Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Ufafanuzi ni mzuri lakini pia Liverpool bado ina mapungufu mengi tu hao uliowataja wanazuilika sana.
Liverpool haifungiki kwa sasa, imeruhusu magoli machache sana katika ligi, japo pia hawajawa wafungaji wazuri kulinganisha na arsenal.

We need a very aggressive attack, very aggressive midfield to contain them.
 
UNAI EMERY ,UNAKUBALI KUTOKUKUBALI?

November 3 siku ya jumamosi,Arsenal itakuwa nyumbani Emirates kuwakaribisha liverpool katika mzunguko wa ligi ya EPL .Mechi hii ni ngumu kwa Arsenal na Liverpool pia na kwa mtazamo wangu mchezo wangu utaamuliwa na ubora wa viungo wa timu zote mbili .

VITA YA VIUNGO
Bila shaka Arsenal itawaanzisha XHAKA ,TORREIRA na OZIL ambao watapambana na FABINHO,HENDERSON na WINALDIUM ambapo UNAI EMERY anapaswa kujiuliza ni namna gani Lucas Torreira atamzuia Geogino Winadium ili asilete madhara ya kupeleka mipira kwa Mo salah,Sadio mane na Firminho ambao wanaweza kuleta madhara kwenye lango la Arsenal !Mashambulizi Mengi yanaanzia kwa kiungo huyu Mwenye kasi ,nguvu na ubunifu wa hali ya juu.

Ni lazima Mmoja kati ya PEA au LACCA aanzie benchi ili kuruhusu Mikh na Iwobi waanze kwa sababu njia pekee ya arsenal kushinda mchezo huu ni kuwa na wings zenye kasi ambazo zitafanya mashambuliz ya kushtukiza (counter attacks).Ni vyema Lacca akaanzia benchi ili PEA aanze kwa ajili ya kuongeza kasi akisaidiana na IWOBI NA MIKHI

Ingawa Liverpool ni bora kuliko arsenal ni vyema Unai Emery akubali kutokukubali kwamba liverpool ni bora ,na awahimize vijana wakapambane mpaka dakika ya mwisho !
Kwa mtazamo wangu

50/50View attachment 917566
Loserfool wenyewe wqmeonekana wakishindashinda kwa tabu ktk mechi za hivi karibuni so sio ya kuisifia hivyo maana msimu huu wamedrop ukilinganisha na mwaka jana...........dk 90 zitaongea kwani hao kina hendo wanashikika vzr tu.....ttz la gunnerz ni beki zinachuja kama chandarua ila viungo na washambuliaji wapo vzr....hii game GG safi kabisa weka mzigo bila shaka....
 
Loserfool wenyewe wqmeonekana wakishindashinda kwa tabu ktk mechi za hivi karibuni so sio ya kuisifia hivyo maana msimu huu wamedrop ukilinganisha na mwaka jana...........dk 90 zitaongea kwani hao kina hendo wanashikika vzr tu.....ttz la gunnerz ni beki zinachuja kama chandarua ila viungo na washambuliaji wapo vzr....hii game GG safi kabisa weka mzigo bila shaka....

Tunawaangalia tu...
 
J
Loserfool wenyewe wqmeonekana wakishindashinda kwa tabu ktk mechi za hivi karibuni so sio ya kuisifia hivyo maana msimu huu wamedrop ukilinganisha na mwaka jana...........dk 90 zitaongea kwani hao kina hendo wanashikika vzr tu.....ttz la gunnerz ni beki zinachuja kama chandarua ila viungo na washambuliaji wapo vzr....hii game GG safi kabisa weka mzigo bila shaka....
Hahahahahahahahahahahahahahahaha sawa
 
Loserfool wenyewe wqmeonekana wakishindashinda kwa tabu ktk mechi za hivi karibuni so sio ya kuisifia hivyo maana msimu huu wamedrop ukilinganisha na mwaka jana ...........dk 90 zitaongea kwani hao kina hendo wanashikika vzr tu.....ttz la gunnerz ni beki zinachuja kama chandarua ila viungo na washambuliaji wapo vzr....hii game GG safi kabisa weka mzigo bila shaka....

Inawezekana Mimi na Wewe tunaangalia Ligi tofauti au Liverpool tofauti...

Hebu Lete stats za Last season tulinganishe na season hii kwa hizo Mechi 10 zishazopita ili tuone kama Liverpool imedrop msimu huu au imeimprove.

Mkuu Ni stats ndizo zinazotoa maelezo ya ubora na udhaifu.
 
michuano tofauti FA walishafuta izo mambo mwaka huu.....ukila waya PL unacheza vikombe kama kawa, unatumikia kadi ulipoipatia

Huu wako Ni uongo au kutokujua kwa unachokiongea.
Ukila Umeme Kwenye Kwenye Ligi yoyote iliyochini ya FA basi Kwenye Ligi zote zilizopo chini ya FA huwezi Kucheza.
Usiropoke tu Kaingie Kwenye Official Application of Barclays Premier League utakuta taarifa wameeka kuwa jamaa atakosa Game v/s Liverpool.
 
Nimesoma sehemu kuwa Unai Emery amemwambia Laurent Koscielny atafute timu ingine kwakuwa hayupo katika mipango yake.
Inaumiza kwakweli nikikumbuka ya Jack, Ramsey na sasa Koscielny ila hakuna namna acha kocha afanye kazi na watu anaowaamini yeye kwamba watatuletea mafanikio.
Ivan Gazidis ameondoka leo rasmi kwenda Ac Milan kuanza majukumu yake mapya.
 
Nimesoma sehemu kuwa Unai Emery amemwambia Laurent Koscielny atafute timu ingine kwakuwa hayupo katika mipango yake.
Inaumiza kwakweli nikikumbuka ya Jack, Ramsey na sasa Koscielny ila hakuna namna acha kocha afanye kazi na watu anaowaamini yeye kwamba watatuletea mafanikio.
Ivan Gazidis ameondoka leo rasmi kwenda Ac Milan kuanza majukumu yake mapya.
Majukumu yapi
 
Hiyo sio impact mdau labda kama umeanza kuitazama arsenal karibuni kwakifupi hana impact
Ni impact kaka sema inategemea unaangalia katika angle ipi kwa maana tukija kwenye mafanikio ya uwanjani hakuna kubwa alilotuletea ila financially amejitahidi kaka.
 
Ni impact kaka sema inategemea unaangalia katika angle ipi kwa maana tukija kwenye mafanikio ya uwanjani hakuna kubwa alilotuletea ila financially amejitahidi kaka.
Sasa kimpila sio biashara mafanikio ya mpila yanakua na Tija zaidi yakiwa nimafanikio yaliojikita kuanzia uwanjani
 
Back
Top Bottom