Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Mbele ya Higuain kuna timu ita survive?

Sent using Jamii Forums mobile app
Kwahiyo kule Italy Juventus,Napoli,Roma,Milan zote zimesharest in piece? baada ya kuchukua icardi mnachukua mizigo ambayo imekosa namba kwa Mario mandzukic pale juve mpaka wakaliloan kule Milan na bado halina maajabu hahahahahahahahahaha
Sasa hivi mtaanza kuimba #BRING_BACK_OUR_GIROUD
Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mbele ya Higuain kuna timu ita survive?

Sent using Jamii Forums mobile app

Kwani yule ni Higuan au Punguani?

Hata kwa Joginyoko mulianza hivihivi kuwa Mbele ya Joginyoko hakuna timu itakayobaki salama

Lakini mulipocheza na Spurs alichofanywa na yule Mvimba macho wa Kikorea aka Sonaldo (Son) hamutokisahau 😀😀

Huyo Kitambi Manager wenu hata msimu mmoja hamalizi mutamtoa kwa mkopo na kumuona Giroud ni Messi mbele Yake.. 😀😀
 
NA PERISIC TUNAMTAKA AISEEEH#AFC want loan with £35m option to buy. 29yo open to #Inter exit.

"Fits plan of versatile midfielder e.g. Suarez (still possible) / Nkunku + winger. Unclear if injuries mean defender wanted but Sokratis not bad."



Sent using Jamii Forums mobile app
 
So far United ndio timu iliyoshinda mara nyingi zaidi dhidi ya Arsenal pale Emirates (mara 6)

So far Arsenal ilikuwa haijapigwa Emirates msimu huu na timu yoyote, jana United kamnyoosha

Tunapowaambia Arsenal ni sawa na mtalaka wa United, na United akitaka mambo muda wowote anapewa muwe mnatuelewa



Sent using Jamii Forums mobile app
No research no right to talk! Game ya kwanza ya ligi asea-anal kabanjuliwa hapo hapo emirates, kwaio wewe sio wa kwanza

Sent using Jamii Forums mobile app
 
David Ornstein

@bbcsport_david

Arsenal have made an approach to sign Inter Milan winger Ivan Perisic. #AFC want loan with £35m option to buy. 29yo open to #Inter exit. Fits plan of versatile midfielder e.g. Suarez (still possible) / Nkunku + winger. Unclear if injuries mean defender wanted but Sokratis not bad

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Alafu hao Chelsea wana tabia mbaya sana wamewafanyizia Monaco kwa fabrigas aisee juzi ile mechi na watoto wamepigwa mkono faby akitoa maboko heavy wanamnyang'anya mpira ktk box wanatupia........

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Na Mimi chale linanicheza nahisi kama huyu Denis Suarez barca wanataka kutufanyizia maana so kwa kutukomalia kule tuwape pesa wakati sisi tunataka tuchukue mkopo kwanza ili tujiridhishe kama kanjanja tuwarudishie wenyewe naona jamaa wamestuka wamekataa katakata

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nyie takataka hamna kitu kabisa. Najiuliza hivi mulitupigaje mbili.? Uko nyumbani unakazwa bao tatu..!!

Kweli sasa Arsenal umekuwa mke halali wa Man united, nimeamin hata Man u iwe mbovu kiasi gani wewe huwezi shinda mbele yake..

Yani mnaiaibisha London, ña bado una gemu naye tena apo apo emirates ..kama kawaida utafurukuta lakin baadae utalainika..

Pumbavu kabisa.

Sent using Jamii Forums mobile app
Hahahaha asee we jamaa dah
 
Back
Top Bottom