Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal kinachotufungisha vs Manchester United ni psychology zaidi kuliko mpira wenyewe. Tunakuwa tumefungwa kabla hatujakanyaga uwanja. Hatutashinda mechi vs Man Utd hadi tutakapo overcome hii hurdle. Inaelekea wachezaji wanakamia au kugwaya pindi wachezapo na hii timu.
 
Arsenal kinachotufungisha vs Manchester United ni psychology zaidi kuliko mpira wenyewe. Tunakuwa tumefungwa kabla hatujakanyaga uwanja. Hatutashinda mechi vs Man Utd hadi tutakapo overcome hii hurdle. Inaelekea wachezaji wanakamia au kugwaya pindi wachezapo na hii timu.
pole sana mkuu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Juz hapo hapo OT umetokea tundu la sindano

Linapokuja swala la FA hata hapo OT nakunyoosha, hata fainal utachezea tu,

Siunakumbuka welbek anawaua hapo hapo OT , robo fainal FA

Msipige kelele man u, timu yenu inashinda lkn bado defencive mnaruhusu kushambuliwa,

Shauri yenu, ijumaa utaniambia



Sent using Jamii Forums mobile app
Baba torreira upo?
 
Arsenal hate it when Manchester United come to visit.
espnuk-20190126-0001.jpeg
 
It's just a bad day for the lads, inachukua mda kutengeneza timu. Shida kubwa ya timu hii ni ubahili..
 
Unajiuliza tena? Ndio ni #UnaiOut kwasababu zifuatazo:-
- Jeuri/Ukorofi
Hapa utamuona muispanyiora akilazimisha kumtumia Matteo Guendouzi (19) na kuonyesha kuridhika na kumuamini ilhali uchezaji wake unamapungufu yanayo igharamu timu. Unnecessary moves akiwa uwanjani, sehemu ya kutoa pasi ana dribble kija ananyanganywa. Sehemu ya ku-poses anampatia mpira adui, wakati wa mashambulizi anapoza mpira nakurudisha nyuma why? Flexibility, Credibility, Auto-motions, Physicality na Creativity zero lakini #UnaiOut bado anampatia nafasi kijana huyu ambaye angelikuwa Arsenal U23 Academy.

- Kutomtumia Ozil
Dunia hii (Earth) katika soko la sasa playmakers wanahesabiwa ni wachache na Özil ni mmoja kati yao. Creativity aliyonayo Mesut sio mtu wakutopagwa, huyu Mturuki ana-Vision macho yake ni eagle anaona in two dimensions kama Karishniakov Rifles. Jikumbushe goli la Aubameyang majuma 3 yaliyopita alikuwa assisted na Kolašinać lakini pre-assist (penetration pass) iliyozunguka kama interchange alifanywa na yeye. #UnaiOut haelewi hilo anamuweka chini huu ni upuuzi.

- Substitution zisizo sahihi
Ukiangalia vizuri mchezo dhidi Manchester United baada ya kuumia Lolo Koscielny anamuingiza Matteo tajwa hapo juu na inside turf ana-drop Granit 'Infinite' Xhaka central defense acheze na Skhodran Mustafi huku right back akiwepo Maitland-Niles na left back Sead Kolašinać bila kujiuliza nani atasimama kama beki? Ilhali Xhaka ni CAM (Center Attacking Midfielder), Mustafi amenunuliwa Valencia alipokuwa akicheza DM (Defensive Midfielder) na occasionally Side Back, Deutschland Nation team, Kolašinać winger back (yeye yupo kati na kati) Niles ame-graduate kama CM au RW kwa maana hiyo back four walikuwa ni viungo (Midfielders) nani wakumsaidia mwenzake? Hivyo hivyo kwa muda mrefu tumeshuhudia wakati tukimuhitaji Lacazzette alikuwa akimtoa ama kutomuanzisha Vs (Liverpool, Crystal Palace, Southampton, Huddersfield Town etc.) #UnaiOut anathibitisha jeuri/ukorofi wake kwa uwazi kabisaa.

- Kutofahamu fulani acheze wapi na kwa wakati UPI.
Umetulia zako ghafla kikosi kimetangazwa Torreira na Xhaka katikati ya uwanja Yes! Vizuri lakini Torreira yupo juu ya Xhaka ooh unatamani kufa. Xhaka anayo asili ya uchezeshaji na Torreira ukabaji na #UnaiOut anawapa majukumu uwanjani vice versa damn #UnaiOut unaferi nakwambia utapoteza kibarua mapema we subiri.

- Chokochoko, Fyokofyoko
#UnaiOut ujue nimekufuatilia toka Sevilla na PSG! Huyu #UnaiOut akiwa PSG alileta matabaka ndani ya timu akimuanzisha Neymar Junior dos Santos, Edinson Cavani, Thiago Silva, Thiago Motta, Hatem Ben Arfa na Sirigu kwa madai baadhi ya wachezaji wanaoutovu wa nidhamu na wengine sio machaguo yake, enhe? Alifyekelewa mbaaali. Ndio hayo kayaleta Arsenal.

#OnceAGunnerAlwaysAGunner #WeAreTheArsenal
#UnaiOut #KroenkeOut
 
Tulia wewe dawa ipenye. Unai haendi popote na Arsenal lazima tukirejea kwenye league uwe mtena watu wachukue points zao zakutosha
 
Unamuonea tu,kama board wabahili wanataka wachezaji wa mkopo Unai afanyeje? Acha hizo ila Omba Mungu Stan kroenke akikodi private jet ipotee kabisa,lasivyo tutaendelea kuteseka
 
Nyie takataka hamna kitu kabisa. Najiuliza hivi mulitupigaje mbili.? Uko nyumbani unakazwa bao tatu..!!

Kweli sasa Arsenal umekuwa mke halali wa Man united, nimeamin hata Man u iwe mbovu kiasi gani wewe huwezi shinda mbele yake..

Yani mnaiaibisha London, ña bado una gemu naye tena apo apo emirates ..kama kawaida utafurukuta lakin baadae utalainika..

Pumbavu kabisa.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom