Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

...aheim!... vipi wakulu wa Imarati, salama lakini?...likizo inakaribia kwisha, tutakuwa pamoja very soon.

Nikitoka nje ya mstari kidooogo, hivi Tanzania tuna Gundu nini?...
Ivory Coast walikuja kujipima nguvu kabla ya Africa Cup na Taifa Stars, wakaahidi wakitwaa ubingwa wa CAF watakipeleka kikombe Kilimanjaro,...wakabwagwa puuuu,...chini!

Brazil nao walikuja jipima nguvu na Taifa Stars, nao leo puuu wamebwagwa chini... kwa wenye mioyo midogo ibn toboa tobo, tunaona hii si bure...kuna walakini. Kujipima Nguvu na Taifa Stars ni kujitia nukhsi tu!...

Back to the nyuzi ibn nyuzi.... Hivi kuna mchezaji wa Manure au Chelsea aliyebakia kwenye World cup wajameni? maana walikuwa kelele miiiiingi eti wamejaa England team,... England yenyewe mdebwedo kitu. Anyway,....nilikuwa na beep tu. Bado nipo likizo


Together we stand!
 
Hivi kuna mchezaji wa Manure au Chelsea aliyebakia kwenye World cup wajameni? maana walikuwa kelele miiiiingi eti wamejaa England team,... England yenyewe mdebwedo kitu. Anyway,....nilikuwa na beep tu. Bado nipo likizo
Hakuna hata mmoja aliyebakia. Wachezaji wa Arsenal ndio bado vinara kwenye World Cup
 
Hakuna hata mmoja aliyebakia. Wachezaji wa Arsenal ndio bado vinara kwenye World Cup

...Kumbe?, mnh basi Sssshhhhh! (mnong'ono) " bora salama, tusijewakurupusha washabiki wa Chelsea na Manure bure hapa....!"
 
...Kumbe?, mnh basi Sssshhhhh! (mnong'ono) " bora salama, tusijewakurupusha washabiki wa Chelsea na Manure bure hapa....!"
...afadhari umemkataza maana nimemuona Masanilo anapanda daladala kuelekea Kibaha internet, akiona tunazungumzia absence ya wachezaji wao WC atakasirika sana....

Jamani mechi yetu ya kwanza, against Liverpool tujitaidi tuwepo janvini tusalimiane na tuambiane tulikuwa wapi likizo,,,,,wengine wapo South, wengine Kibaha, wengine China etc...missing u arsenal fans
 
...afadhari umemkataza maana nimemuona Masanilo anapanda daladala kuelekea Kibaha internet, akiona tunazungumzia absence ya wachezaji wao WC atakasirika sana....

Jamani mechi yetu ya kwanza, against Liverpool tujitaidi tuwepo janvini tusalimiane na tuambiane tulikuwa wapi likizo,,,,,wengine wapo South, wengine Kibaha, wengine China etc...missing u arsenal fans

...ha ha ha, kwani yeye tu? Peasant je?...anyway. Bila kupigishana nao kelele majukwaa haya hayanogi hata kidogo.
Roll-Call muhimu tarehe 14 August 2010, saa 9mchana kwa saa za pale Anfield Uingereza, au 11jioni kwa saa za Africa ya mashariki.
 
Back to the nyuzi ibn nyuzi.... Hivi kuna mchezaji wa Manure au Chelsea aliyebakia kwenye World cup wajameni? maana walikuwa kelele miiiiingi eti wamejaa England team,... England yenyewe mdebwedo kitu. Anyway,....nilikuwa na beep tu. Bado nipo likizo


Together we stand!

Hakuna hata mmoja aliyebakia. Wachezaji wa Arsenal ndio bado vinara kwenye World Cup

...Kumbe?, mnh basi Sssshhhhh! (mnong'ono) " bora salama, tusijewakurupusha washabiki wa Chelsea na Manure bure hapa....!"

...afadhari umemkataza maana nimemuona Masanilo anapanda daladala kuelekea Kibaha internet, akiona tunazungumzia absence ya wachezaji wao WC atakasirika sana....

