Baba Mkubwa
JF-Expert Member
- Oct 18, 2008
- 827
- 136
tupo pamoja mkuu.....3 - 0, kipindi cha kwanza kimeisha.............sasa mapumzikowakuu pre season game ya kwanza ndio inaanza leo ,tunawezakupata nafasi ya kuwaonavijana wetu wapya.
tupo pamoja mkuu.....3 - 0, kipindi cha kwanza kimeisha.............sasa mapumzikowakuu pre season game ya kwanza ndio inaanza leo ,tunawezakupata nafasi ya kuwaonavijana wetu wapya.
.....its only BARNET...............
tupo pamoja mkuu.....3 - 0, kipindi cha kwanza kimeisha.............sasa mapumziko
Wakuu mupo?,naona mwaendeleza jukwaa,safi sana...haya mambo ya kutangaza nia yanatufanya tuwe mbali na mtandao..tutakuwa pamoja soon.Ligi yakaribia kuanza,kila la heri wakuu wangu akina Masanilo,AW,mmbebabox,ELNINO,De Novo,Kweli,Manda,Belo,Sand Matuta,Peasant,Wacha,mpemba Abdulhalim,Baba Mkubwa,Mpiga Filimbi,Ng'wanza Madaso.
Wakuu mupo?,naona mwaendeleza jukwaa,safi sana...haya mambo ya kutangaza nia yanatufanya tuwe mbali na mtandao..tutakuwa pamoja soon.Ligi yakaribia kuanza,kila la heri wakuu wangu akina Masanilo,AW,mmbebabox,ELNINO,De Novo,Kweli,Manda,Belo,Sand Matuta,Peasant,Wacha,mpemba Abdulhalim,Baba Mkubwa,Mpiga Filimbi,Ng'wanza Madaso.
Mkuu tupo pamoja japo nilipata ajali mbaya sana mwezi wa tano,ndo nimerudi naendeleza matibabu.Wakuu mupo?,naona mwaendeleza jukwaa,safi sana...haya mambo ya kutangaza nia yanatufanya tuwe mbali na mtandao..tutakuwa pamoja soon.Ligi yakaribia kuanza,kila la heri wakuu wangu akina Masanilo,AW,mmbebabox,ELNINO,De Novo,Kweli,Manda,Belo,Sand Matuta,Peasant,Wacha,mpemba Abdulhalim,Baba Mkubwa,Mpiga Filimbi,Ng'wanza Madaso.
Mkulu pole sana na masaibu.Mkuu tupo pamoja japo nilipata ajali mbaya sana mwezi wa tano,ndo nimerudi naendeleza matibabu.
Mkuu tupo pamoja japo nilipata ajali mbaya sana mwezi wa tano,ndo nimerudi naendeleza matibabu.
Mkuu tupo pamoja japo nilipata ajali mbaya sana mwezi wa tano,ndo nimerudi naendeleza matibabu.
namuonea sana huruma eduardo kushindwa kurudi kwenye kiwango chake cha mwanzo kabla ya kuumia.ningependa habaki lakini kutokana na fomu yake kuwa chini na sheria mpya ya kiwango cha wachezaji.[B [/B]
AND
EDUARDO is on the verge of a £6million move from Arsenal to Shakhtar Donetsk.
The Gunners striker will leave the Emirates in the next 48 hours after taking advice from Croatia boss Slaven Bilic.
He agreed terms for the move on Sunday after six days of negotiations and passed a medical yesterday.
Mkuu tupo pamoja japo nilipata ajali mbaya sana mwezi wa tano,ndo nimerudi naendeleza matibabu.
Tupo pamoja, Bala, Babamkubwa, Wacha, AW na gunners wote, muda bado upo ila naona kule kwa akina Belo wamefulia kimtindo, Glaziers wanafuta madeni na babu AF ameshakubali matokeo, na huku jirani kwa akina Masanilo na Peasant naona nako Mrusi Credit crunch imemkamata pabaya, naona itabidi wabaki kutegemea pensioners wao akina Drogba, Anelka na Kalou. Mzee mwenzangu MTM naona wameshajikubalia nafasi yao ni Europa league, So far kama Fabregas atabaki tunahitaji kipa wa nguvu kumaliza jig-saw, nina mategemeo makubwa mwaka huu.
Mwaka huu mnapotea kabisaaaaaaa
Man United Kwishney kabsaaaa!!!!!!Mwaka huu mnapotea kabisaaaaaaa
Man United Kwishney kabsaaaa!!!!!!
arsenal bado,hamjaingia ktk ushindani na timu kama chelsea na man utd,gombanieni nafasi na kina man city na spurs ndio saizi zenu kwa sasa,mnahitaji muwe na kiungo mkabaji na mwenye nguvu,sio kina diaby,hata song nae,anacehza sana mpira wa kiafrika,fabregas mzuri tatizo hana nguvu na hana msaidizi kama ilivyo spain ktk national timu,arsenal ukiwachezea mchezo wa nguvu basi wanakuwa laini ndio chelsea na man utd zinawafungia hicho,kina clichy mzuri nguvu hamna,gallas kawa galasa,mchezaji ni vermaleon,kina walcott nae walewale no nguvu.