timu sina kabisa. Ila siyo kinyonge kama unavyodhani. Round ya kwanza iliyoisha ni Tot pekee ndio kanipiga wengine wote walikua wanahaha. Sasa round ya pili ndio unataka kunitishia nyau? Nadhani Chelsea huifahamu vizuri, yan katika top 6 yote nipoteze mechi zote hizo. Hahaaaaa

Ngoja nikuoneshe nachoenda kufanya The Citizen Jpil pale.
Yaani nipanic kwa timu mbovu kama chelsea, subiria kiama chako ETHAD na karibia mechi zako zote kubwa unachezea ugenini na, round ya pili ninegonga, city atajigongea baada ya hapo unaenda OT kunyooshwa, Liverpool anamaliza kabisa Anifield . Timu huna ndugu yangu na ndio maana nina uhakika kumaliza jua yako.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ndio timu sina kabisa. Ila siyo kinyonge kama unavyodhani. Round ya kwanza iliyoisha ni Tot pekee ndio kanipiga wengine wote walikua wanahaha. Sasa round ya pili ndio unataka kunitishia nyau? Nadhani Chelsea huifahamu vizuri, yan katika top 6 yote nipoteze mecho zote hizo. Hahaaaaa

Ngoja nikuoneshe nachoenda kufanya The Citizen Jpil pale.

Sent using Jamii Forums mobile app
Mimi mwenyewe na beki yangu ya kuunga unga ninekupiga mbili bila, sasa hao City wanaopigania ubingwa si watakudhalilisha. Msimu huu ndugu timu huna labda msimu ujayo.
 
Mkuu mimi nimeshakubali timu sina. Ila siyo kinyonge kama unavyo dhani. Naenda kwa Man City kutafuta draw tu. Then namsubiri Tot nyumbani nimbutue kama tatu za maana.
Mimi mwenyewe na beki yangu ya kuunga unga ninekupiga mbili bila, sasa hao City wanaopigania ubingwa si watakudhalilisha. Msimu huu ndugu timu huna labda msimu ujayo.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hahaa.. Umepanick sana. Sasa unamaliza juu ya nani.! Everton, Bournemouth au Wolves.? Kazakaza unaweza kufika playoff ya EUROPA

Sent using Jamii Forums mobile app
timu za uingereza zikiwa zinakutana na chelsea zinaimbaga wimbo wa mafongo zamu ya nani leoooooooooo.............wewe juzi ulikuja geto ukapigwa viwili leo unapita kunitukana dahhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhh kweli ............ hana shukrani
 
Back
Top Bottom