Northman
JF-Expert Member
- Dec 22, 2016
- 1,587
- 2,511
Duuuh haya maneno hatukuyaona wakati anashinda, kuweni wavumilivu ndugu zangu.Emery sio kocha mzuri hata kidogo, yeye ndio anam-frustrate Ozil
Duuuh haya maneno hatukuyaona wakati anashinda, kuweni wavumilivu ndugu zangu.Emery sio kocha mzuri hata kidogo, yeye ndio anam-frustrate Ozil
Unai aombe tushinde hii game tofauti na hapo atakua kalizua yeye mwenyewe aiseeee.
Kweli mkuu hapo ni kuvunja Bank tu ili kuwa mbabe kwenye soka hata aje PEP kwa kikosi hiki bado sanaTajiri mwenyewe mbahili kusajili
Arsenal wameshafikaga hadi kwenye turnover ya 400 million pounds lakini Usajili wa Hovyo sijui tatizo ni nini hadi kuzidiwa na timu kama Liverpool kwenye kufanya usajili ilihali Liverpool hajawahi fika kwenye kipato cha pounds milioni 400
Line up ina shida gani Auba,Lacazette,Torreira,Guendozi,Kolasinac wote wamecheza ?Matokeo yalionekana mapema tu kua hatuwezi kushinda,Unai ana matatizo ambayo akiendeleza basi tuna majanga uko mbele.
Niliwahi kusema umu ila kuna mtu akanikomalia kua najifanya najua kuliko Unai ila ingawa vitu vingine viko wazi sana anapanga timu kibwege sana anasahau hii ni EPL haitaki majaribio na leo tumepigwa kwa mapenzi ya Unai.
Line up ina shida gani Auba,Lacazette,Torreira,Guendozi,Kolasinac wote wamecheza ?
Kwa mambo kama haya ndio ujue kwamba hakuna ambae yupo salama hasa upepo mbaya ukikupitia. angalizo kwa wadau wa LFC hifadhini shampeni zenu mbali mambo bado sana.
Ungeniambia MUFC itakuja kuipumulia Arsenal nisingeamini kabisa. Si mlituzidi zaidi ya points 10 nyie?
Hii ndio Arsenal ninayoijua.
no results