lukesam
JF-Expert Member
- Feb 23, 2015
- 13,198
- 28,080
Manyumbu ni kitonga, anakufa vzr, tena majeruh wamerud karibu wote, halafu man u kwa FA ni mnyonge kwa arsenal
Toka nimejitambua ,ni mara 2 tu nimeshuhudia man u akimfunga arsenal kwenye FA ni mwaka 1999 goli la giggs, na 2016 ,
Kumbuka pia nina advantage ya home,
Sent using Jamii Forums mobile app
😀😀😀
Mkuu habari za leo?
Mkuu habari za leo?