Hazchem plate
JF-Expert Member
- Feb 25, 2011
- 11,053
- 15,515
NilianA kusoma thread kwa umakini mkubwa. Baada ya kuona inazungumzia mipira nimeacha
Duuuuu mashabiki wa mipira Ni wanafiki hatari. Siku ile Guendouzi amemkaba hazard mbona mlimsifia Sana Ni kiungo hatari uingereza. Leo imekuaje Tena.Unajiuliza tena? Ndio ni #UnaiOut kwasababu zifuatazo:-
- Jeuri/Ukorofi
Hapa utamuona muispanyiora akilazimisha kumtumia Matteo Guendouzi (19) na kuonyesha kuridhika na kumuamini ilhali uchezaji wake unamapungufu yanayo igharamu timu. Unnecessary moves akiwa uwanjani, sehemu ya kutoa pasi ana dribble kija ananyanganywa. Sehemu ya ku-poses anampatia mpira adui, wakati wa mashambulizi anapoza mpira nakurudisha nyuma why? Flexibility, Credibility, Auto-motions, Physicality na Creativity zero lakini #UnaiOut bado anampatia nafasi kijana huyu ambaye angelikuwa Arsenal U23 Academy.
- Kutomtumia Ozil
Dunia hii (Earth) katika soko la sasa playmakers wanahesabiwa ni wachache na Özil ni mmoja kati yao. Creativity aliyonayo Mesut sio mtu wakutopagwa, huyu Mturuki ana-Vision macho yake ni eagle anaona in two dimensions kama Karishniakov Rifles. Jikumbushe goli la Aubameyang majuma 3 yaliyopita alikuwa assisted na Kolašinać lakini pre-assist (penetration pass) iliyozunguka kama interchange alifanywa na yeye. #UnaiOut haelewi hilo anamuweka chini huu ni upuuzi.
- Substitution zisizo sahihi
Ukiangalia vizuri mchezo dhidi Manchester United baada ya kuumia Lolo Koscielny anamuingiza Matteo tajwa hapo juu na inside turf ana-drop Granit 'Infinite' Xhaka central defense acheze na Skhodran Mustafi huku right back akiwepo Maitland-Niles na left back Sead Kolašinać bila kujiuliza nani atasimama kama beki? Ilhali Xhaka ni CAM (Center Attacking Midfielder), Mustafi amenunuliwa Valencia alipokuwa akicheza DM (Defensive Midfielder) na occasionally Side Back, Deutschland Nation team, Kolašinać winger back (yeye yupo kati na kati) Niles ame-graduate kama CM au RW kwa maana hiyo back four walikuwa ni viungo (Midfielders) nani wakumsaidia mwenzake? Hivyo hivyo kwa muda mrefu tumeshuhudia wakati tukimuhitaji Lacazzette alikuwa akimtoa ama kutomuanzisha Vs (Liverpool, Crystal Palace, Southampton, Huddersfield Town etc.) #UnaiOut anathibitisha jeuri/ukorofi wake kwa uwazi kabisaa.
- Kutofahamu fulani acheze wapi na kwa wakati UPI.
Umetulia zako ghafla kikosi kimetangazwa Torreira na Xhaka katikati ya uwanja Yes! Vizuri lakini Torreira yupo juu ya Xhaka ooh unatamani kufa. Xhaka anayo asili ya uchezeshaji na Torreira ukabaji na #UnaiOut anawapa majukumu uwanjani vice versa damn #UnaiOut unaferi nakwambia utapoteza kibarua mapema we subiri.
- Chokochoko, Fyokofyoko
#UnaiOut ujue nimekufuatilia toka Sevilla na PSG! Huyu #UnaiOut akiwa PSG alileta matabaka ndani ya timu akimuanzisha Neymar Junior dos Santos, Edinson Cavani, Thiago Silva, Thiago Motta, Hatem Ben Arfa na Sirigu kwa madai baadhi ya wachezaji wanaoutovu wa nidhamu na wengine sio machaguo yake, enhe? Alifyekelewa mbaaali. Ndio hayo kayaleta Arsenal.
#OnceAGunnerAlwaysAGunner #WeAreTheArsenal
#UnaiOut #KroenkeOut



Leo ni mwendo wa engineer (man u) soma iyooooooo!!!
Ars 1 vs man u O
Engineer (man u) soma iyooooo
Ars 2 vs man O
Sent using Jamii Forums mobile app



Engineer (Arsenal) soma hiyoLeo ni mwendo wa engineer (man u) soma iyooooooo!!!
Ars 1 vs man u O
Engineer (man u) soma iyooooo
Ars 2 vs man O
Sent using Jamii Forums mobile app
Leo ni mwendo wa engineer (man u) soma iyooooooo!!!
Ars 1 vs man u O
Engineer (man u) soma iyooooo
Ars 2 vs man O
Sent using Jamii Forums mobile app






Ukiongeza na wale wazee wawili walioumia jana + Bellerin ....kazi mnayoHii Arsenal ni mbovu sana, vilaza na mizigo ni wengi wasio na faida. Tujiandae kisaiklojia top 4 hatupo.
Sent using Jamii Forums mobile app