Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Nyie takataka hamna kitu kabisa. Najiuliza hivi mulitupigaje mbili.? Uko nyumbani unakazwa bao tatu..!!

Kweli sasa Arsenal umekuwa mke halali wa Man united, nimeamin hata Man u iwe mbovu kiasi gani wewe huwezi shinda mbele yake..

Yani mnaiaibisha London, ña bado una gemu naye tena apo apo emirates ..kama kawaida utafurukuta lakin baadae utalainika..

Pumbavu kabisa.

Sent using Jamii Forums mobile app
Unamlaumu nini mwenzio wakat kwako ulipigania droo?? Makocha wako walikimbia uwanja mzima kama ligi imeisha kumbe ni mechi ya 10 tu usiombe unaswe na manchester united ulisubir hadi dakika ya 96 na sekunde kadhaa huko ulishakufa
 
So far United ndio timu iliyoshinda mara nyingi zaidi dhidi ya Arsenal pale Emirates (mara 6)

So far Arsenal ilikuwa haijapigwa Emirates msimu huu na timu yoyote, jana United kamnyoosha

Tunapowaambia Arsenal ni sawa na mtalaka wa United, na United akitaka mambo muda wowote anapewa muwe mnatuelewa



Sent using Jamii Forums mobile app

Alipigwa 2 - 0 kwenye uwanja wa Emirates na Man City katika mechi yake ya ufunguzi ya EPL tarehe 12/08/2018
 
Nyie takataka hamna kitu kabisa. Najiuliza hivi mulitupigaje mbili.? Uko nyumbani unakazwa bao tatu..!!

Kweli sasa Arsenal umekuwa mke halali wa Man united, nimeamin hata Man u iwe mbovu kiasi gani wewe huwezi shinda mbele yake..

Yani mnaiaibisha London, ña bado una gemu naye tena apo apo emirates ..kama kawaida utafurukuta lakin baadae utalainika..

Pumbavu kabisa.

Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu Arsenal ni kikundi cha wauza njegere tu timu imeshakufa kitambo
 
Unamlaumu nini mwenzio wakat kwako ulipigania droo?? Makocha wako walikimbia uwanja mzima kama ligi imeisha kumbe ni mechi ya 10 tu usiombe unaswe na manchester united ulisubir hadi dakika ya 96 na sekunde kadhaa huko ulishakufa

Mulitukosea Sana sisi Washabiki wa Mpira kumfukuza Mourinho kabla ya Mechi yetu ya Man U vs Liverpool..

Uwepo wa Mourinho tulikuwa tunauhakika wa kuchukua points 3 za OT coz Martial, Pogba, Rashford wangeliishia kuiangalia game kwenye Jukwaa huku tukipambana na kina Fellaini na Lukaku.
 
Mulitukosea Sana sisi Washabiki wa Mpira kumfukuza Mourinho kabla ya Mechi yetu ya Man U vs Liverpool..

Uwepo wa Mourinho tulikuwa tunauhakika wa kuchukua points 3 za OT coz Martial, Pogba, Rashford wangeliishia kuiangalia game kwenye Jukwaa huku tukipambana na kina Fellaini na Lukaku.
Jana jamaa kama angekuwa mourinho tumepiga zile 2 angemuingiza fellain
 
Unamlaumu nini mwenzio wakat kwako ulipigania droo?? Makocha wako walikimbia uwanja mzima kama ligi imeisha kumbe ni mechi ya 10 tu usiombe unaswe na manchester united ulisubir hadi dakika ya 96 na sekunde kadhaa huko ulishakufa

Mshabiki wa Chelsea alikuwa katika ubora wake wa kujifariji!

Anashindwa Kuelewa Kuwa kwa Miaka ya Hivi Karibuni Timu kubwa pekee Arsenal ambazo anajipigia ni Chelsea na Spurs.
 
Sijawahi kuona time ya kifara kama hii,nashangaa kuona bado INA washabiki Mimi nilishahamiaga Liverpool kitambo sana

TIMU SIO KABILA.

HAMENI IYO TIMU ITAWAUWA VIJANA.....MUKUJE HUKU LIVERPOOL RAHA KAMA ZOTE,UNAKOMAA NA TIMU LILILOKUWA KAMA KITUNGUU KILA SIKU LINAKUTOA MACHOZI
 
Leo ni mwendo wa engineer (man u) soma iyooooooo!!!

Ars 1 vs man u O

Engineer (man u) soma iyooooo

Ars 2 vs man O

Sent using Jamii Forums mobile app
Washabiki wote wa soka juu ya uso wa dunia, naombeni radhi kwa kauli hiyo


Hii arsenal yetu, bado inamatatizo.
Wana wa arsenal inabid kuwe na kikao cha dharula, kinahitajika mapema sana

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mulitukosea Sana sisi Washabiki wa Mpira kumfukuza Mourinho kabla ya Mechi yetu ya Man U vs Liverpool..

Uwepo wa Mourinho tulikuwa tunauhakika wa kuchukua points 3 za OT coz Martial, Pogba, Rashford wangeliishia kuiangalia game kwenye Jukwaa huku tukipambana na kina Fellaini na Lukaku.
Mpuuzi Mou nahisi alijua anafukuzwa akaamua kujifungisha. Jinga kabisa yule

Sent using Jamii Forums mobile app
 
yani kwa mpira ule wa kumtegemea iwobi apangue ngome ya wapinzani na kumlisha auba na lacazete mtasubiri sana ndugu zangu
 
Unamlaumu nini mwenzio wakat kwako ulipigania droo?? Makocha wako walikimbia uwanja mzima kama ligi imeisha kumbe ni mechi ya 10 tu usiombe unaswe na manchester united ulisubir hadi dakika ya 96 na sekunde kadhaa huko ulishakufa
Hahaha katika timu ambazo hazinipi presha wala wasi wasi ni Manure..

Yani kwako nachukua point tatu tena kiulaini kabisa..

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom