Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Ngumu sana,kumbuka timu zinazotusumbuaga ni liva,beryen,man u na msimu huu liva wako onfire so kuwafunga yahitaji nguvu ya ziada
Ila hizi ni zama mpya chini ya kocha mpya.... Fikiria zaidi ya miaka kumi hatujawahi kucheza mechi zaidi ya kumi mfululizo bila kufungwa. Ni msimu huu tu ndo tumeweza... Na ndo maana naamini kuwa tutakuwa na matokeo mazuri tu kwa upande wetu leo
 
Arsenal XI: Leno, Bellerin, Mustafi, Holding, Kolasinac, Xhaka, Torreira, Mkhitaryan, Ozil, Aubameyang, Lacazette

Liverpool XI: Alisson, Alexander-Arnold, Gomez, Van Dijk, Robertson, Fabinho, Milner, Wijnaldum, Salah, Firmino, Mane
 
IMG_9750.JPG

COYG....
 
Nikiangalia game ya Leo nikikumbuka na game yetu ya Mwanzo na Man City naona kuna mabadiliko makubwa sana...

Timu ime-improve sana..
Hapo tunakosa mtu wa pasi ndefu tu, Ramsey alikuwa muhimu kuanza
 
Arsenal imeimarika sana kwa sasa. Ni machampion contender. Pace ya Aubar na Mkhi ni Noumar. Still

Arsenal 0-0 Liverpool
 
Back
Top Bottom