Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Huyu MTU tena MTU haswa yaani MTU mmoja na nusu, hii gemu tumeleta utoto kama ule wa Chelsea lkn tulikuwa tunaimaliza.
images-8.jpeg
 
Hapa Nimekuja na Mambo Mawili Kwa Leo.

1) La Kwanza Nakiri hadharani Kuwa Torreira sio Zaizi yetu Kabisa ametusumbua! Na kwa aliyeangalia Mpira basi atakubaliana na Mimi kuwa iliyotukamata Leo si Arsenal, Bali aliyetukamata Ni Torreira manake kaibadilisha game plan yetu yote kwenye Midfield.

2) Pili kuna Madogo Flani humu Walijifanya Wanajua Sheria kuliko Raisi Wa FA pale nilipowambia Kuwa yule dogo wenu aliyepigwa Red Card game ya Carabao kutokana na Sheria za FA hatacheza Mchezo wa Leo wao Wakajifanya wanajua Mpira wakabisha Kuwa anacheza.

Nawaasa Kuwa Sisi wengine Ni wakubwa Zao tumewatangulia katika soka hawana uwezo Wa kutubishia.
hilo namba moja ndio jambo zuri sana kulisikia masikioni mwangu lakini pia kumbuka nilikwambia kitambo sana huyu fabinho mliouziwa ni wa kuchonga lazma aflopp hapo anfield
 
Hapa Nimekuja na Mambo Mawili Kwa Leo.

1) La Kwanza Nakiri hadharani Kuwa Torreira sio Zaizi yetu Kabisa ametusumbua! Na kwa aliyeangalia Mpira basi atakubaliana na Mimi kuwa iliyotukamata Leo si Arsenal, Bali aliyetukamata Ni Torreira manake kaibadilisha game plan yetu yote kwenye Midfield.

2) Pili kuna Madogo Flani humu Walijifanya Wanajua Sheria kuliko Raisi Wa FA pale nilipowambia Kuwa yule dogo wenu aliyepigwa Red Card game ya Carabao kutokana na Sheria za FA hatacheza Mchezo wa Leo wao Wakajifanya wanajua Mpira wakabisha Kuwa anacheza.

Nawaasa Kuwa Sisi wengine Ni wakubwa Zao tumewatangulia katika soka hawana uwezo Wa kutubishia.
Upo sahihi mkuu King ngwaba

Huyo aliyekubishia labda kaanza kiangalia mpira baada ya kombe la dunia la urusi

All in all , VVD ni bonge la beki anayewafanya wengine waonekane wazuri
 
Timu nzima imecheza vzuri sana Nimekuwa nikimpondaga sana Xhaka ila kiukweli leo amecheza vzuri sana amenifurahisha kila mtu kacheza vzuri...mdogo wangu Rob Holding sijui analekea level gani ya beki sio mbaya kuchukua point 1 coz liverpool nao ni timu nzuri...tuombee majeruhi wetu warudi haraka...hope tutaendeleza huu moto next games...Unai Emery bonge la kocha aisee ingekuwa wenger hii tungelala sio chini ya goli 3 ntakuwa mchawi nisipomtaja Torreira yeye na xhaka wamechezs vzuri mno wamewaficha yule mholanzi na fabinho...mustafi solid performance leo safi sana leo katakata Bellerin katakata leo Ozil na Laca na wengine Leno wamecheza vzuri sana saves kali sana leo za Leno simwoni cech kwenye hii timu tena january tuongeze winga kwanza.
 
nimependa leo jins tulivyo upiga ata liverpool wame kubali ila makosa yame tugalim kwa sasa arsenal ni tim ya ushindan
 
Kwanza nilitabiri sare nimekula Mzigo wa maana
Pili Asanteni sana wana Arsenal kwa sare leo
 
yani nimetoka home naenda kibandan uku nikijua leo kama sio tatu bas tunakufa kama tano

daaa arsenal leo wame nifurahisha sio kwa mpira ule mambo yalikuwa poa sana
Timu nzima imecheza vzuri sana Nimekuwa nikimpondaga sana Xhaka ila kiukweli leo amecheza vzuri sana amenifurahisha kila mtu kacheza vzuri...mdogo wangu Rob Holding sijui analekea level gani ya beki sio mbaya kuchukua point 1 coz liverpool nao ni timu nzuri...tuombee majeruhi wetu warudi haraka...hope tutaendeleza huu moto next games...Unai Emery bonge la kocha aisee ingekuwa wenger hii tungelala sio chini ya goli 3 ntakuwa mchawi nisipomtaja Torreira yeye na xhaka wamechezs vzuri mno wamewaficha yule mholanzi na fabinho...mustafi solid performance leo safi sana leo katakata Bellerin katakata leo Ozil na Laca na wengine Leno wamecheza vzuri sana saves kali sana leo za Leno simwoni cech kwenye hii timu tena january tuongeze winga kwanza.
 
Timu nzima imecheza vzuri sana Nimekuwa nikimpondaga sana Xhaka ila kiukweli leo amecheza vzuri sana amenifurahisha kila mtu kacheza vzuri...mdogo wangu Rob Holding sijui analekea level gani ya beki sio mbaya kuchukua point 1 coz liverpool nao ni timu nzuri...tuombee majeruhi wetu warudi haraka...hope tutaendeleza huu moto next games...Unai Emery bonge la kocha aisee ingekuwa wenger hii tungelala sio chini ya goli 3 ntakuwa mchawi nisipomtaja Torreira yeye na xhaka wamechezs vzuri mno wamewaficha yule mholanzi na fabinho...mustafi solid performance leo safi sana leo katakata Bellerin katakata leo Ozil na Laca na wengine Leno wamecheza vzuri sana saves kali sana leo za Leno simwoni cech kwenye hii timu tena january tuongeze winga kwanza.

Mimi siangalii game zenu kwahiyo nakuuliza huyu Torreira mechi zenu zote anacheza Kama alivyocheza Leo? Au Leo kakamia tu?
 
against Liverpool – Premier League
GK: Bernd Leno – 6
Was enjoying an impressive game with several decent stops before parrying Sadio Mane’s cross into the path of Milner.
Recovered well to save from Virgil van Dijk and has plenty of positives to build on.
RB: Hector Bellerin – 7
Got forward as often as possible and did well against the pace of Mohamed Salah and Sadio Mane.
Tired late on but that was to be expected with the Spaniard only just returning from injury.
CB: Shkodran Mustafi – 6
Looked keen to make his mark and was aggressive both in the air and in the tackle.
A couple of silly errors and unnecessary fouls, but a decent overall performance.
CB: Rob Holding – 8
Made a couple of key blocks and maintained his concentration throughout in a rugged, impressive display.
LB: Sead Kolasinac – 5
Was given a very tough time by Mohamed Salah and offered little in attack.
The Bosnian looked leggy on his comeback from injury and a poor end product was the result.
CM: Lucas Torreira – 8
Seemed to really be enjoying himself as he thundered into tackles and tore around the Emirates turf.
A real statement as he looks to nail down a starting berth.
Kept the ball well
CM: Granit Xhaka – 7
Controlled the tempo of the match as Arsenal enjoyed greater possession early on.
Several important tackles set the tone while his range of passing was impressive.
RAM: Henrikh Mkhitaryan – 5
Toiled away as the Gunners tried to press high, but never looked like creating much when in possession.
A missed opportunity to stake his claim for a regular spot.
CAM: Mesut Ozil – 6
Showed some lovely link-up play at times but didn’t dictate the game like he can.
LAM: Pierre-Emerick Aubameyang – 6
A very lively start as he gave Trent Alexander-Arnold a thorough workout, but the Gabon international drifted out of the game before being subbed.
ST: Alexandre Lacazette – 7
A quiet match but he will be remembered for producing a moment of real class with a brilliant finish to earn a point.
 
Mimi siangalii game zenu kwahiyo nakuuliza huyu Torreira mechi zenu zote anacheza Kama alivyocheza Leo? Au Leo kakamia tu?
huyo mtiti mwanzo mwisho ....jijibu swali lako kwa kungalia youtube then lete mrejesho
 
yani nimetoka home naenda kibandan uku nikijua leo kama sio tatu bas tunakufa kama tano

daaa arsenal leo wame nifurahisha sio kwa mpira ule mambo yalikuwa poa sana
The same to me Mkuu Nilijua Leo yaleyale mpaka half time 3...Ila Leo tumeifanya Liver ionekane ni Timu ya kawaida.Unai kuna kitu ameleta kwenye timu..

Vijana bado wana tatizo la kutumia nafasi..Ila Liver Yule VVD ni mzuri sana ameimarisha sana defence...Angekua Lovren tungepiga 3.
 
kabisa kiongoz tim ipo kama tukipiga usajir wa vichwa kama vi3
The same to me Mkuu Nilijua Leo yaleyale mpaka half time 3...Ila Leo tumeifanya Liver ionekane ni Timu ya kawaida.Unai kuna kitu ameleta kwenye timu..

Vijana bado wana tatizo la kutumia nafasi..Ila Liver Yule VVD ni mzuri sana ameimarisha sana defence...Angekua Lovren tungepiga 3.
 
Back
Top Bottom