Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Nyie takataka hamna kitu kabisa. Najiuliza hivi mulitupigaje mbili.? Uko nyumbani unakazwa bao tatu..!!

Kweli sasa Arsenal umekuwa mke halali wa Man united, nimeamin hata Man u iwe mbovu kiasi gani wewe huwezi shinda mbele yake..

Yani mnaiaibisha London, ña bado una gemu naye tena apo apo emirates ..kama kawaida utafurukuta lakin baadae utalainika..

Pumbavu kabisa.

Sent using Jamii Forums mobile app
Kuwaga na heshima na bwana wako basi,,

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Timu kubwa pekee ambayo najipigia ni Liverpool na Man united ..kwani unaitaji ushahidi kiasi gani.

Sent using Jamii Forums mobile app

Liverpool unajipigia kisa tu umenifunga kwenye Carabao?

Wewe ni mwepesi wa kusahau lakini subiri EPL April 13 utapata jibu! Na ukumbuke kuwa Kipindi mwanzo mwa simu upo katika ubora ulipata draw kwenye uwanja wa Darajani sasa subiri uje Anfield uone kiama.
 
Unajiuliza tena? Ndio ni #UnaiOut kwasababu zifuatazo:-
- Jeuri/Ukorofi
Hapa utamuona muispanyiora akilazimisha kumtumia Matteo Guendouzi (19) na kuonyesha kuridhika na kumuamini ilhali uchezaji wake unamapungufu yanayo igharamu timu. Unnecessary moves akiwa uwanjani, sehemu ya kutoa pasi ana dribble kija ananyanganywa. Sehemu ya ku-poses anampatia mpira adui, wakati wa mashambulizi anapoza mpira nakurudisha nyuma why? Flexibility, Credibility, Auto-motions, Physicality na Creativity zero lakini #UnaiOut bado anampatia nafasi kijana huyu ambaye angelikuwa Arsenal U23 Academy.

- Kutomtumia Ozil
Dunia hii (Earth) katika soko la sasa playmakers wanahesabiwa ni wachache na Özil ni mmoja kati yao. Creativity aliyonayo Mesut sio mtu wakutopagwa, huyu Mturuki ana-Vision macho yake ni eagle anaona in two dimensions kama Karishniakov Rifles. Jikumbushe goli la Aubameyang majuma 3 yaliyopita alikuwa assisted na Kolašinać lakini pre-assist (penetration pass) iliyozunguka kama interchange alifanywa na yeye. #UnaiOut haelewi hilo anamuweka chini huu ni upuuzi.

- Substitution zisizo sahihi
Ukiangalia vizuri mchezo dhidi Manchester United baada ya kuumia Lolo Koscielny anamuingiza Matteo tajwa hapo juu na inside turf ana-drop Granit 'Infinite' Xhaka central defense acheze na Skhodran Mustafi huku right back akiwepo Maitland-Niles na left back Sead Kolašinać bila kujiuliza nani atasimama kama beki? Ilhali Xhaka ni CAM (Center Attacking Midfielder), Mustafi amenunuliwa Valencia alipokuwa akicheza DM (Defensive Midfielder) na occasionally Side Back, Deutschland Nation team, Kolašinać winger back (yeye yupo kati na kati) Niles ame-graduate kama CM au RW kwa maana hiyo back four walikuwa ni viungo (Midfielders) nani wakumsaidia mwenzake? Hivyo hivyo kwa muda mrefu tumeshuhudia wakati tukimuhitaji Lacazzette alikuwa akimtoa ama kutomuanzisha Vs (Liverpool, Crystal Palace, Southampton, Huddersfield Town etc.) #UnaiOut anathibitisha jeuri/ukorofi wake kwa uwazi kabisaa.

- Kutofahamu fulani acheze wapi na kwa wakati UPI.
Umetulia zako ghafla kikosi kimetangazwa Torreira na Xhaka katikati ya uwanja Yes! Vizuri lakini Torreira yupo juu ya Xhaka ooh unatamani kufa. Xhaka anayo asili ya uchezeshaji na Torreira ukabaji na #UnaiOut anawapa majukumu uwanjani vice versa damn #UnaiOut unaferi nakwambia utapoteza kibarua mapema we subiri.

- Chokochoko, Fyokofyoko
#UnaiOut ujue nimekufuatilia toka Sevilla na PSG! Huyu #UnaiOut akiwa PSG alileta matabaka ndani ya timu akimuanzisha Neymar Junior dos Santos, Edinson Cavani, Thiago Silva, Thiago Motta, Hatem Ben Arfa na Sirigu kwa madai baadhi ya wachezaji wanaoutovu wa nidhamu na wengine sio machaguo yake, enhe? Alifyekelewa mbaaali. Ndio hayo kayaleta Arsenal.

#OnceAGunnerAlwaysAGunner #WeAreTheArsenal
#UnaiOut #KroenkeOut
#KROENKE OUT #UNAI IN

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Liverpool unajipigia kisa tu umenifunga kwenye Carabao?

Wewe ni mwepesi wa kusahau lakini subiri EPL April 13 utapata jibu! Na ukumbuke kuwa Kipindi mwanzo mwa simu upo katika ubora ulipata draw kwenye uwanja wa Darajani sasa subiri uje Anfield uone kiama.
hadi tufike uko utakuwa ushapoteza sio chini ya gemu tatu na Ku draw nne.



Sent using Jamii Forums mobile app
 
Bwana wako ni mimi niliyeanza kukuweka pale Darajani.

Jana umedhibitisha kuwa huwezi kuifunga Man United..

Sent using Jamii Forums mobile app
Yaani nimekutia mbili bila bado unaleta dharau!!!!! angalia head to head ndo utajua nani mwanaume hapo.... shabiki wa united na liver anaweza kuleta hayo maneno shombo lakini sio wewe chelsick huna tofauti na Fulham na Watford pamoja na spurs

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Yaani nimekutia mbili bila bado unaleta dharau!!!!! angalia head to head ndo utajua nani mwanaume hapo.... shabiki wa united na liver anaweza kuleta hayo maneno shombo lakini sio wewe chelsick huna tofauti na Fulham na Watford pamoja na spurs

Sent using Jamii Forums mobile app

Sasa wewe unaleta utani katika Soccer!

Hivi unaomba H2H na Chelsea?

Chelsea mwambie aweke H2H yeye na Fulham au Everton ambao ndiyo saizi yake lakini sio kumwambia aweke H2H na Arsenal, Liverpool au Manchester.
 
hadi tufike uko utakuwa ushapoteza sio chini ya gemu tatu na Ku draw nne.



Sent using Jamii Forums mobile app

Unadhani haya ni maneno mapya kuyasema?

Nadhani umeshasahau kuwa ulianza na September is coming....
Ukaja na October is coming.....
Ukaendelea na Novermber is coming.....
Ukafika kwenye December is coming....
Ukaunganisha na Christmas is coming.....
Ukaishia na January is coming.....

Lakini miezi yote hiyo tumepita kama utelezi...

Sasa umekuja na new song ya kuwa tutapoteza sio chini ya game 3 na kudraw 4?

Ivi hujui kuwa sisi tukifikia kupoteza game 3 na draw 4 wewe utakuwa umeshashuka daraja?
 
Sasa wewe unaleta utani katika Soccer!

Hivi unaomba H2H na Chelsea?

Chelsea mwambie aweke H2H yeye na Fulham au Everton ambao ndiyo saizi yake lakini sio kumwambia aweke H2H na Arsenal, Liverpool au Manchester.
Akirudi hapa tena kwa maneno haya basi yeye ni konki zaidi ya dudubaya

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Muo alikuwa gundu kwa man u..lakin faida kwa timu zingine
Mulitukosea Sana sisi Washabiki wa Mpira kumfukuza Mourinho kabla ya Mechi yetu ya Man U vs Liverpool..

Uwepo wa Mourinho tulikuwa tunauhakika wa kuchukua points 3 za OT coz Martial, Pogba, Rashford wangeliishia kuiangalia game kwenye Jukwaa huku tukipambana na kina Fellaini na Lukaku.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Sasa wewe unaleta utani katika Soccer!

Hivi unaomba H2H na Chelsea?

Chelsea mwambie aweke H2H yeye na Fulham au Everton ambao ndiyo saizi yake lakini sio kumwambia aweke H2H na Arsenal, Liverpool au Manchester.
Hivi ndani ya Miaka kumi Arsenal kabeba kombe gani la maana? FA? Community Shield?

Wewe umebeba kombe gani la maana? FA? Carlin Cup(Carabao)?

Çhelsea tunajenga modern history ninyi bakini na histories zenu za mwaka 47 ..kipindi ambacho hakuna offside, ball technology, referree watano, ndo mulibeba makombe ya ajabu ajabu sijui League division one, two uko..

Afadhali ya Unai ana fainal kadhaa na zote kabeba. Klopp sisi tunajua ni bingwa wa kufeli Dakika za mwisho na ndo maana fainal zote kapigwa vipigo vya aibu.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hivi ndani ya Miaka kumi Arsenal kabeba kombe gani la maana? FA? Community Shield?

Wewe umebeba kombe gani la maana? FA? Carlin Cup(Carabao)?

Çhelsea tunajenga modern history ninyi bakini na histories zenu za mwaka 47 ..kipindi ambacho hakuna offside, ball technology, referree watano, ndo mulibeba makombe ya ajabu ajabu sijui League division one, two uko..

Afadhali ya Unai ana fainal kadhaa na zote kabeba. Klopp sisi tunajua ni bingwa wa kufeli Dakika za mwisho na ndo maana fainal zote kapigwa vipigo vya aibu.

Sent using Jamii Forums mobile app

Sasa kipindi hicho hakuna offaide kwanini wewe ulikuwa hushindi bila ya offside?

Au ulikuwa peke yako ndiyo unatungiwa sheria hiyo ya offside lakini wengine hawana sheria ya offside?
 
Wewe usipoangalia hata Europa unaeza kosa nafasi. Huna timu ya kupeleka Uefa ..komaa upate nafasi Europa tu..

Sent using Jamii Forums mobile app

Kinachokusumbua ni kitukimoja tu! Hujataka kuamini kuwa Top Four aningia Man United...

Chelsea hawezi kumaliza ndani ya Top Four.

Na kama huamini subiri baada ya michezo Minne tu ujue nafasi yako ilipo.
 
Hivi ndani ya Miaka kumi Arsenal kabeba kombe gani la maana? FA? Community Shield?

Wewe umebeba kombe gani la maana? FA? Carlin Cup(Carabao)?

Çhelsea tunajenga modern history ninyi bakini na histories zenu za mwaka 47 ..kipindi ambacho hakuna offside, ball technology, referree watano, ndo mulibeba makombe ya ajabu ajabu sijui League division one, two uko..

Afadhali ya Unai ana fainal kadhaa na zote kabeba. Klopp sisi tunajua ni bingwa wa kufeli Dakika za mwisho na ndo maana fainal zote kapigwa vipigo vya aibu.

Sent using Jamii Forums mobile app
Chelsea pale ni kijiwe cha wavuta bange kina sarri hahahaaaaa naona hadi washabiki moshi umeanza kuwaathiri

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom