ryana fan
JF-Expert Member
- Apr 27, 2018
- 2,632
- 3,056
Ile ya assist yenu ya mkono kutoka kwa Lacazette hukuona.Refa katuua leo katubania red card kwa Ayew then kachezea akili na zaka naye kaingia king.
Ok aluta continua
Ile ya assist yenu ya mkono kutoka kwa Lacazette hukuona.Refa katuua leo katubania red card kwa Ayew then kachezea akili na zaka naye kaingia king.
Ok aluta continua
Ball to hand and hand to ball ni vitu viwili tofauti.Ya Lacazate ni ball to hand na eneo alilokuwa Lacazate lina mitambo mingi ya kunasa tukio lolote kama handball isingewezekana aachwe.Ile ya assist yenu ya mkono kutoka kwa Lacazette hukuona.
Kwanza ushaongeza gap, kumbuka. Alafu tena unaenda kuziacha zingine tukikutana. 4 is your number, man. You are there to stay.Ubingwa utachukua wewe baba, mm nitapiga mahesabu mwez wa 5
Kwan umeniacha point 10?
unachambua kishabiki, sio?Kwakua unatumia ushabiki na sio fact matokeo yatakua hivyo ulivyopiga ramli
Lakini kwa fact za uwanjani mpira unavyochezwa hadharani mguu wa shingo mguu wa roho arsenal hatoki! Hana beki ya kuzia trio foward line yetu na sasa muongeze big Shaq inakua Fab 4


Webpage not available.Wale gunners wa kweli kweli tukutane whatsap group, join kwa link hii:
WhatsApp Group Invite
NB: Ukikutana na Ljumberg kwenye group huko usishituke, ni member tu kama wewe. Hii ni international forum, kama kingereza yako imekaa kushoto pita kulia 🥅
Acha masihala watu watatu tuWale gunners wa kweli kweli tukutane whatsap group, join kwa link hii:
WhatsApp Group Invite
NB: Ukikutana na Ljumberg kwenye group huko usishituke, ni member tu kama wewe. Hii ni international forum, kama kingereza yako imekaa kushoto pita kulia 🥅
Anaharibu sana.Unai Emery isyo AW, anafanya maamuzi magumu sana mpaka inapendenza..Ramsey bench mpaka akiondoka..
Ufafanuzi ni mzuri lakini pia Liverpool bado ina mapungufu mengi tu hao uliowataja wanazuilika sana.UNAI EMERY ,UNAKUBALI KUTOKUKUBALI?
November 3 siku ya jumamosi,Arsenal itakuwa nyumbani Emirates kuwakaribisha liverpool katika mzunguko wa ligi ya EPL .Mechi hii ni ngumu kwa Arsenal na Liverpool pia na kwa mtazamo wangu mchezo wangu utaamuliwa na ubora wa viungo wa timu zote mbili .
VITA YA VIUNGO
Bila shaka Arsenal itawaanzisha XHAKA ,TORREIRA na OZIL ambao watapambana na FABINHO,HENDERSON na WINALDIUM ambapo UNAI EMERY anapaswa kujiuliza ni namna gani Lucas Torreira atamzuia Geogino Winadium ili asilete madhara ya kupeleka mipira kwa Mo salah,Sadio mane na Firminho ambao wanaweza kuleta madhara kwenye lango la Arsenal !Mashambulizi Mengi yanaanzia kwa kiungo huyu Mwenye kasi ,nguvu na ubunifu wa hali ya juu.
Ni lazima Mmoja kati ya PEA au LACCA aanzie benchi ili kuruhusu Mikh na Iwobi waanze kwa sababu njia pekee ya arsenal kushinda mchezo huu ni kuwa na wings zenye kasi ambazo zitafanya mashambuliz ya kushtukiza (counter attacks).Ni vyema Lacca akaanzia benchi ili PEA aanze kwa ajili ya kuongeza kasi akisaidiana na IWOBI NA MIKHI
Ingawa Liverpool ni bora kuliko arsenal ni vyema Unai Emery akubali kutokukubali kwamba liverpool ni bora ,na awahimize vijana wakapambane mpaka dakika ya mwisho !
Kwa mtazamo wangu
50/50View attachment 917566