Aaron Arsenal
JF-Expert Member
- Jul 24, 2014
- 24,504
- 28,691
Tutarud baadae kukutaghivi hamuogopi kutua kwenye mikono ya ole.......
Sent using Jamii Forums mobile app
Tutarud baadae kukutaghivi hamuogopi kutua kwenye mikono ya ole.......
Tuogope sisi au aogope yeyehivi hamuogopi kutua kwenye mikono ya ole.......
Sikatai hilo Kila mtu na madhaifu yake hiyo ila nadhani ugomvi huo ni sababu ya kusimamia kile anachokiamin hata Mimi Nina upungufu huo. Ila kwa takwimu sven Ni bora kuliko mjomba monchi, ila tuache muda uzungumze.Kila mtu ana uzur na udhaifu wake, sven ni mgomvi sana,
Kila timu huwa hapatan na makocha ,
Monch yeye soko lake ni america sana,
Hivo akija tarajia kuziona sura za wabrazil ,sana
Sent using Jamii Forums mobile app
Sawa mkuu tuombe awe na wakati mzuri akiwa nasi.DAH NILIKUA NA MASHAKA NA HUYU JAMAA ANAEHUSISHWA KUJA KUMRITHI SVEN MISLITANTS ANAITWA RAMON RODRIGUEZ VERDEJO AL MAARUFU KAMA MONCHI LAKINI BAADA YA KUANGALIA SAJILI ZAKE ZIMEFANYA VIZURI DUNIANI KULIKO SAJILI ZA SVEN MISLITANTS
HIZI HAPA NI BAADHI YA SAJILI ALIZOWAI KUZIFANYA
JOSE ANTONIO REYES from YOUTH TEAM akamuuza ARSENAL
..
DANIEL ALVES from BAHIA akamuuza kwa BARCELONA
..
JULIO BAPTISTA from SAO PAOLO akamuuza REAL MADRID
..
ADRIANO from CORITIBA akamuuza BARCELONA
..
FEDERICO FAZIO from FERRO CARRIL akamuuza TOTTENHAM
..
CHRISTIAN POULSEN from SCHALKE 04 akamuuza JUVENTUS
..
SEYDOU KEITA from LENS akamuuza BARCELONA
..
IVAN RAKITIC from SCHALKE 04 akamuuza BARCELONA
..
ALEIX VIDAL from ALMERIA akamuuza BARCELONA
..
JESUS NAVAS from YOUTH TEAM akamuuza MAN CITY
..
ALBERTO MORENO from YOUTH TEAM akamuuza LIVERPOOL
..
SERGIO RAMOS from YOUTH TEAM akamuuza REAL MADRID
..
ALVARO NEGREDO from RAEL MADRID akamuuza MAN CITY
..
MOHAMMED SALAH from EL MIKAWLON akamuuza FC BASEL
Ukiangalia sajili hizi utaheshimu uwezo wa huyu mtu
WAZUNGU WAMEMPACHIKA JINA WANAMUITA "THE TRANSFER WIZARD"
IKIWA NA MAANA JAMAA NI MCHAWI KWENYE USAJILI
ifahamike SVEN MISLITANTS anaondoka kwasababu hana maelewano mazuri na UNAI EMERY
#COYGView attachment 1003591
Sent using Jamii Forums mobile app
Muhuni na mpuuzi huyo....Bahati nzuri Arsenal hatuna mihemko ya kijinga .
Usikimbie tu.Wahusika naomba muandae uwanja wa kuwekea maturubai, msisahau kaeneo kakupikia pilau. Mana huyu mgonjwa wenu leo hatoboi, hata aje malaika mkuu.
Sent using Jamii Forums mobile app
Asanteni kwa kutuwekea Romero golini.Wahusika naomba muandae uwanja wa kuwekea maturubai, msisahau kaeneo kakupikia pilau. Mana huyu mgonjwa wenu leo hatoboi, hata aje malaika mkuu.
Sent using Jamii Forums mobile app
Jifariji tu.Asanteni kwa kutuwekea Romero golini.
umebeti wewe....lakini watapigwa tu
Tukutane half time.Leo ni mwendo wa engineer (man u) soma iyooooooo!!!
Ars 1 vs man u O
Engineer (man u) soma iyooooo
Ars 2 vs man O
Sent using Jamii Forums mobile app