Jamani mechi yetu ya kwanza, against Liverpool tujitaidi tuwepo janvini tusalimiane na tuambiane tulikuwa wapi likizo,,,,,wengine wapo South, wengine Kibaha, wengine China etc...missing u arsenal fans

Hahahaha! Nasikia Arsenal mmechukua Kombe la Dunia, kwa sababu Cesc "bench warmer" Fabregas na Robin "World Cup flop" van Persie bado timu zao ziko SA!!
 
OK,Arsenal football club has win World Cup 2010
 
OK,Arsenal football club has win World Cup 2010

...ha ha, Belo unamkumbuka DIEGO FORLAN? yaani jamaa ni mnoma kitu. Picque, Tevez na sasa Forlan wameamua kumdhihirishia Sie Alex alichemka kuwauza.... Roooney ♫ Rooney ♫ Rooney!
 
...ha ha, Belo unamkumbuka DIEGO FORLAN? yaani jamaa ni mnoma kitu. Picque, Tevez na sasa Forlan wameamua kumdhihirishia Sie Alex alichemka kuwauza.... Roooney ♫ Rooney ♫ Rooney!

Forlan Premier league ilimshinda ilikuwa sawa tu kuuzwa ,Gerard Pique ndio mchezaji ambae hadi leo nasikitika ingawa ilikuwa ngumu kuwaweka benchi Rio na Vida ,Fergie angemuhakikishia namba 2 dogo angeleta msaada sana kuhusu TEVEZ kila klabu atakayocheza anakuwa anapendwa na mashabiki
 
...aheim!... vipi wakulu wa Imarati, salama lakini?...likizo inakaribia kwisha, tutakuwa pamoja very soon.

Nikitoka nje ya mstari kidooogo, hivi Tanzania tuna Gundu nini?...
Ivory Coast walikuja kujipima nguvu kabla ya Africa Cup na Taifa Stars, wakaahidi wakitwaa ubingwa wa CAF watakipeleka kikombe Kilimanjaro,...wakabwagwa puuuu,...chini!

Brazil nao walikuja jipima nguvu na Taifa Stars, nao leo puuu wamebwagwa chini... kwa wenye mioyo midogo ibn toboa tobo, tunaona hii si bure...kuna walakini. Kujipima Nguvu na Taifa Stars ni kujitia nukhsi tu!...

Back to the nyuzi ibn nyuzi.... Hivi kuna mchezaji wa Manure au Chelsea aliyebakia kwenye World cup wajameni? maana walikuwa kelele miiiiingi eti wamejaa England team,... England yenyewe mdebwedo kitu. Anyway,....nilikuwa na beep tu. Bado nipo likizo


Together we stand!
karibu mkuu,tupo tupo.watu walikuwa wanakuulizia sana kwenye jukwaa la world cup,wewe tu ndio ulikuwa huonekani sema kuna mtani wako mmoja alisema ni kwa vile haukua na matumaini na timu yako ya England lol.


sie tupo na tutarudisha majeshi rasmi baada world cup.naishukuru sana world cup mwaka huu manake kama isingekuwepo saa hizi humu tungekuwa tunaumiza kichwa na mambo ya usajili ya mzee AW.
 
karibu mkuu,tupo tupo.watu walikuwa wanakuulizia sana kwenye jukwaa la world cup,wewe tu ndio ulikuwa huonekani sema kuna mtani wako mmoja alisema ni kwa vile haukua na matumaini na timu yako ya England lol.


sie tupo na tutarudisha majeshi rasmi baada world cup.naishukuru sana world cup mwaka huu manake kama isingekuwepo saa hizi humu tungekuwa tunaumiza kichwa na mambo ya usajili ya mzee AW.

aaaaaaah, ha ha ha, huyo kweli kanoa. Mimi mshabiki wa France bana,....sema tangu Thierry atoe pasi ya mkono siku ile na wa Irish imekuwa kama mkosi, gundu na vidole machoni kila kukicha... na yule Domenech bora tu kamaliza muda wake aarrrgghhhh, anaudhiiiii!

Tupo pamoja, TOGETHER WE STAND!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom