BAHARI J
JF-Expert Member
- Nov 2, 2016
- 932
- 1,159
leo mashabik wa liver hawakuwa na jipya
na mpira wa leo kwanza nimeangalia kwa furaha sam tuu yimu imeimarika sana kwakwel watu wataanza kutuogopa
na mpira wa leo kwanza nimeangalia kwa furaha sam tuu yimu imeimarika sana kwakwel watu wataanza kutuogopa
The same to me Mkuu Nilijua Leo yaleyale mpaka half time 3...Ila Leo tumeifanya Liver ionekane ni Timu ya kawaida.Unai kuna kitu ameleta kwenye timu..
Vijana bado wana tatizo la kutumia nafasi..Ila Liver Yule VVD ni mzuri sana ameimarisha sana defence...Angekua Lovren tungepiga 3.

simba