Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

dah hawa jamaa tunawakosaje mbona tunawapigia mwingi hivi
 
Lacazette
1541272552176.gif
 
Yaani Liverpool tumewapapasa wee, lkn tumeshindwa kuwaweka. Ila sio mbaya, ila huyu Muhuni Toreira sio mtu mzuri hakuna cha Milner wala Gini
 
UNAI EMERY ,UNAKUBALI KUTOKUKUBALI?

November 3 siku ya jumamosi,Arsenal itakuwa nyumbani Emirates kuwakaribisha liverpool katika mzunguko wa ligi ya EPL .Mechi hii ni ngumu kwa Arsenal na Liverpool pia na kwa mtazamo wangu mchezo wangu utaamuliwa na ubora wa viungo wa timu zote mbili .

VITA YA VIUNGO
Bila shaka Arsenal itawaanzisha XHAKA ,TORREIRA na OZIL ambao watapambana na FABINHO,HENDERSON na WINALDIUM ambapo UNAI EMERY anapaswa kujiuliza ni namna gani Lucas Torreira atamzuia Geogino Winadium ili asilete madhara ya kupeleka mipira kwa Mo salah,Sadio mane na Firminho ambao wanaweza kuleta madhara kwenye lango la Arsenal !Mashambulizi Mengi yanaanzia kwa kiungo huyu Mwenye kasi ,nguvu na ubunifu wa hali ya juu.

Ni lazima Mmoja kati ya PEA au LACCA aanzie benchi ili kuruhusu Mikh na Iwobi waanze kwa sababu njia pekee ya arsenal kushinda mchezo huu ni kuwa na wings zenye kasi ambazo zitafanya mashambuliz ya kushtukiza (counter attacks).Ni vyema Lacca akaanzia benchi ili PEA aanze kwa ajili ya kuongeza kasi akisaidiana na IWOBI NA MIKHI

Ingawa Liverpool ni bora kuliko arsenal ni vyema Unai Emery akubali kutokukubali kwamba liverpool ni bora ,na awahimize vijana wakapambane mpaka dakika ya mwisho !
Kwa mtazamo wangu

50/50View attachment 917566
nafikiri sasa utakuwa umepata jibu la wasiwasi wako narudia kusema tena hawa loserfoolish wanashindaga kibahati tu hawana timu kama wanavyoipamba sasa leo hao viungo uliokuwa unawagwaya na kina lucas nani aliupiga mwingi pale .......


COYG
 
Loserfool wenyewe wqmeonekana wakishindashinda kwa tabu ktk mechi za hivi karibuni so sio ya kuisifia hivyo maana msimu huu wamedrop ukilinganisha na mwaka jana...........dk 90 zitaongea kwani hao kina hendo wanashikika vzr tu.....ttz la gunnerz ni beki zinachuja kama chandarua ila viungo na washambuliaji wapo vzr....hii game GG safi kabisa weka mzigo bila shaka....
hakuna cha jini wala shetani huyu torerra sio kabisaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa
 
Hapa Nimekuja na Mambo Mawili Kwa Leo.

1) La Kwanza Nakiri hadharani Kuwa Torreira sio Zaizi yetu Kabisa ametusumbua! Na kwa aliyeangalia Mpira basi atakubaliana na Mimi kuwa iliyotukamata Leo si Arsenal, Bali aliyetukamata Ni Torreira manake kaibadilisha game plan yetu yote kwenye Midfield.

2) Pili kuna Madogo Flani humu Walijifanya Wanajua Sheria kuliko Raisi Wa FA pale nilipowambia Kuwa yule dogo wenu aliyepigwa Red Card game ya Carabao kutokana na Sheria za FA hatacheza Mchezo wa Leo wao Wakajifanya wanajua Mpira wakabisha Kuwa anacheza.

Nawaasa Kuwa Sisi wengine Ni wakubwa Zao tumewatangulia katika soka hawana uwezo Wa kutubishia.
 
Mkuu bado tunakosa magoli ya wazi sana...Sijaridhishwa na Finishing yetu kabisa...
Timu inatengeneza nafasi sana Ila umaliziaji tatizo...

Leo Liverpool wamestahili kupata suluhu..tuliwakamata sana

Uko sahihi leo tumefanya vitu vingi sana hasa eneo la kiungo ila kwenye final 3rd ndio wameshindwa kutubeba,alafu dogo Bellerin alikua anafunga kurasa jioni kabisa ameshindwa tu kutulia.
 
Back
Top Bottom